Informer
JF-Expert Member
- Jul 29, 2006
- 1,582
- 6,627
Mwenyekiti Mtendaji wa Kampuni ya Simon Group, ambao walikuwa wamiliku wa UDA, Robert Kisena amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
MKURUGENZI UDART NA WENZAKE WASOMEWA MASHTAKA 19 LIKIWEMO LA UTAKATISHAJI FEDHA
Mkurugenzi wa UDART, Robert Kisena(46) na wenzake watatu akiwemo raia wa China, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashitaka 19 yakiwemo ya utakatishaji na kusababisha UDART hasara ya zaidi ya BIL. 2.41.
Mbali ya Kisena, washitakiwa wengine ambao wote wamesomewa mashtaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba ni Kulwa Kisena(33), Charles Newe(47) na Cheni Shi (32). Raia wa China.
Katika mashtaka hayo, lipo shtaka moja La kuongoza uhalifu, shtaka moja La kujenga kituo cha mafuta bila kibali, shtaka moja La kuuza mafuta sehemu zisizoruhusiwa.
Kwa kumbukumbu:
Robert Kisena atangaza kufilisika kwa UDA
Huyu ndiye Simon Kisena mnunuzi wa UDA?
Sakata UDA: Hivi ndivyo madiwani na wabunge wa DSM wanavyotuhumiwa kuhongwa kufunika kombe - JamiiForums
Sakata la Ukwapuzi wa UDA kufufuliwa? - JamiiForums
MKURUGENZI UDART NA WENZAKE WASOMEWA MASHTAKA 19 LIKIWEMO LA UTAKATISHAJI FEDHA
Mkurugenzi wa UDART, Robert Kisena(46) na wenzake watatu akiwemo raia wa China, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashitaka 19 yakiwemo ya utakatishaji na kusababisha UDART hasara ya zaidi ya BIL. 2.41.
Mbali ya Kisena, washitakiwa wengine ambao wote wamesomewa mashtaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba ni Kulwa Kisena(33), Charles Newe(47) na Cheni Shi (32). Raia wa China.
Katika mashtaka hayo, lipo shtaka moja La kuongoza uhalifu, shtaka moja La kujenga kituo cha mafuta bila kibali, shtaka moja La kuuza mafuta sehemu zisizoruhusiwa.
Kwa kumbukumbu:
Robert Kisena atangaza kufilisika kwa UDA
Huyu ndiye Simon Kisena mnunuzi wa UDA?
Sakata UDA: Hivi ndivyo madiwani na wabunge wa DSM wanavyotuhumiwa kuhongwa kufunika kombe - JamiiForums
Sakata la Ukwapuzi wa UDA kufufuliwa? - JamiiForums