Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Hatimaye yule kinara wa zamani wa samba, Ronaldinho Gaucho, amerejea jana rasmi kwenye kikosi cha Selecao. Lakini alishindwa kuwathibitishia washabiki wa soka kuwa bado ana kiwango hivyo kupelekea kocha wake kumtetea. Wapenzi wa mchezaji huyo, kina Gang Chomba, wapo kimya baada kukatishwa tamaa na uchovu na ulegelegea wa kiungo huyo mchezeshaji aliyekuwa anasifika kwa kasi na pasi za ajabu wakati wa enzi zake.
Kwa taarifa zaidi soma: Brazil boss Mano Menezes insists Ronaldinho can still cut it - ESPN Soccernet
Kwa taarifa zaidi soma: Brazil boss Mano Menezes insists Ronaldinho can still cut it - ESPN Soccernet