Baada ya kuangukia pua kwenye uchaguzi wa rais nchini Marekani,mgombea Mitt Romney amerejea tena kwenye kazi zake za kuendesha makampuni ya biashara. Taarifa zilizopo ni kwamba Romney anakwenda kujiunga na bodi ya uendeshaji wa kampuni ya Marriot.Kwa habari zaidi GONGA hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.