Asa ushamba Hapo upo wapi
Hajashika kiuno
Asa ushamba Hapo upo wapi
the best comment so far!Eti "hiti meka" aitwaye Rommy Jones, kamuita Muigizaji bora wa Kiume "Mshamba"
am sure washamba tuko wengi humuLimeenda shule,lbd ndo na mimi ni mshamba pia.
wewe mwishowe utakuja kudhani mzee majuto hamnazo!Unamzunguzia Gabo kama msanii au maisha yake halisi?Kiukweli kutoka moyoni nakiri Gabo ni mshamba sana tena hana swag iwe movie iwe kitaa Yaan hata huwa najiuliza hivi eatv wanapataje ujasiri wa kumpa promo mtu kama gabo???
Yaan hata wanaompigiaga kura najiuliza wana chuki na Rey au wana chuki na Tino??
Au kanumba alivokufa watu wamechanganyikiwa hawajui nani awe bora???
Hii mambo ha kusapoti kinachosapotiwa na media, mtakuja kusapoti ushoga baadae.