Rombo, Ardhi yapata moto kiasi cha kuchoma nyasi

Hapo unaona kabisa ni hali ya hatari bado wanapiga na selfie kabisa
Hivi ardhi ikifunguka ghafla na kuwameza watailaumu CCM ama
.... wala sio suala la ardhi kufunguka ghafla but the materials coming out there. Kama ina elements za radio active hilo balaa usiombe.

Kwa nchi zinazojali, ilitakiwa hadi muda huu hilo eneo pawe "no fly" zone kisonekane kiumbe chochote within 50 mtr radius from the epicentre. But kama kawaida yetu upumbavu mwingi Shirima anashauri panafaa kuchomea nyama!
 
Hapo kuna volcanic activity. And that is probably volcanic ash.
Hapana hiyo siyo volcanic ash. Volcanic ash inatokea mpaka volcano ilipuke na moto uwake kuunguza udongo ili volcanic ash ipatikane. Ni sawa na kuunguza kuni au mkaa ili upate majivu.

Volcanic ash ni majivu ya volcano kwa kiswahili.
 
Watu wanapenda sana nyama. Eti lijamaa linasema hapo ukichoma nyama inaiva. Haliwazi hata ukikanyaga utaungua, linyewe linawaza kichoma nyama tu. Bila shaka atakuwa Shirima huyo.
Meku kwa nyama na bia yeleuwiii YesuU Maria na Yoseph tangu wanazaliwa wanavipewa
 
The sticks, trees and underbrush on the ground receive radiant heat from the sun, which heats and dries potential fuels. Warmer temperatures allow for fuels to ignite and burn faster, adding to the rate at which a wildfire spreads.
Kilicho iponza Turkey waliangaika na bush fire sijui walikuja kuuzima
 
Hapana hiyo siyo volcanic ash. Volcanic ash inatokea mpaka volcano ilipuke na moto uwake kuunguza udongo ili volcanic ash ipatikane. Ni sawa na kuunguza kuni au mkaa ili upate majivu.

Volcanic ash ni majivu ya volcano kwa kiswahili.
Sure ulichosema ndio kweli lakini uliponipinga namimi napapinga. Unatakiwa kufahamu kuwa "volcanic activity is not necessarily an eruption".

Eruption inategemea na forces zilizopo ndani ya ardhi (heat + pressure) the higher these forces are the dedlier ther eruption. So hapo yawezekana kuna volcanic activity as in magma inakuwa pushed from the earth's core through cracks (openings) zilizopo hilo eneo lakini magma hiyo inakuwa pushed with very little pressure so ndio maana hamna eruption.

So all in all ulichosema ni sawa ila uliponipinga umekosea. Try to look at things from a different point of view.
 
Wilayani Rombo, Tarafa Mashati kijiji cha Momwe kata ya Mraukeryo katika mwambao wa Mto Uwashi kumeonekana joto kali kutoka ardhini hali inayopelekea majani makavu kushika moto.

Tayari timu ya wataalam wa Giolojia kutoka Ofisi ya Madini Kanda, Ofisi ya Maliasili Mkoa wakiongozana na Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Rombo na Katibu Tawala Wilaya Rombo wamefika eneo la tukio na kutoa maelekezo ya awali ya Tahadhari wakati timu ya wataalam wa Miamba ikisubiriwa kufika na vifaa eneo la tukio.

View attachment 1949644
Kwa hiyo kama joto linaweza kusababusha moto. Ile historia kwamba moto ulivumbuliwa kwa kuoekecha visiting au kuginganisha mawe ina walakini.
Kumbe pia hata radi ilisababisha moto uliounguza wanyama ambao hatimaye waliokotwa na wawindaji. Walipokula ile nyama iliyobabuka kwa moto wakaona ina ladha hapo ndio asili ya kuchima nyama kabla ya kula.
 
.... wala sio suala la ardhi kufunguka ghafla but the materials coming out there. Kama ina elements za radio active hilo balaa usiombe.

Kwa nchi zinazojali, ilitakiwa hadi muda huu hilo eneo pawe "no fly" zone kisonekane kiumbe chochote within 50 mtr radius from the epicentre. But kama kawaida yetu upumbavu mwingi Shirima anashauri panafaa kuchomea nyama!

Kweli hata mimi wazo la kwanza liliniijia hiyo sehemu ingefungwa tena na Jeshi lingesimamia na kuhakikisha hiyo sehemu sio salama kwa viumbe

Ila tatizo letu ni maarifa hatuna na hilo huyo jamaa alitakiwa alijue tangu shule ya msingi

Ila inaonekana alienda kukariri tu vitabu ila hatari za ulimwengu zilimpita kushoto
 
nilikuwa sijaoina video bhana iyo chanzo si mwanadam may be hapo chin ni new vent 😮 sada wataalam wajitaid wawahi kidogo

Video HD toka Mashati Rombo Kilimanjaro Tanzania, ikionesha ardhi ikiwaka moto



Moto wa ajabu unavyoteketeza udongo, mawe kuwa kama unga katika eneo ardhi la Mashati Rombo katika eneo la Mtavangweni kata ya Mrao Keryo Mashati Rombo Tanzania
Source : rasta maximo
 
Wilayani Rombo, Tarafa Mashati kijiji cha Momwe kata ya Mraukeryo katika mwambao wa Mto Uwashi kumeonekana joto kali kutoka ardhini hali inayopelekea majani makavu kushika moto.

Tayari timu ya wataalam wa Giolojia kutoka Ofisi ya Madini Kanda, Ofisi ya Maliasili Mkoa wakiongozana na Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Rombo na Katibu Tawala Wilaya Rombo wamefika eneo la tukio na kutoa maelekezo ya awali ya Tahadhari wakati timu ya wataalam wa Miamba ikisubiriwa kufika na vifaa eneo la tukio.
 
Wilayani Rombo, Tarafa Mashati kijiji cha Momwe kata ya Mraukeryo katika mwambao wa Mto Uwashi kumeonekana joto kali kutoka ardhini hali inayopelekea majani makavu kushika moto.

Tayari timu ya wataalam wa Giolojia kutoka Ofisi ya Madini Kanda, Ofisi ya Maliasili Mkoa wakiongozana na Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Rombo na Katibu Tawala Wilaya Rombo wamefika eneo la tukio na kutoa maelekezo ya awali ya Tahadhari wakati timu ya wataalam wa Miamba ikisubiriwa kufika na vifaa eneo la tukio.View attachment 1950401
Bwashee hii taarifa imo humu tangu jana!

Poleni sana.
 
Back
Top Bottom