Bubu Msemaovyo
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 3,832
- 2,790
To hell with ra
Harusiwi kutoka hapa Tanzania?
Wameshindwa kuwashughurikia mpaka wanaamua kukimbia nimemisi utawala wa baba wa taifa sahizi angekuwa yuko jela
COMMENTARY | So, it's finally official: Iran is a state-sponsor of terrorism. The word came from the mouth of Supreme Leader Ali Khamenei on Friday when he categorically announced Iran would sponsor anyone -- anywhere -- that would work against Israel.
Khamenei also admitted to helping attack Israel through third parties, something Iran officially downplays or denies, the Associated Press reported. "From now on, in any place, if any nation or any group confronts the Zionist regime, we will endorse and we will help. We have no fear expressing this," Khamenei told followers during morning prayers.
Iran Finally Comes Clean with the World -- It Sponsors Terrorism - Yahoo! News
Kuna mzee mmoja ni maarufu sana siwezi kumtaja (ni mmoja wa maafisa wa Usalama wa Taifa) kwa usalama wangu maana natumia ID yangu orginal pamoja na Avatar ya picha yangu halisi..... alichoniambia kwamba Rostam Aziz ni Jasusi la CIA na yuko very protected, alikuja hapa kwa lengo maalum na kazi aliyoifanya ameshaimaliza na aliletwa na Marehemu Kambona....
siwezi endelea zaidi............
​muda ni hakimu mzuri siku zikifika watalipa waliyoyafanya
Aondoke. Lakini laiti tungelikuwa na Rais "Msafi" angelimtia hatiani mtu huyu, mali zake zingelikamatwa na kunadiwa kabla ya kutokomea Malaysia. Maskini Tanzaniaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
Kutokana na Sheria mpya ya BOT ambayo inamtaka kila Mteja aweze kuwasilisha details zake na mapato yake kwa mwaka kupitia Benki yake, ambayo kwayo, ni rahisi kugundua fedha chafu, jamaa ameona ndio mwanzo wa kuumbuka.
Na hii issue jamaa ameiona iko likely ku-cease some people's accounts, jamaa ameshastuliwa na vibaraka wake ili asepe mapema kuogopa kufungiwa pesa zake alizotuibia.