Topintz
Senior Member
- Aug 2, 2013
- 165
- 655
Ngoma ya kawaida sana!
acheni kumkweza hapo amna kitu
Ungeimba wewe.
Ngoma ya kawaida sana!
acheni kumkweza hapo amna kitu
Ya kwako kali saana...
hawakosekanagi watu kama hawa na hawatakuja kukosekana ni basi tuu Mungu akitaka kukufanikisha anakufanikisha hata wakiwepo milioni kama hawa still utafanikiwa tu na kuwaonyesha maajabu kila siku
Ungeimba wewe.
kwahiyo alichofanya ni kibaya kwa wewe??mapovuuuuuuu
hizi team zenu zinaharibu yaani kila kitu hata kibaya mnasifia tu
Too obvious!kwahiyo alichofanya ni kibaya kwa wewe??
Mbona marry you kafunikwa na neyo tumekubaliwack video, wack audio..it is below the expectations.
diamond anaonekana kaimba vizuri kuliko wenzake kwa sababu kaimba kwa lugha mnayoielewa vizuri.
nothing more, nothing less
Hakuna kitu nachukia ukisifia msanii fulan jitu linakuja kulopoka neno team ni ufinyu wa akili na kufukiria wa 0% Is not about team ni suala la kutambua kazi ya mtu na kumpongeza kwa nafasi yake kwa alicho fanya even ni ben paul, Ali kiba, Jux or mtu yeyote mpongeze... Wanao comments ni kwa namna alivyo feel nyimbo na sio woote wataupenda wimbo wapo watakao sema mbaya sana kama ww ko ni suala la kukubaliana na wazo la mtu Jux akitoa ngoma kama nimeikubali nitaisifia tu bt the same time wapo watakao ichukia ko ni suala la kawaida sasa sijui issue ya team inatoka wap.... Mschana unaye mpenda ww mm nitamwona garasa tu lakin wapo watakao kusifia kuwa una mrembo so yu hve to respect that bro.... Team ninayoifaham na kuishabikia ni Manchester Unitedmapovuuuuuuu
hizi team zenu zinaharibu yaani kila kitu hata kibaya mnasifia tu
Jiangalie dogo!Hakuna kitu nachukia ukisifia msanii fulan jitu linakuja kulopoka neno team ni ufinyu wa akili na kufukiria wa 0% Is not about team ni suala la kutambua kazi ya mtu na kumpongeza kwa nafasi yake kwa alicho fanya even ni ben paul, Ali kiba, Jux or mtu yeyote mpongeze... Wanao comments ni kwa namna alivyo feel nyimbo na sio woote wataupenda wimbo wapo watakao sema mbaya sana kama ww ko ni suala la kukubaliana na wazo la mtu Jux akitoa ngoma kama nimeikubali nitaisifia tu bt the same time wapo watakao ichukia ko ni suala la kawaida sasa sijui issue ya team inatoka wap.... Mschana unaye mpenda ww mm nitamwona garasa tu lakin wapo watakao kusifia kuwa una mrembo so yu hve to respect that bro.... Team ninayoifaham na kuishabikia ni Manchester United