Mzawa_G
JF-Expert Member
- Feb 27, 2014
- 667
- 1,467
Kutokana na uwepo wa hali mbaya sana ya upepo mkali ambapo katika siku za usoni imeonekana maeneo mbalimbali ya marekani yanaweza yakashambuliwa na upepo mkali sana (Storm) Shirika la Nasa limeonelea kusitisha zoezi zima la urushwaji wa rocket hiyo
Kama tunavyofahamu kuwa dunia sasa inapitia kipicha cha kubadilisha majira ambapo kuna maeneo mengine yanaanza kuelekea katika vipindi vya baridi na upepo mkali huku maeneo mengine nayo yanaelekea kuwa katika kipindi cha kiangazi ,
Hivyo kwa maeneo ya Marekani kwa kipindi hichi huanza kupata mashambulizi mengi ya upepo mkali sana unaopelekea kuleta maafa kwenye makazi na kuuwa watu mbalimbali katika maeneo tofauti , Hivyo Nasa wameonelea kusitisha zoezi hilo mpaka pale watakapoona hali inayofaa kabisa
Hali mbaya ya hewa ni hatari sana kwa urushwaji wa Rocket kwa maana huweza kusababisha rocket kushindwa kabisa kwenda angani na matokeo yake kuanguka chini na kuharibika kabisa
Kama tunavyofahamu kuwa dunia sasa inapitia kipicha cha kubadilisha majira ambapo kuna maeneo mengine yanaanza kuelekea katika vipindi vya baridi na upepo mkali huku maeneo mengine nayo yanaelekea kuwa katika kipindi cha kiangazi ,
Hivyo kwa maeneo ya Marekani kwa kipindi hichi huanza kupata mashambulizi mengi ya upepo mkali sana unaopelekea kuleta maafa kwenye makazi na kuuwa watu mbalimbali katika maeneo tofauti , Hivyo Nasa wameonelea kusitisha zoezi hilo mpaka pale watakapoona hali inayofaa kabisa
Hali mbaya ya hewa ni hatari sana kwa urushwaji wa Rocket kwa maana huweza kusababisha rocket kushindwa kabisa kwenda angani na matokeo yake kuanguka chini na kuharibika kabisa