Ronaldo kusalia Juventus kwa mwaka mmoja zaidi

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,763
4,313
1625483143532.png

Wakala wa Cristiano Ronaldo, Jorge Mendes anafanyia kazi mpango wa kuongezwa kwa mkataba nyota huyo wa kusalia Juventus kwa mwaka mmoja zaidi utakaomfunga mshambuliaji huyo wa Ureno kuendelea kukipigia klabu hiyo ya Serie A mpaka mwaka 2023.

Hivyo klabu ambazo zilikuwa zinamnyatia mshambuliaji huyo kama Man United itabidi zisubiri mpaka 2023. (Gazzetta dello Sport - in Italian).

Source: Mtanzania
 
Ronaldo kama Ronaldo pekeyake ni biashara kwa klabu.pamoja na Juve kukosa mataji lakini bado wamemuongeza kandarasi mpya japo kuwa jamaa jua lishazama.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom