Zimeanza zimeanza kuota
Senior Member
- Oct 1, 2018
- 129
- 86
Hili ni tatizo lishawahi nitokea .sema familia walichelewa
Asante ndugu, nilikuwa nashangaa tu kumbe ni kitabu cha Yoshua na sio Sira. Makosa kama haya kwenye uandishi husababisha habari nzima kupuuzwa na kuonekana ni ya uongo.Joshua Bin Sira
Hahaahahaha haya mkuuAsante ndugu, nilikuwa nashangaa tu kumbe ni kitabu cha Yoshua na sio Sira. Makosa kama haya kwenye uandishi husababisha habari nzima kupuuzwa na kuonekana ni ya uongo.
Ni vyema kabla huja post kitu chochote kwenye hii mitandao ukapitia upya kile ulicho andika ili kuondoa makosa kama haya.
Ni bahati mbaya famikia yake haikugundua kuwa anaumwa ila alikuwa na tatizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
ki kawaida nyama huwa zinawahi kuoza kabla ya nguo.. tuendeleeSiyo kashika,kimekutwa chini,
Lkn mm nakanganyikiwa kuskia kaoza lkn bado ananguo zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Data entry kaacha,
Seminary kusomea upadri kaacha,
Kakutwa kaoza,
Nguo kavaa,
Hanuki,
Kashika biblia,
ANASOMA KITABU CHA SIRA???!!!
Yupo mbinguni na watakatifu???!!!
MUANZISHA THREAD MUNGU ANAKUONA!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Well said MkuuKuna watu wao pesa na maisha si Mali kitu kwao, Kuna watu ambao wameyadharau maisha haya, na ukitafakari sana utagundua kuwa maisha ni utumwa na kuishi ni sawa na kujirisha upepo, lakini Kuna wengine ambao fikra zako na furaha zao wameziweka katika pesa, hawa huwa wanapata tabu sana, kwani pesa ni namba na namba hazina mwisho, nenda Godwin wajinga watakubeza kwa kuwa hawaoni na hawatoweza kujua chochote, kwani moyo wa mtu ni kiza kinene, HERI KUFA KULIKO KUISHI
Sent using Jamii Forums mobile app
Chaguo ni lako wewe.Kwa hiyo Mungu ni mjinga alivyotupatia hivi vitu vyote huku duniani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kitabu walokole wamekifyekelea mbali kwenye biblia yao isiyokamilika na wala hawajui ubora wake
Hakika upo ktk kiza kinene ndani Ya msitu wa Katangara, M.mungu akujaalie uione nuru kabla ya mauti yako...AmiinMpeni utakatifu basi aitwe mtakatifu Godwin maana amekutwa kafa na biblia ila all n all hata ungekutwa umefia wapi ila kama hukumkiri Yesu kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yako basi ujue ulipoteza muda tu ni heri ungekuwa mzinzi tuui
Sent using Jamii Forums mobile app