Kanisa lingekuwa na masikio lingeshasikia, wametandika kitanda chao cha unafiki sasa wamelala na mafisadi, wamefumwa wanang'aka huku wakijibaraguza kuficha utupu wao!
Rostam hilooo!usitutishie na vijisenti vyako!sisi maskini jeuri ipo siku utalitambua hili!
ulifikiri utafanikiwa kujisoap kupitia kanisa sasa umeula wa chuya!
huyu Rostam mpaka tumtumie ma sniper ndio afunge mdomo wake.
teh teh tehh umesahau kuwa ni mwana sisiemu mwandamizi? maneno mingi mingi vitendo hakuna.
Words create mama itafika mahali hao ccm wenzake watammaliza kama wanavyomalizana wenyewe kwa wenyewe.
Naam na ni unafiki wa hali ya juu kumkana RA wakati pesa zake za kifisadi wametia ndani. Warudishe hizo pesa ili kurudisha imani ya waumini kwa kanisa hilo.
Huyu bwana atatafakari saana mwaka huu maana naona ninakuwa siku ya kufa nyani.alikfikiri kapumua oxgyen kumbe ndo kwanza kavuta kambondoixide/na carbonmonoxide ya kutosha.Akitafakari vibaya anaweza kulazwa kwa mapresha na kisukari
Hawa KKT tamko sawa tumewasikia je,na vijisent vyake wamerejesha ?
Kwa maana nyingine Rostam ni mbaya ila pesa zake ni nzurituna msemo husema baniani mbaya kiatu chake dawa
Maneno ya KKKT yamekosa kitu muhimu. Kama kweli wanapinga kwa vitendo wangeuelekeza usharika wa kinondoni kurudisha mchango aliotoa rostam kwa kuwa ni wa kifisadi
hata yule Yuda Iskarioti wa Biblia alipopewa pesa ya kifisadi, baadaye alitaka kuirudisha lakini wenye pesa wakamwambia kiendacho kwa mganga hakirudi.hili suala lote ni kama mfano wa abiria, gari, mmiliki wa gari, na dereva wa gari.
Gari (kanisa - KKKT Kinondoni)
Dereva wa Gari (Mchungaji - KKKT Kinondoni)
Mmiliki wa Gari (KKKT Dayosisi)
Dereva wa Gari ana uhuru wa kumpakia Abiria yeyote (hata Rostam Aziz) lakini kwa kibali cha Mmiliki wa Gari. Inapogundulika kuna abiria alipanda bila ya Mmiliki kupewa taarifa basi kosa si la abiria ila la Dereva! Na hapa ndipo KKKT waliposimamia! They are right!
Na Abiria (Rostam) alikuwa ana haki ya kupanda kwenye Gari (KKKT Kinondoni)kwani alisimamiwa na Dereva (Mchungaji - KKKT Kinondoni). Sasa kama Abiria aliacha "vumbi" ndani ya Gari si busara kumwambia njoo chukua vumbi lako, hapo kinachohitajika ni busara ya Mmiliki wa Gari.
Mkuu sikuwahi kutegemea wewe kuja na maneno haya ya jazba na ya vitisho kwa watu kisa una wajua watu.Kazi yao ni kutafuta kumfahamu fulani ni nani na anachangia nini?wewe nimmojawapo ambmao mnatumia jina la bandia kama mimi.. kama wao ni wapuuzi kw amantiki ya kutumia majina yao ya bandia,basi nawewe utakuw ani Mpuuzi tu kwa maana hiyo.Usimtishe mtu sababu unaweza kujiona ni bora zaidi ya mtu mwingie .
Ibara ya 18 inatoa uhuru wa mtu kueleza habaro yoyote kwa mtu yeyote bila kuvunja sheria ya nchi.na inandelea kumruhusu mtu kushikilia habari na kumweleza yeyote habari aliyonayo.
Kama unawaju basi wataje wote ambao ni wapuuzi sababu inaruhusiwa
mbona KKKT wapo kimya kuwakemea mafisadi waliomo ndani ya kanisa kama mlezi KKKT dayosisi ya mashariki Benjamin Mengi,na Kaka yake ambaye ni mfanyabiashaara maarufu Reginald Mengi walowatapeli wazungu na kuwafukuza nchini,au michango yao ni mikubwa kwa kanisa,jamani nani hawafahamu wafanyabiashara haramu wengi ni wana jumuia ya KKKT.nani hawafamu akina Kibo Mareale na biashara zao ,nani hafahamu kuwa katibu mkuu nsaafu kwa KKKT tz AMZA MWAENEGOA,alivyokuwa fisadi kiasi cha kukataliwa na akina CLEOPA MSUYA waziri mkuu msaafu,hata ALIPOGOMBEA UBUNGE NA KUSHINDA ALMASHAURI KUU YA CCM LIKAKATA JINA LAKE,
Nina wasiwasi na katibu mkuu wa sasa inawezekana Mengi kamweka mfukoni."Jamani mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni",kwa hili KKKT wamemuonea ROSTAM,kama binadamu kama ana makosa ilitakiwa aombewe ili arudi kundini,tujifunze kutoka kwa yesu na zakayo,
Viongozi wa dini msichanganye siasa na dini