Mwanahisa
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 1,382
- 510
Unadai Rose Kamili kamsafisha Dr Slaa, lakini wewe kupitia tundiko lako hili umempaka matope Dr Slaa.
Wakati Dr Slaa yupo katika jopo la mapokezi ya Baba Mtakatifu Pope John Paul tayari ana mahusiano ya ndoa na watoto!.
Kwa taarifa yako hili likija julikana huko Vatican ni kashfa kubwa kwa Kanisa Katoliki Tanzania.
Mkuu usipake mavi kwa brush unazidi kusambaza tulia, huwezi kumsafisha Slaa kwenye hili hasafishiki!
Kweli tunatofautiana katika usawa wa fikra, inanipa mashaka kwamba kuna wanajamii hawajui wanachokisoma wala tafakari zao hazina mwendo.