Roho inaniuma: Nimetimiza miaka 35 sina maendeleo yoyote ya kujivunia niliyoweza kuyafanya

Tazama kanuni za kujiunga JF ... Unaonekana umri wako ni chini ya miaka 18, hivyo ni kosa lako kuingia kwenye jamvi lililokuzidi... Hapa hatufundishi maadili, ni vyema utambue kwamba kila fanani ana namna yake ya kufikisha ujumbe kwa hadhira! Kama hujaelewa jambo kaa kimya huenda ukaelewa hata wiki ijayo huna sababu ya kuumiza kicha. Jaribu kuwaza mambo mepesi mfano mkao wa chura ni kwamba amesimama, amechuchumaa ama ni mapozi ? Uwe na adabu kwa baba zako siku nyingine!
Please don't tell me this is not a joke!! kusema ukweli ningekua mtoto basi ningejipongeza kumzid akili mtu mzima.... na kwa ulichoandika kama kweli ww ni mtu mzima basi umeruka stage au unazeeka vibaya...hii ni jamii forums sasa nenda katafute nini maana ya jamii kuna watoto wadogo siku hizi wanamiliki simu so choose your words careful au utajikuta unazalisha kizazi cha wambea.. wajinga...wahuni...makahaba wezi na majambazi..watu wasiojali muda na kila aina ya ujinga wa kiafrika.. you heard me old man??...
 
bila pesa amani inatoka wapi????... imagine wewe upo kwenye hii situation "huna pesa ya kula wiki nzima...maji hakuna....tumbo linaunguruma muda huo.... mwenye nyumba yupo dirishani usiombee awe wa kike....umemkopa mangi mpaka unaona aibu hata kupita nje ya duka lake...hata hujui kama kesho utafika na ukumbuke marafiki wote wamekimbia na majirani wamenichoka sbb nakopa alafu napotea kwenye mazingira ya kutatanisha. kwa shemeji nishakaa miaka mitatu nikirudi huu wa nne". Wewe unafikiri ungekuwa na amani hapo??? ..nilishapitia hivyo vitu so usimuongopee mwambie afanye kitu....
Hahahahahahha nimekuelewa sana. Swalii kanzwa anaishi maeneoo ganii
 
Please don't tell me this is not a joke!! kusema ukweli ningekua mtoto basi ningejipongeza kumzid akili mtu mzima.... na kwa ulichoandika kama kweli ww ni mtu mzima basi umeruka stage...hii ni jamii forums sasa nenda katafute nini maana ya jamii kuna watoto wadogo siku hizi wanamiliki simu so choose your words careful au utajikuta unazalisha kizazi cha wambea.. wajinga...wahuni...makahaba wezi na majambazi..watu wasiojali muda na kila aina ya ujinga wa kiafrika.. you heard me old man??...
Mbona unanifata sana, nina mke tafadhali sihitaji nyumba ndogo, mke wangu ananitosha! Wewe unajiona mwerevu wa kizungu right?
 
Back to the topic;-
Brothers & sisters especially graduates na wengine walio attain taasisi za elimu ya juu pamoja na Polytechnic Collages tunapaswa kuelewa mfumo wa elimu tunaopitia lengo lake si kujitegemea bali kuwa tegemezi..Yes!
Elimu ilipaswa kuwa katika mfumo wa pembetatu kwamba kadiri mnavyozidi kusogea mbele kitaaluma ndivyo idadi ya inazidi kuwa ndogo ila imekuwa kinyume..Nisiwachoshe! Yaliyotokea yamekwishatukia......
sasa...
Ili kusaidika na kusaidia wengine wanaopitia situation kama hizo ni bora mtu akija hapa aweke wazi kabisa kwamba ...Background yangu iko hivi na hivi, kwamba nilipita hapa na pale(si lazima kuonesha) na kwa muktadha huo nina uwezo wa kufanya moja mbili tatu no matter haitakuwa kwenye jambo ulilobobea...
Kwa kuwa JF ni kisima cha maarifa naamini kwa dhati kabisa kwamba watapita wana wema huku ambao wanaweza kureinforce idia zako na kukupush kwa namna moja ama nyingine wakati ukisubiri field ulibobea..
Nionavyo miaka 35 si haba yumkini kuna sehemu hukupanga vyema vipaumbele vyako, na sasa unaitambua so ni muda wa kuinuka na kusonga mbele badala ya kulaumu ulipoangukia....Imeisha!
 
Daah nyie wazee wa siku hizi busara zimesafiri kabisa....sawa mzee msalimie shem hapo....
Madhali mama yako ananitii nyumbani na wadogo zako wanakula na kulala busara unazotaka kwangu si za muhimu sana! Ila jifunze kutumia kichwa kufikiri walau mara moja moja hutofilisika!
 
haya nimekusikia mzee...
Good.. Muungwana akivuliwa nguo huchutama! Sasa unaonaje hapa ukatoa wazo ambalo litasaidia vijana wenzio kujikwamua kimaisha ama kuwabadili kimtazamo ili kesho keshokutwa wakuombee dua njema? Any business idea/Plan na vingine vinavyofanana na hivyo!
 
Yes mkuu, kuna watu wako serious na maisha hadi wanasahau kuishi, ni vyema tukabadili mind set zetu na kujua kwamba maisha ni haya tunayoishi na kwamba hatuelei angani kwa ajili ya kuandaa so called maisha...simple, kama bado unasubiri mume/mke bora atoke sayari nyingine subiri ila usimnange mwenzio ambaye naye anaishi na shilole wake ki uchebe uchebe wakati huo huo akimsubiri ajaye! Penda, gombana kidogo ,kopa kidogo,fitini inapobidi, chepuka kiasi, sali kiasi, siasa kidogo,jiweke classic kiasi, kuwa mkaidi, shabikia chochote ilimradi tu birthday zinasoma...baaaaasi!
Nimeupenda sana huu ushauri
 
Umri sio kitu cha kuwazia kuhusu umri wew pambana tu KUISHI na kufa Ni suala lililo nje ya uwezo wa mwanadamu
Alafu simamia mtizamo sahihi kuhusu maisha na mafanikio
Mafanikio ni wakati wowote ila juhudi zinaitajika bila kukoma
Upo sahihi age is just a number and success is ongoing process
 
Hupaswi kuwa na Career wala academic goals. Inapaswa kuandaa malengo ambayo yatafanya maisha yawe na mlinganyo sahili, mathalan afya yako ya mwili, mahusiano, na kuhakikisha afya yako ya kiakili ipo sawa. Hakuna siku utapata kombe kwa kuwa na mahusiano yaliyo na utapiamlo simply kwa kuwa malengo yako yalikuwa kwenye kumiliki material things. Don't take life too seriously,as we are really temporary here.

Duniani tumekuja kutalii tu na kuondoka , sana sana tukiwa na bahati we may last another 50 years kutoka sasa na kama ujuavyo mwezi mmoja una weekend 4 hivyo kuufanya mwaka mzima kuwa na weekend 48. Hivyo basi kwa muktadha huo ikiwa utajaaliwa miaka mingine 50 ni sawa na weekends 2400. Do we really need toget so worked up?....Ni sawa!

Unapaswa kuwa na elimu ya maarifa, kujipa likizo kwenye jambo lolote unalofanya, kupenda,kuwa na mitafaruku kidogo kwenye mahusiano, ...it's ok!

Usiwe serious sana kwenye maisha, kama maisha yanakuletea mapozi achana nayo fanya mambo mengine yaliyo ndani ya uwezo wako ili ufurahie kila moment as it comes.
Kwa maelezo yako hapo juu basi jamaa inabidi asioe wala asiwe na mtoto, vile umeshahuri kuwa achukulie maisha ni poa tu. Hakika maisha hayapo poa, ili maisha yaende yakubidi uwe siriasi na maisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom