Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
Hapa mpaka tuanze kutafutana kwa mchaka mchaka wa Libya Ndio heshima itarudi
Hatuwezi kuvumilia mateso yote haya
Halima Mdee kila siku polis wanamuandama.... Leo Tena
Somanga mabomu kwa nini???????
Itapendeza kama wewe siku hiyo utakuwa mstari wa mbele ili kupitia kwako wengine tujifunze!