huu ni uchochezi,sasa tutaenda kukupima mkojo sasa hivi
Roma hivi sasa si wa mchezo mchezo, anajifua ili kujiimarisha kimwili na kiafya, mambo ya judo, karate, kung-fu, taekwondo na tikitaka ndio mpango mzima....
Nimerudi kutoka Zimbabwe...
Manati ya mzungu ni nouma wakimhitaji tena watamchukua kiulaini tu na hizo karate zakeDuuuh ila mwambie hakuna mbabe mbele ya manati ya mzungu
Roma hivi sasa si wa mchezo mchezo, anajifua ili kujiimarisha kimwili na kiafya, mambo ya judo, karate, kung-fu, taekwondo na tikitaka ndio mpango mzima....
Nimerudi kutoka Zimbabwe...
umeenda mbali,Duuuh ila mwambie hakuna mbabe mbele ya manati ya mzungu
Kha yule blazameni nae yumoNamuona mzee wa Fashoon
Mwambie aseee tusije kumpoteza tena ndugu yetuM
Manati ya mzungu ni nouma wakimhitaji tena watamchukua kiulaini tu na hizo karate zake