Romyjones

Lis

JF-Expert Member
Jun 2, 2012
471
345
Inakuwaje romyjones amempost wema sepetu then akafuta, ni kwamba simba kamkataza au? Na kama kweli ameambiwa na simba afute. Mbona mama simba hajafuta?
 
Sijaelewa chochote kuhusu huyo simba na mama simba, ngoja niendelee na kazi zangu.
 
Inakuwaje romyjones amempost wema sepetu then akafuta, ni kwamba simba kamkataza au? Na kama kweli ameambiwa na simba afute. Mbona mama simba hajafuta?


Mmmmmmm....sie tutajuaje na hatumo ktk mioyo yao? je kama aliona isilete shida nae akaingizwa kwenye porojo?

Ila jua Wema na Romy huwa bado wanaongea hadi leo. Inajulikana hiyo wakikutana hawanuniani.

Huyo mama Chibu anasahau mwanae kafikaje alipo, ni bora wamuondoe kwenye mitandao, wamtafutie bwana wa kumpa raha...wivu umezidi juu ya mwanae na mkewe.
 
Mmmmmmm....sie tutajuaje na hatumo ktk mioyo yao? je kama aliona isilete shida nae akaingizwa kwenye porojo?

Ila jua Wema na Romy huwa bado wanaongea hadi leo. Inajulikana hiyo wakikutana hawanuniani.

Huyo mama Chibu anasahau mwanae kafikaje alipo, ni bora wamuondoe kwenye mitandao, wamtafutie bwana wa kumpa raha...wivu umezidi juu ya mwanae na mkewe.
Hii familia ya watu wa Tandale ni sheeda zari atajuta kuwafahamu

Hadi nyi wadau hamjanotice kitu juu ya uhusika wa hamisa kwenye wimbo wa Diamond?

Mi nadhani wanachofanya haina tofauti sana na ilivyotoka lemonade ya Beyonce..
 
Mmmmmmm....sie tutajuaje na hatumo ktk mioyo yao? je kama aliona isilete shida nae akaingizwa kwenye porojo?

Ila jua Wema na Romy huwa bado wanaongea hadi leo. Inajulikana hiyo wakikutana hawanuniani.

Huyo mama Chibu anasahau mwanae kafikaje alipo, ni bora wamuondoe kwenye mitandao, wamtafutie bwana wa kumpa raha...wivu umezidi juu ya mwanae na mkewe.
Unaweza kunifafanulia humo kwenye mistari, nini kinachoendelea ??
 
Hadi nyi wadau hamjanotice kitu juu ya uhusika wa hamisa kwenye wimbo wa Diamond?

Mi nadhani wanachofanya haina tofauti sana na ilivyotoka lemonade ya Beyonce..

Najua kuna nyimbo. Mie huyo Hamisa hanikuni ni wanasaka pesa...watajiju...mie walionitia kichefuchefu ni mama D na dadake D...
 
Inakuwaje romyjones amempost wema sepetu then akafuta, ni kwamba simba kamkataza au? Na kama kweli ameambiwa na simba afute. Mbona mama simba hajafuta?


Simba siku hizi wako hadi huku??

Duh aisee kwani simba ndo nani?
 
Hadi nyi wadau hamjanotice kitu juu ya uhusika wa hamisa kwenye wimbo wa Diamond?

Mi nadhani wanachofanya haina tofauti sana na ilivyotoka lemonade ya Beyonce..
Mmmh hii familia hapana especially wifi na mkwe, familia zetu za kiswazi ndo zilivo mme akimpenda sana mkewe jiandae kwa makombora ya ma mkwe na wifi
 
kuna pic ya mond na misa wamekaa vit vya kifalme ka nigeria iv na ka vaa kifalme inaonekana walikuwa wanatafuta kik na wameongelewa hswa tusubir iyo video then uyo romyjones kuna tetes kuwa jana alienda statehouse then akatimuliwa na zar kuwa why alimficha kuhusu mond kutoka na misa? ndo story ya leo uko ista
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom