Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpumbavu ni nyie CCM yaani kweli na vifo vyote hivi bado huoni umuhimu wa kilichoandikwa!Kisa tu Magu anakupeleka chooniHuu ni upumbafu mkubwaaaa ndo kusema huyo Amstarderm ana huruma sana na wananchi wa Tanzania, aende zake awaonee huruma nchi yake ambao janga hili pia limeua maelfu ya watu. Tanzania ni nchi huru ina misimmamo yake na wala haiwezi ingiliwa
Huyo atakuwa hajalipwa na Tundu Lisu so njaa inamuuma!
Mpumbavu ni nyie CCM yaani kweli na vifo vyote hivi bado huoni umuhimu wa kilichoandikwa!Kisa tu Magu anakupeleka chooni
Huyo hana akiri anatafuta wanaume tanzania.''Wiki hii kampuni yetu imewasilisha barua ya nyongeza kwa malalamiko yetu mbele ya jumuia ya madola. Kukataa kwa uzembe kwa Magufuli juu ya janga la COVID-19 inawakilisha ukiukaji wa haki za binadamu chini ya Azimio la Harare. ''View attachment 1707444View attachment 1707448View attachment 1707446
View attachment 1707449
This guy is not behaving like other “learned brothers and sisters”.
Hawa Common Wealth hawawezi kufanya lolote kusaidia the so called “health and humanitarian emergency” in Tanzania. As much as the health emergency is concerned, Nchi zao zipo hoi zaidi
Itakuwa unetekwa kiakili ndiyo maana huyaonisisi tunao ishi ndani ya Tanzania ndio tunajua mambo makubwa ya kimaendeleo aliyo yafanya kwa ajili ya watanzania.
hayo mengine ni maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa.
Kwa yaliyo ya msingi yafaa tuache mzaha.Huyo atakuwa hajalipwa na Tundu Lisu so njaa inamuuma!
Nilikuwa sifahamu kwamba wamiliki halali wa nchi hii ni Jumuiya ya Madola.''Wiki hii kampuni yetu imewasilisha barua ya nyongeza kwa malalamiko yetu mbele ya jumuia ya madola. Kukataa kwa uzembe kwa Magufuli juu ya janga la COVID-19 inawakilisha ukiukaji wa haki za binadamu chini ya Azimio la Harare. ''View attachment 1707444View attachment 1707448View attachment 1707446
View attachment 1707449
I'm satisfied of course, this fellow, there's nothing in his headHuyu bwana ni mpuuzi sana,baada ya ndoano yake kukosa samaki, sasa ameaza kutupia ndoana yake hata kwenye maji ya kwenye kikombe akiamini atapata samaki.
Amsterdam na CHADEMA wana mapepo. Sio wao ni mapepo yanafurukuta''Wiki hii kampuni yetu imewasilisha barua ya nyongeza kwa malalamiko yetu mbele ya jumuia ya madola. Kukataa kwa uzembe kwa Magufuli juu ya janga la COVID-19 inawakilisha ukiukaji wa haki za binadamu chini ya Azimio la Harare. ''View attachment 1707444View attachment 1707448View attachment 1707446
View attachment 1707449
Amsterdam ni sawa na Mbwa wa stesheni hang'ati....Kuna watu hawana akili kabisa. Kwani nani amesema Tanzania hakuna corona? Kila muda Rais anasema watu wachukue tahadhali,sasa anatoka mbwa mmoja hata hakai Tanzania anaanza kuharisha harisha kama Malaya. Period
Wewe huna tofauti na shetani!Amsterdam ni sawa na Mbwa wa stesheni hang'ati....
Labda ameona lisu 'hafanyi kazi yake' sawa sawa kwa hiyo anatafuta njia ya kutokeaAmemchoka Lissu Sasa kila siku anahangaika na Magufuli