Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
kama ingekuwa kwa wenzetu huko majuu, Rustam angekuwa sambamba na paparazzi kila alipokanyaga, lakini TV zetu hazijasema lolote kuhusu mwanasiasa huyu maarufu wa Tanzania.
Hem mtu aniambie, Rustam amepiga kura? Amepigia kituo gani?
Hem mtu aniambie, Rustam amepiga kura? Amepigia kituo gani?