Robert Amsterdam athibitisha kufungua mashitaka ya uhalifu dhidi ya binadamu kwa Tanzania ndani ya ICC jumatatu

Ninyi kweli vilaza na nyumbu. Hivi kweli bado tu huyu mpuuzi kawashikilia akili zenu.

Basi subirini aendelee kuwathibitishia.

MTU MWENYE AKILI, AKIKUAMBIA JAMBO LA KIPUMBAVU, NA ANAJUA UNA AKILI, NA UKALIKUBARI, ANAKUDHARAU. Mwl. J.K. Nyerere.

Babu Amstaderm kawashikia akili zenu.

Fanyeni kazi, achaneni na upuuzi wa kushikiwa akili na wazungu. Hawapigi kura mjue na 2025 sio mbali na hii 2021 bado mnapiga kelele na porojo Chama kinakufa.
Utaumia bure ndugu yangu, haya manyumbu hata uyaambie ukweli hayaelewi unajisumbua tuu.
Kila yanachoambiwa yamo tuu nyumbu hovyo kabisa.
 
Baada ya gwiji la sheria la kimataifa ndugu Robert Amsterdam kufanikiwa kuishawishi idara ya mambo ya nje ya Umoja wa Ulaya kuijadili Tanzania dhidi ya ukiukwaji wa haki za binadamu na hatimaye kusubiri hatua rasmi za kinidhamu kuchukuliwa, sasa Robert amethibitisha rasmi kuwa jumatatu anaenda ICC kufungua mashitaka dhidi ya uhalifu wa binadamu nchini Tanzania.

Kwa mujibu wa kanuni za ICC, endapo mashitaka yatafunguliwa basi Tanzania itahitajika kupeleka utetezi wake na kisha pande zote mbili kujadiliwa kwa kina.

Sasa mataifa mbalimbali yanaendelea kuchukua hatua dhidi ya Tanzania baada ya ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na uhuru kipindi cha uchaguzi mkuu wa mwaka 2020.
Uongo mtupu. Hakuna cha kufunguwa au kufunguliwa kesi. Hiyo ilikuwa tishia toto dogo. Tundu Lissu na Amstedam walipata mradi wa kukusanya pesa toka wahisani wakijidai za kuendeshea kesi ICC. Pesa wameisha pata sasa wanatafuta njia ya kutokea ili wazitumie hizo pesa na familia zao. Hao wawili ni wanasheria waliobobea na hayo waliyajuwa mapema lakini wakaendelea kuwadanganya wafuasi jinsi serkali ya TZ itakavyo shughulikiwa huku wakijuwa ni uongo. Matapeli saana hao. Sasa wanakula matapishi yao. Ukweli ni huu hapa, pakua: Tanzania elections: Why Chadema hasn’t filed a case at the ICC
 
Mzee wa chatoh lazima apande ndege mwaka huu ; iwe kwa hiari ama lazima ha ha ha

Kweli kila mtu na mtemi wake!!
 
Mzee ICC sio Kisutu. Jiandaeni tu
Kitendo tu cha kujadikiwa na umoja wa Ulaya ni aibu kubwa kwa sifa ya Tanzania iliyokuwa nayo.

Kitendo cha ma file kufika kwa mwendesha mashitaka hata kama hayatapita ila ni fedheha kubwa kwa taifa letu.

Yote haya yameletanizwa na CCM; uchu wa madaraka!!
 
Kitendo tu cha kujadikiwa na umoja wa Ulaya ni aibu kubwa kwa sifa ya Tanzania iliyokuwa nayo.

Kitendo cha ma file kufika kwa mwendesha mashitaka hata kama hayatapita ila ni fedheha kubwa kwa taifa letu.

Yote haya yameletanizwa na CCM; uchu wa madaraka!!

Ya kweli haya? Yaani adui yako kukuzushia jambo iwe ni fedheha? Aibu ni kwa mtu aliyesoma sheria halafu anapeleka untenable allegations kwa prosecutor.

Kuna dalili kwamba hujui jinsi ya kuwatambua wenye uchu wa madaraka. Ngoja nikumegee baadhi ya sifa zao muhimu:
1. Wanaamini washindi halali wa uchaguzi ni wao hata kama matokeo hayaoneshi hivyo. Ushindi wa wengine ni kwa sababu ya dhuluma.
2. Wanaweka maslahi yao binafsi mbele ya yale ya taifa. Ni rahisi zaidi kwao kushirikiana na foreign actors kuhujumu taifa lao kuliko kukubali kukosa madaraka wanayoyataka.
 
Nimepitia bandiko kuhusu hatua za kesi hadi kufunguliwa - kuna hatua ni pagumu mno kupapita

Kuna nchi tano, kwenye Balaza la Usalama la Umoja wa Mataifa hizo nchi ni
Marekani, Ufaransa, Uingeleza, Urusi na China - Sasa ili kesi ianze kusikilizwa lazima Balaza hili liibariki na ikitokea nchi moja tu imekataa basi hiyo kesi haipo tena

Sasa kwenye hii kesi yetu - na katika hizo nchi 5 nilizotaja MCHAWI wetu si yupo waziwazi pale anaonekana - eeee ni lazima atagoma tu - kwa hiyo CCM hii itaendelea kufanya chochote wakakacho sababu hakuna mtu wa kuwafanya kitu - labda tu kusitisha misaada ndiyo dawa yao
 
Kitendo tu cha kujadikiwa na umoja wa Ulaya ni aibu kubwa kwa sifa ya Tanzania iliyokuwa nayo.

Kitendo cha ma file kufika kwa mwendesha mashitaka hata kama hayatapita ila ni fedheha kubwa kwa taifa letu.

Yote haya yameletanizwa na CCM; uchu wa madaraka!!
Hilo ndio jambo ambalo MATAGA wanashindwa kuelewa. Kwa heshima ya Tanzania ilivyo kuwa, kitendo cha kuchunguzwa na Chief prosecutor wa ICC sio jambo lenye afya hata kidogo.
Ni sawa na mtu mwenye heshima mtaani akashtakiwa achunguzwe kuwa ndio mwizi wa kuku hapo mtaani.
Hata akishinda uchunguzi huo, tayari amebeba aibu ya kutuhumiwa na kwa jambo lisilo heshima kwake.
Magufuli na ccm yake wameleta fedheha. Na Mara tuu akiondoka madarakani wenzake ndani ya chama watamtupia kila aina ya uchafu mpaka atashangaa alivyo geukwa
 
Silaumu Ujinga wa Robati Ila nalaumu Ujinga wa wafuasi wake hapa Tanzania Kwa kupenda umbea kuliko kazi!!
 
Back
Top Bottom