Elections 2010 Rostam amvaa Dr. Slaa lakini utetezi wake wamweka pabaya

Hizi hoja tunamwomba Mheshimiwa Rostam Aziz azijibu........Afrika kusini viza na Tanzania kuondolewa bado hadi mwisho wa mwez i huu kama sikosei............
 
Huyu msukuma ambaye wasukuma wanaamini ni msukuma kutoka asia...........kweli wajinga ndiyo waliwao..............kwa nini wasukuma mnaruhusu watu wa namna hii wa kuliangamiza taifa na ambao hawawezi kuchukuliwa hatua zozote na rais mnawachagua?.......tutaanza kuilaumu mikoa inayotuchagulia wasia wakati wana vijana wao wamewasomesha kwa pesa nyingi na kwa kukamuliwa na ccm..........akina rostamu sisemi tuwafukuze ila tuwaruhusu waendelee na kilichowaleta yaani wafanye biashara zao halali walipe kodo na mambo ya nchi watuachie................wasukuma bado mnachagua rangi?....hamtaki vijana wenu wazawa waende bungeni kuwatetea?.......hata km mtu anauwezo kiasi ganiu lakini lazima muheshimu utu wenu kwa kujiheshimu wenyewe..........nawalaumu wasukuma kwa kuendelea kutuletea mafisadi......chenge,rostam na arusha wanatuleta lowasa................

Nadhani Igunga ni Tabora kwa wanyamwezi...wasukuma huko Shinyanga na Mwanza wameshaishtukia sisiem na matunda yake ni idadi kubwa wa wabunge wa upinzani
 
Tanzania siku hizi inasahau Siasa- na kuanza Kuweka Sanaa katika Siasa- Na JF ndo imekuwa Kituo cha Spin!

I wonder it's difficult to separate Politics from Propaganda- what if the truth- we all dont know- but
politics is forcing us to accept what Spin Doctors specialize or make money out of it?
 
Back
Top Bottom