Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Starehe ni sehemu ya maishaMshikaji wa pili ni boya fulani hivi, akipata pesa ndo kwanza anakuita mkale bia
Starehe ni sehemu ya maishaMshikaji wa pili ni boya fulani hivi, akipata pesa ndo kwanza anakuita mkale bia
Jamaa akizikamata, kisha demu akataka kurudi wewe utatoa ushauri gani?Nothing personal but it's all about someone's future!!
Upo sahihi kabisa. Hakuna wife material hapo.Huyo mwanamke piga chini mkuu maana ata ukitoboa siku ukiyumba kidogo kimaisha atarudia kauli zake!
Kipindi nina mgogoro na mpenzi wangu niliomba ushauri humu JF kutokana na tabia za mpenzi wangu wengi walinishauri nijaribu kukaa naye chini na kuzungumza nae kiupole hatimaye nimefanikiwa na tumezungumza .
Katika mazungumzo aliniambia kiustarabu anaona bora tuachane au tuvunje uhusiano kwa sababu zifuatazo
1. Haoni future nzuli na Mimi hivyo anaona kama nampotezea muda
2. Maisha yangu hayaeleweki nimekuwa mtu wa kubangaiza ninaishi maisha ya kubahatisha hivyo bado sijasimama
3. Amejitahidi kuvumilia hali yangu ya maisha lakini uvimilivu unamshinda kwani Miaka yote haoni mabadiliko kila siku niko vile vile haoni hatua yoyote nilioipiga Katika maisha haya.
4. Finally akaniambia amenipa muda anataka kuona maisha yangu yanabadilika anataka kuona natoboa Katika maisha haya
Ila alichoniambia Kikubwa tuvunje uhusiano kama sitoweza kutimiza Yale anayoyataka yeye nimuache aendelee na maisha yake
Endelea na maisha yako. Futa number yake. Mtie block social media. Unajiitaje msela alafu una roho ndogo namna hii mkuu?Kipindi nina mgogoro na mpenzi wangu niliomba ushauri humu JF kutokana na tabia za mpenzi wangu wengi walinishauri nijaribu kukaa naye chini na kuzungumza nae kiupole hatimaye nimefanikiwa na tumezungumza .
Katika mazungumzo aliniambia kiustarabu anaona bora tuachane au tuvunje uhusiano kwa sababu zifuatazo
1. Haoni future nzuli na Mimi hivyo anaona kama nampotezea muda
2. Maisha yangu hayaeleweki nimekuwa mtu wa kubangaiza ninaishi maisha ya kubahatisha hivyo bado sijasimama
3. Amejitahidi kuvumilia hali yangu ya maisha lakini uvimilivu unamshinda kwani Miaka yote haoni mabadiliko kila siku niko vile vile haoni hatua yoyote nilioipiga Katika maisha haya.
4. Finally akaniambia amenipa muda anataka kuona maisha yangu yanabadilika anataka kuona natoboa Katika maisha haya
Ila alichoniambia Kikubwa tuvunje uhusiano kama sitoweza kutimiza Yale anayoyataka yeye nimuache aendelee na maisha yake
Kaka mkubwa, mimi nikiachana na mwanamke kamwe hawezi kuwa rafiki yangu.Ni bora kuachana kwa amani kuliko kwa shari.
Hata mitetea inapenda kukaa na yule jogoo mbabe kuliko wote.Hamna namna kwa kweli, aache tu wenye visu vikali waendelee kula nyama kwa sababu kwa miaka na dahari, always you must have something in order to handle a woman!!
Hata hizo enzi tunazoambiwa eti kulikuwa na mapenzi ya kweli unakuta waliokuwa wanapata mademu utasikia ama ni wapiga ngoma maarufu kijijini, wawindaji au wapiga jembe wa ukweli shamban and all that; seuze hivi sasa!
Kaka mkubwa, mimi nikiachana na mwanamke kamwe hawezi kuwa rafiki yangu.
Mkuu, sio kwamba ni suala la shari ama uadui ila mimi ninaamini mapenzi yaliyovunjika hayawezi kuwa "recycled" yakapewa jina urafikiKwa hiyo unapenda kuachana kwa shari ili kujenga uadui?
Mkuu, sio kwamba ni suala la shari ama uadui ila mimi ninaamini mapenzi yaliyovunjika hayawezi kuwa "recycled" yakapewa jina urafiki
Mimi na dada watatu tena vyuma kweli kweli najua nacho ongea bro ha ha haBaba umetishaaaaaaa
Kabisa mkuu maana hana mpango na jamaa ila yuko na mpango na mfuko wa jamaa utakaaje!!Upo sahihi kabisa. Hakuna wife material hapo.
Halafu hiyo sijawahi kuwa na uadui na ex-wangu!! Hata ikitokea tuliachana katika mazingira ya kununiana, LAZIMA nitafuta namna ya kusawazisha mambo bila kujali nani tatizo ili mradi tu finally tuwe apart in peace!!!Kwa hiyo unapenda kuachana kwa shari ili kujenga uadui?
Issue sio kuzikamata bali issue ni future! Unaweza kuzikamata halafu bado usioneshe bright future!Jamaa akizikamata, kisha demu akataka kurudi wewe utatoa ushauri gani?
Hapo kwenye RED ni kwa watu ambao they can't handle and manage their social lives on their own, na hivyo mnatafuta external backup!Endelea na maisha yako. Futa number yake. Mtie block social media. Unajiitaje msela alafu una roho ndogo namna hii mkuu?
Now you're talking! Nitakutumia Bajaj mida ya saa 3-4 usiku ili akufuate!!Naachaje kuja sasa
DuuuhHamna namna kwa kweli, aache tu wenye visu vikali waendelee kula nyama kwa sababu kwa miaka na dahari, always you must have something in order to handle a woman!!
Hata hizo enzi tunazoambiwa eti kulikuwa na mapenzi ya kweli unakuta waliokuwa wanapata mademu utasikia ama ni wapiga ngoma maarufu kijijini, wawindaji au wapiga jembe wa ukweli shamban and all that; seuze hivi sasa!
Halafu hiyo sijawahi kuwa na uadui na ex-wangu!! Hata ikitokea tuliachana katika mazingira ya kununiana, LAZIMA nitafuta namna ya kusawazisha mambo bila kujali nani tatizo ili mradi tu finally tuwe apart in peace!!!
Infantry Soldier, grow up man! You don't need to make your ex one of your "enemies"!
Kwangu mimi ni never. Nikiachana na mpenzi wangu, that is a one way ticket, I will never look back.Man, kama huwezi kuacha, basi usiache kabisa or else learn how to manage separation bila ya kuhangaika kufuta contacts coz' you never know; unaweza kufika wakati wa kuhitaji kuwasialiana nae hata kwa mambo mengine!!