Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,651
Habari za Jumapili Ndugu Zangu WanaJF.
Ni Tumaini Langu kuwa mpo sawa na Mnaendelea vema na harakati za kila siku za kutafuta Riziki na Mkate wa kila siku.
Mwenzenu mimi Kiufupi Nilikuwa Mtu mwenye Huruma sana, Ambaye jambo kidogo likienda ndivyo sivyo Nasononeka sana na Hupenda kutafuta suluhu.
kama mwaka jana hivi katikatia Nilikutana na changamoto kadhaa hasa kwa upande wa Marafiki zangu yaani tulishindwa kuelewana Lugha ikawa kama tumekaushiana..Basi kwa kuwa walikuwa kama wa tatu ivi nikakosa Namna japo iliniuma sanaa sometimes vile nikikumbuka tulivyowahi kuwa na nyakati njema Hapo Nyuma.
basi nikajikuta sikutaka suluhu wala Kujishusha japo sikutaka kuwapoteza na Roho ilikuwa Ikiuma.....Basi siku zikazidi kwenda na Maumivu yakawa sugu na nikawa siumii tena.
Cha ajabu sasa Hata mtu yeyote Nikikosana nae lugha au Hata Kugombana yaani sijisikii Kujutia wala Kusononeka naonaa kawaida tu. Kiufupi Naona Naanza Kuwa na Roho Ngumu Kama sio Mbaya. Je Hii ni sawa wananduu? Je niendelee Hivi Au Nirudie Hali yangu ya Mwanzo.
Ni Tumaini Langu kuwa mpo sawa na Mnaendelea vema na harakati za kila siku za kutafuta Riziki na Mkate wa kila siku.
Mwenzenu mimi Kiufupi Nilikuwa Mtu mwenye Huruma sana, Ambaye jambo kidogo likienda ndivyo sivyo Nasononeka sana na Hupenda kutafuta suluhu.
kama mwaka jana hivi katikatia Nilikutana na changamoto kadhaa hasa kwa upande wa Marafiki zangu yaani tulishindwa kuelewana Lugha ikawa kama tumekaushiana..Basi kwa kuwa walikuwa kama wa tatu ivi nikakosa Namna japo iliniuma sanaa sometimes vile nikikumbuka tulivyowahi kuwa na nyakati njema Hapo Nyuma.
basi nikajikuta sikutaka suluhu wala Kujishusha japo sikutaka kuwapoteza na Roho ilikuwa Ikiuma.....Basi siku zikazidi kwenda na Maumivu yakawa sugu na nikawa siumii tena.
Cha ajabu sasa Hata mtu yeyote Nikikosana nae lugha au Hata Kugombana yaani sijisikii Kujutia wala Kusononeka naonaa kawaida tu. Kiufupi Naona Naanza Kuwa na Roho Ngumu Kama sio Mbaya. Je Hii ni sawa wananduu? Je niendelee Hivi Au Nirudie Hali yangu ya Mwanzo.