Roho inaniuma nimetimiza miaka 35 sina mtoto wala maisha

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,179
3,539
Roho inaniuma jamani leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.

Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpaka leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii.
 
Roho inaniuma jamani Leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.

Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpka Leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii
Badili mazingira, mbinu za utafutaji na uongeze bidii.
 
Roho inaniuma jamani Leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.

Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpka Leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii
Usiogope, wako watu wanamaisha na watoto lakini ni wagonjwa sana, wako watu wana maisha ila hata mtoto wa dawa hawana.
 
Roho inaniuma jamani Leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.

Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpka Leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii
Mkuu pole sana....tupo pamoja just jana tuuu nimewaza hivi ningekuwa na mtoto tangu chuo....Mkuu tujilipue au uansemaje.
 
Roho inaniuma jamani Leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.

Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpka Leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii
Mimi nina miaka 31 sasa hivi, niko kama wewe ila niko MAKINI.

Ni bora uwe na familia lakini usiwe na hela. Utapambana hata kuilisha kwa GENGE. Elimu watoto watapata hata ELIMU BURE.

Jambo la msingi tu usizae watoto wengi.

Punguza matarajio, oa mwanamke wa kawaida uanze maisha.

Tatizo letu vijana tuna matarajio na ndoto kubwa sana, mwisho wa siku umri unatutupa mkono wakati PESA HATUNA na FAMILIA hatuna.

Tunabaki kuzurula kwenye familia za watu kupiga stori za MAJUNGU.
 
Huna maisha kivipi? Pambana uyashinde maisha wewe! Usikubali hata siku moja maisha yakushinde.

Angalia ulipo jukwaa ni wapi! Ili ufanikiwe, ni lazima ubadili mwendendo wako mbaya wa maisha! Hakuna namna. Miaka 35 huna mtoto? Maana yake huna madhara, au!!!
 
Roho inaniuma jamani Leo nimetimiza miaka 35 kamili sina mtoto wala sina maisha licha ya kutumia miaka 10 katika kupambana na maisha.

Uzee sasa umepiga hodi taratibu hapa nilipo nahisi naanza kuchanganyikiwa kwa umri huu mpka Leo hii naishi maisha ya kubangaiza nipate hela ya kula miaka 35 yote hii
Nyie si huwa mnasema huwezi kujitolea ukalipwa laki kwa mwezi. Pambana utafika tu.
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom