Rose uu wapi?? am missing u!!

Ras

Senior Member
Mar 16, 2007
126
6
Jamani aliyemuona dada Rose1980 naomba ampe salaam zangu, nammiss sana:behindsofa:
 
Scan vizuri ID mpya za watu huenda kaja na ingine

Lakini kwa nini afanye hivi??? hanitendei haki kabisa, any way ntamuomba invisible anisaidie kwa hili, coz am missing her so much and am worried!
 
yupo, lakini busy kidogo!hata sasa nimetoka kuongea nae kwa phone!!!!

Rose ua langu zuri, Ua lenye thamani!
umekwenda mbali, umejificha sikuoni!
Ona sasa moyo wangu wakonda!!
maliza u-busy urudi moyo unenepe!
 
amezipata anakusalimia sana.


icon1.png
Re: Rose uu wapi?? am missing u!!



quote_icon.png
Originally Posted by Ras
Jamani aliyemuona dada Rose1980 naomba ampe salaam zangu, nammiss sana:behindsofa:



"Originally Posted by Nyani Ngabu
Scan vizuri ID mpya za watu huenda kaja na ingine
Pengine ndiye huyu mkuu, ngoja niendelee fanya uchunguzi!!:confused2::confused2:
 
Kweli huyu dada kapotea/kapotezwa sana.

Hope ni mzima na hajachakachuliwa....!!!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom