Jambo Tz
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 670
- 202
Nilikuwa Mwanza kwenye mwezi wa sita tarehe 25 nikakutana na mabango makubwa ''Rock city mall, itafunguliwa hivi karibuni, kutokana na muda wangu kuwa mdogo sikuweza kufuatilia habari hiyo ya kufunguliwa kwa mall hiyo kubwa na kisasa kwa Kanda ya Ziwa.
So hivyo basi napenda kujua kama imeshafuguliwa ama laa na upatikanaji wa nafasi/pango ukoje kwa pande izo.
So wadau naomba mnijuze namie nije niwekeze pande hizo watu wangu.
So hivyo basi napenda kujua kama imeshafuguliwa ama laa na upatikanaji wa nafasi/pango ukoje kwa pande izo.
So wadau naomba mnijuze namie nije niwekeze pande hizo watu wangu.