Martinez atawafaa zaidi.Everton bado wana option nyingi kuna Lennon wa Celtic au Laudrup wa Swansea
dah ndo mpira .kocha anaajiriwa ili afukuzwe but kidigital zaidi
Everton bado wana option nyingi kuna Lennon wa Celtic au Laudrup wa Swansea
Hoja yangu ni hii ruthlesness ya hawa sijui bodi na.mwenye timu....kwamba wao hawajali kama msimu umeisha au la...kulikuwa na.matarajio.makubwa sana.and yet there can only be one winner.
Tatizo lake kubwa ninaloona ni ugomvi.na wachezaji pamoja na watendaji..niseme.arrogance? Ila thats wha u get unapokuwa na mastar kibao kwen time
Mechi ya FA na Wigan nilijua something os seriously wrong
Roberto Mancini has been sacked by Manchester City after three and half years in the job.
Source: Skysports News.