Rombo, Kilimanjaro: Shindano la kunywa pombe kali lasababisha kifo

Halafu soda wanazoshindana mara nyingi coca na pepsi

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiweza kunywa Pepsi au coca 9 mfululizo you will drop down and die.
Ama ukimpa mtoto mchanga Pepsi nzima ya 500 cc akiimaliza anakufa hapo hapo.
Ask me why Kama hujagundua Ni kwanini.
Wanaojinyonga hii hawaujui.
Waliosoma PCB CBG wanaelewa Ni kwanini.
 
Wacha wanywe na walewe chakari na sisi tunawahudumia wake zao kiroho safi na wenyewe wakizembea wanapuliwa kwa nyuma kiroho safi.
Hao waliokufa kwenye ulevi wacha tupungue duniani wangese wengi sana.
 
Enzi hizo serikali ilikua inawasafirisha wanafunzi wa secondary wakati wa likizo na kuwapa masurufu ya kula njiani. Kuna jamaa Bagamoyo secondary walibaki wakati wa likizo ili kulinda shule. Basi mikate na maziwa vilipogaiwa kwa wanaosafiri wajanja wanaobaki wakafanya magaham na kubakiza mikate mingi na maziwa mengi. Badala ya kwenda kula ugali na maharagwe, wajanja wakawa wanakula mikate . Siku ya kwanza. Siku ya pili hivyo hivyo. Siku ya tatu hivyo hivyo .Walisahau kwamba ukila mikate mingi mikavu hupati choo. Sasa bwana hawa wajanja wakawa wamekaa karibia siku tano hawajapata choo na matumbo yamejaa kweli. Msamaria mmoja akawaambia wakitaka wapate choo basi wanywe maziwa. Kipindi hicho maziwa yalishaganda. Ebwanae. Pamoja na maziwa choo bado kikawa adimu ila sasa walikua wanatoa harufu mbaya sana kupitia mdomoni na wakijamba ni zaidi ya pweza mia waliooza.
Walitakiwa wazibuliwe tigo zao waweze kujisaidia kwa ufasaha.
Hamkuwasaidia wenzenu kuwazibua mitaro yao iliyoziba.?
 
Back
Top Bottom