Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,762
- 4,515
Maisha ni zaidi ya utajiri. Muhimu watu wote wamudu kupata basic needs tusasa wewe unataka kila mtu atajirike? haiwezekani, capitalism haipo ivo! au hujui maaana ya capitalism? nadhan tushaskiliza izi Pumba zenu za demokrasia na tushazichoka, nadhan muanze kwa kuonyesha mfano! wekeni mwenyekiti mpya kwanza tujue nyie sio wachumia tumbo