Ronaldo de Lima: Barcelona hawana Upendo na Wachezaji wa Kibrazil

Naweza nikawa nimekuzidi umri sana tu mkuu,,,huyo de lima namjua vizuri sana,, so ni wakawaida tu,, ni kama tunavyowaona wakina aguero, lewandowsky, suarez na kane...so wala usiwalazimishe wadau wengine wamkubali....in short tuache kuongeza chumvi pasipotakiwa....
Daaaaa we jamaa haumjui Delima wewe,yaani wewe umemjua wakati anastaafu soka wewe usidanganye watu
 
Kuna ukweli asilimia 99 Bacelona wana dharau zao kwa Wabrazil na Waafrika. Ukweli Hata Keita na Etoo waliondoka kwa Aibu

Haya basi Barcelona ni wabaguzi mkuu...so huyo di lima wako anakusaidia nini au umepata kitu gani haswaa kutoka kwake na likawa na manufaa kwako!!! Barcelona ingelikuwa na ubaguzi hao wabrazil wasingepata ballon hapo,,, Gaucho anazo ngapi mbona hilo hulizungumzii!!!!

Nachotaka kukuambia....Barca tunahitaji wachapakazi na wenye akili timamu kama Leonel Messi,, na sio mabishoo na kujiona wao wanaujua mpira kumbe 0 kabisa alafu muda mfupi wanapotea kusikojulikana. Messi since ameanza kucheza mpaka hii leo bado anakiwasha na hakuna wa kumkaribia mfalme huyu,,,, na sidhani kama kuna mchezaji yoyote duniani aliyecheza miaka mingi bila kushuka kiwango never na haitatokea.....tumewaona wachezaji wengi wamecheza muda mfupi na wametepeta ile balaa.lakini Messi tunamuona ndio anazidi kunawiri siku hadi siku....mpaka anastaafu soka atakuwa na Ballon 7 or 8 trust me!!!!



 
Hii kitu nlipost kitambo Sana na Hili linazidi Kujifunua
Philipo Coutinho
Arthur mello
Malcom

Hawana kigezo cha kucheza na Messi. Wabrazili huwa wanawahi kuchoka mapema. Acha wafukuzwe hatuwataki. Kwanza hakuna wachezaji wabinafsi duniani kama wabrazili.
 
Pedro, Sanchez, thiago, david villa, fabregas, ibrahimovic, wote wameondoka barca wakiwa na uwezo. Mbona hao hamsemi ni ubaguzi. Kwani barcelona hawaruhusiwi kuuza wachezaji weusi?...dani alves kacheza barca miaka karibu 10 ila juve katimuliwa baada ya msimu mmoja tu japo alikuwa beki bora wa uefa ila walishindwa kumvumilia. Barca waliokaa nae miaka 10 ndio wabaguzi?

Wachezaji wa kibrazili hawana nidhamu, si ajabu hata neymar imekua ngumu kumrudisha sababu ya nidhamu, na ubishoo uwanjani matokeo sifuri.
 
Back
Top Bottom