ymollel
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 3,096
- 2,273
Kwa wale wanaohangaika ku-root simu zao za tecno na zinginezo. basi application hii hapa inaitwa kingo, ni rahisi sana kutumia na inafanya kazi chap chap. http://www.kingoapp.com/download/android_root.exe
nimeitumia na kuhakikisha,.
Rooting inakupa access ya system files, kwa mfano unaweza kubadilisha ile boot animation na ukaweka picha yako mwenyewe.pia kuondoa notification na milio usiyohitaji kamavile camera shutter,pia unaweza kuondoa pre-installed apps.
Angalia hapa chini hizi ni baadhi ya Boot animation images, ambazo unaweza kuzibadilisha na kuweka zako.
nimeitumia na kuhakikisha,.
Rooting inakupa access ya system files, kwa mfano unaweza kubadilisha ile boot animation na ukaweka picha yako mwenyewe.pia kuondoa notification na milio usiyohitaji kamavile camera shutter,pia unaweza kuondoa pre-installed apps.
Angalia hapa chini hizi ni baadhi ya Boot animation images, ambazo unaweza kuzibadilisha na kuweka zako.