Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,609
- 218,032
Florencia Membe anayetajwa kama mke wa kibopa wa UDART, Mtukufu Robert Kisena amefikishwa mahakamani kwa kosa la kutakatisha zaidi ya bil 2 pamoja na Uhujumu uchumi.
Amenyimwa dhamana na kupelekwa Rumande .
Kwa faida ya wanaJF na wengine:
Ukiacha kuwa boss wa UDART, Mtukufu Kisena ndiye yule mgombea wa CCM jimbo la Maswa aliyemtandika ngwala na makofi OCD wakati akigombea ubunge dhidi ya John Shibuda wa CHADEMA, ambapo aliangukia pua. Cha kufurahisha ni kwamba hata baada ya kumkata mitama OCD hakuwahi kuchukuliwa hatua yoyote ile ikiwa ni angalau kuitwa kwa mjumbe wa nyumba 10