Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Rostam Aziz amejitetea huku akimnyanyapaa Dr. Slaa kuwa ni mzushi na anazeeka vibaya lakini utetezi wake Bwana Rostam ya kuwa alikuwa Afrika ya Kusini wakati tarehe za hicho kikao cha kupanga mikakati ya kuchakachua matokeo ya uchaguzi ambacho Dr. Slaa alidai kilifanyika Mwanza chini ya uenyekiti wake JK............
Tatizo kwa Rostam Aziz ni utetezi wake ndiyo unamweka pabaya sana...........
Bw. Aziz ametoa nakala ya pasipoti yake ikionyesha muhuri wa uhamiaji kwa tarehe ileile ambayo ilidaiwa alikuwa Mwanza...lengo hapa ni kuonyesha ya kuwa alikuwa safarini siku hiyo akielekea Afrika ya Kusini.......sasa tatizo ni nini?
Mapungufu ya utetezi wa Mheshimiwa Mbunge wa Igunga ni kuwa ushahidi wake haujitoshelezi hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-
a) Pasipoti yake haikuonyesha mihuri ya uhamiaji ya Afrika ya Kusini wakati akiingia huko na akitoka jambo ambalo linaashiria pengine muhuri wa Tanzania kwa siku ya kuondoka ulikuwa umewekwa baada ya hizo tarehe ambazo yadaiwa alikuwa Afrika ya Kusini............
b) Hana ushahidi wa hoteli alizofikia kule Afrika ya Kusini kwa maana ya nakala za risiti ili watakaotaka kwenda kukagua hizo hoteli waweze kufanya hivyo na kujihakikishia kuwa yumo kwenye orodha ya wageni wa hoteli hizi kwenye vitabu vyao vya kumbukumbu..kwa tarehe husika....kama ameghushi vitu hapo atakamatwa............................................................
c) Rostam anadai alikwenda kukutana na wafanya biashara wenzie huko Afrika ya Kusini lakini hajaambatanisha hati za viapo za hao jamaa zake ili kuweka uzito kuwa kweli kuna watu aliokutana nao Afrika ya Kusini na kwa kutofanya hivyo ushahidi wake wa kusemea watu wengine ni ."hearsay".......ambao tunalazimika kupuuza kabisa kuwa ni majungu aliyoyapika yeye mwenyewe.......
d) Mbaya kulikoni yote kwa Mheshimiwa Rostam Aziz hakuonyesha kwenye nakala za pasipoti yake mihuri ya Afrika ya kusini na Tanzania kuonyesha tarehe alizotoka Afrika ya Kusini na kurejea nchini................Tatizo hapa ni nini?...............Kulingana na ushahidi wake mwenyewe Rostam Aziz alipaswa awe bado yuko Afrika ya Kusini lakini sasa yupo nchini hili linawezekanaje?
e) Rostam atuonyeshe nakala za tiketi za ndege ambazo aliondoka nayo hapa nchini kwenda Afrika ya Kusini na ile iliyomrudisha nchini...........hapo ndipo kizazaa kilipo Mheshimiwa............
Yaani anavyo vielelezo vya uhamiaji vya kutoka hapa nchini lakini hana vya kurudi nchini hii ni nini kama siyo uhamiaji imeshiriki kuchakachua kumbukumbu zake kwenye pasi yake ya kusafiria ili kutoa mwanya wa kutoa utetezi wa kumbeza Dr. Slaa ambao hata haonyeshi ya kuwa utetezi huo ulienda darasa lolote...............
Bado tunamwomba Mheshimiwa Mbunge wa Igunga kujibu hizi hoja za kimsingi na kadri atakavyokuwa akiendelea kuzijibu atajifunza ya kuwa....the devil of "pack of lies" is always on the details.................Make my day Mheshimiwa Rostam Aziz.......and be my guest......This rebuttal of yours is no smoking gun, at all!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Tatizo kwa Rostam Aziz ni utetezi wake ndiyo unamweka pabaya sana...........
Bw. Aziz ametoa nakala ya pasipoti yake ikionyesha muhuri wa uhamiaji kwa tarehe ileile ambayo ilidaiwa alikuwa Mwanza...lengo hapa ni kuonyesha ya kuwa alikuwa safarini siku hiyo akielekea Afrika ya Kusini.......sasa tatizo ni nini?
Mapungufu ya utetezi wa Mheshimiwa Mbunge wa Igunga ni kuwa ushahidi wake haujitoshelezi hata kidogo kwa sababu zifuatazo:-
a) Pasipoti yake haikuonyesha mihuri ya uhamiaji ya Afrika ya Kusini wakati akiingia huko na akitoka jambo ambalo linaashiria pengine muhuri wa Tanzania kwa siku ya kuondoka ulikuwa umewekwa baada ya hizo tarehe ambazo yadaiwa alikuwa Afrika ya Kusini............
b) Hana ushahidi wa hoteli alizofikia kule Afrika ya Kusini kwa maana ya nakala za risiti ili watakaotaka kwenda kukagua hizo hoteli waweze kufanya hivyo na kujihakikishia kuwa yumo kwenye orodha ya wageni wa hoteli hizi kwenye vitabu vyao vya kumbukumbu..kwa tarehe husika....kama ameghushi vitu hapo atakamatwa............................................................
c) Rostam anadai alikwenda kukutana na wafanya biashara wenzie huko Afrika ya Kusini lakini hajaambatanisha hati za viapo za hao jamaa zake ili kuweka uzito kuwa kweli kuna watu aliokutana nao Afrika ya Kusini na kwa kutofanya hivyo ushahidi wake wa kusemea watu wengine ni ."hearsay".......ambao tunalazimika kupuuza kabisa kuwa ni majungu aliyoyapika yeye mwenyewe.......
d) Mbaya kulikoni yote kwa Mheshimiwa Rostam Aziz hakuonyesha kwenye nakala za pasipoti yake mihuri ya Afrika ya kusini na Tanzania kuonyesha tarehe alizotoka Afrika ya Kusini na kurejea nchini................Tatizo hapa ni nini?...............Kulingana na ushahidi wake mwenyewe Rostam Aziz alipaswa awe bado yuko Afrika ya Kusini lakini sasa yupo nchini hili linawezekanaje?
e) Rostam atuonyeshe nakala za tiketi za ndege ambazo aliondoka nayo hapa nchini kwenda Afrika ya Kusini na ile iliyomrudisha nchini...........hapo ndipo kizazaa kilipo Mheshimiwa............
Yaani anavyo vielelezo vya uhamiaji vya kutoka hapa nchini lakini hana vya kurudi nchini hii ni nini kama siyo uhamiaji imeshiriki kuchakachua kumbukumbu zake kwenye pasi yake ya kusafiria ili kutoa mwanya wa kutoa utetezi wa kumbeza Dr. Slaa ambao hata haonyeshi ya kuwa utetezi huo ulienda darasa lolote...............
Bado tunamwomba Mheshimiwa Mbunge wa Igunga kujibu hizi hoja za kimsingi na kadri atakavyokuwa akiendelea kuzijibu atajifunza ya kuwa....the devil of "pack of lies" is always on the details.................Make my day Mheshimiwa Rostam Aziz.......and be my guest......This rebuttal of yours is no smoking gun, at all!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!