nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
Haya mambo matatu inabidi hayatolee ufafanuzi kwanza:
1)Uraia
2)Vyeti
3)nyama ya hamu
La sivyo itakuwa January atakuwa kama anamsukuma mlevi
1. Uraia ni Mtanzania -- anaruhusa ya kuishi Uingereza kama Januari USA na Mdogo Januari USA na wao walifanya kwa kuoa Wamarekani na kwaacha -- na ni against the Law in USA
2. Baraka kasoma hapa mpaka form six Illboru akaenda Chuo kikuu nje kama january makamba
​