Kwann ndege sizizotumia hizo jet engine hazito iyo kitu?Mkuu, ndege kubwa hasa za biashara zinatumia injini za jet. Zinapokuwa hewani huacha mistari meupe (moshi?)
Mvuke wenye unyevu nyevu wa gesi (una mchanganyiko wa carbon dioxide/hewa mkaa, sulphur, nitrojen, mafuta ambayo hayajaunguzwa, metal n.k) unaotolewa toka injini za jeti zikiwa angani kuanzia angalau mwinuko wa futi 20, 000 toka ardhini ambapo kuna joto dogo/mgandamizo mdogo wa hewa/ubaridi ambao hugandisha kwa muda hiyo gesi na kutengeneza kitu kinachoonekana kama moshi/mawingu. Ni kama ule mvuke/moshi anaopumua mtu kipindi cha baridi.
Viwanja vyote vikubwa ndege hizo huweza tua mfano Dar, Kilimanjaro na Mwanza. Hata Boeing 787 (dreamliner) yetu inatoa huo moshi ikiwa angani.
Kipindi cha utoto tulikuwa tunaita ndege za Urusi!View attachment 1463237View attachment 1463237
Tofauti ya vertically na holizontal ni nini?Hizo sio rocket,Ni jumbo jet,,rocket haina kiwanja,Ina launching pad,,pia rocket husafiri vertically sio holizontal Kama unavyoziona hizo jet zinazoacha mvuke,
Sawa zamani tukiona hivyo,tukidanganyana eti Ni rocket,siyo
⬆️↔️🔝🔜Tofauti ya vertically na holizontal ni nini?
Aahha kuna mmoja akanambia kwa Africa zile zinatua south Africa pekee na ikisema itue kiwanja Kama cha dar bas maghorofa yataangua meng kwa kishindo chake/ tulibishan SanaAfadhali mtuelimishe make mtaani utadanganywa sana na watu wasiona uelewa
Kuna ndege zinatumia propeller engine na zile za jet engine,,za jet ndo hutoa huo mvuke,Kwann ndege sizizotumia hizo jet engine hazito iyo kitu?
Okay nimekuelewa mkuuKuna ndege zinatumia propeller engine na zile za jet engine,,za jet ndo hutoa huo mvuke,
Rocket zenyewe hutumia rocket engine na zinakuwa na propellent either solid ama liguid,ambazo ndo huungua kuform thrust,
Hahaha kwahyo bahari walihisi ni mweziKwenye porojo za mtaani unaambiwa Pakistan walirusha rocket kwenda mwezini baada ya siku moja wakatangaza wamegundua kuna maji kwenye mwezi. Jana yake India walikuwa wameshatangaza rocket ya Pakistan yaanguka bahari ya hindi.
Hatari sana..Apana hamna uwanja wa rocket kwanza, huwa inafytuliwa kwenye shuttle zake.
Na huwa inaenda wima direct masafa ya mbali kama mwezini, mars n.k
Hii hapaView attachment 1463288
Mahesabu yalikosewa, walijua waeirusha ikatua mwezini wakati iliangukia bahariniHahaha kwahyo bahari walihisi ni mwezi