ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,562
- 2,172
Daa mkuu umemaliza kila kitu yani.Binadamu tunataabika sana kwa kujifanyia ulinganifu katika maisha na watu wengine. MUNGU kila mja amempangia mapito yake.Wakati yeye anasikitika hana watoto na maisha yanayoeleweka, kuna mtu anapigania walau apone tu na dalili haipo! Tushukuru kwa kila jambo mkuu