King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,670
- 68,631
Naomba tutafakari hii saga katika context ya "dual citizenship" ambayo Membe amekuwa anaipigia debe sana. In theory dual citizenship ni kitu kizuri maana tunaambiwa kuwa watu walio nje ya nchi wataweza kuwekeza nyumbani. Sijui wako wangapi na kati yao nani anafanya kazi kubwa kubwa na nani anabeba mabox! Ila wasiwasi wangu kwenye issue ya dual citizenship ni kwamba unapokuwa na nchi/serekali legelege watu watahamisha 'capital' kurahisi kabisa kwa sababu wana uraia wa nchi nyingine.
Swali langu kwanini Rostam amechagua Malaysia? Kwa nini isiwe China, Uswisi, Cambodia, Urusi au hata Kosovo? Why Malaysia?
Hizo nchi nyingine akifanya ufilauni kama huu wa huku tanzania ndani ya minute wanamnyonga!!!!