Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
siku hizi SA hatuhitaji VISA?
not only VISA labda siku hizi South ni kuingia na kutoka kama kariakoo, all you need ni passport yako kuwa na muhuri wa nchi utokako.
siku hizi SA hatuhitaji VISA?
Huyu msukuma ambaye wasukuma wanaamini ni msukuma kutoka asia...........kweli wajinga ndiyo waliwao..............kwa nini wasukuma mnaruhusu watu wa namna hii wa kuliangamiza taifa na ambao hawawezi kuchukuliwa hatua zozote na rais mnawachagua?.......tutaanza kuilaumu mikoa inayotuchagulia wasia wakati wana vijana wao wamewasomesha kwa pesa nyingi na kwa kukamuliwa na ccm..........akina rostamu sisemi tuwafukuze ila tuwaruhusu waendelee na kilichowaleta yaani wafanye biashara zao halali walipe kodo na mambo ya nchi watuachie................wasukuma bado mnachagua rangi?....hamtaki vijana wenu wazawa waende bungeni kuwatetea?.......hata km mtu anauwezo kiasi ganiu lakini lazima muheshimu utu wenu kwa kujiheshimu wenyewe..........nawalaumu wasukuma kwa kuendelea kutuletea mafisadi......chenge,rostam na arusha wanatuleta lowasa................