Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 13,759
- 20,152
Jezi namba 7 pale katika viunga vya Old Traford Manchester United huwa inajulikana ni ya nani 😇 Ronaldo na tayari kachukua namba yake huenda Cavan akavaa jezi namba 21 ambayo anaitumia timu taifa na kwenye vilabu vingine alivyochezea.
Mwanzo jezi namba 21 pale Man United alikuwa akiitumia Daniel James ambaye kwa sasa ameondoka na kujiunga na Leeds United.
Baada ya Cristiano Ronaldo kupewa jezi namba 7 katika klabu ya Manchester United ambayo alikuwa anaivaa Cavan sasa Cavani amechukua namba 21 aliyokuwa anaivaa Damiel James ambaye ameuzwa Leeds United.
Mwanzo jezi namba 21 pale Man United alikuwa akiitumia Daniel James ambaye kwa sasa ameondoka na kujiunga na Leeds United.
Baada ya Cristiano Ronaldo kupewa jezi namba 7 katika klabu ya Manchester United ambayo alikuwa anaivaa Cavan sasa Cavani amechukua namba 21 aliyokuwa anaivaa Damiel James ambaye ameuzwa Leeds United.