Road to Moscow

Icadon

JF-Expert Member
Mar 21, 2007
3,581
184
Haya wadau ngoma imebaki siku 7 kabla mafahari wawili hawajaumana...few pics to make time fly by.

a17a4y.jpg

2l5yd.jpg

adriancolvin-2731.jpg

adrianmoore-3582.jpg
 
andrewferguson-4086.jpg

ClemHalpin-5748.jpg

Comrade Ferguson, hero of the home counties middle classes, defies the capitalist ringmaster Roman Abramovich and his puppet Avram Grant," trumpets Clem Halpin
johnbarry-6335.jpg
 
Kama you are prone to seizures na mambo kama hayo tafadhali usiangalie maana unaweza kushindwa kuona mechi wiki ijayo ila kama husumbuliwi crank up your speakers and enjoy

[media]http://www.youtube.com/watch?v=E8o3ooX_tUk[/media]
 

Mkuu Icadon asante,
Nimefurahi sana kuona Giggs alichowatenda Ganaz...then ikazaa tripple win!

Lile goli lilikuwa si mchezo mpaka leo naikumbuka ile mechi vizuri....ebanae I went crazy on that trailer...
 
Ukiachilia dini kitu kingine ninachokipenda ni mpira. Na nikitaka kuzungumzia vilabu vya Ulaya huwa nagusia klabu moja tu na nyingine nakuwa nashindwa namna ya kuzizungumzia kwani haziningii sana. Timu inayonishawishi kuzungumzia ni Manchester United. Kwa mashabiki wa soka mlioko humu naomba kujitambulisha kwenu.

Tarehe 21 itakuwa patashika kwani mtu mmoja atanyolewa.
Kwa haraka haraka utaona kwamba jamaa wa darajani wamepoteza form kwa siku za karibuni na ili kugain wanahitaji kupoteza mechi mbili ama tatu.

Kwa kuzingatia usemi huo hapo juu na-conclude kwamba Chelsea itabamizwa 4 O'clock kule Moscow.

Naomba kutoa hoja!
 
Definetely Man Utd will win by 2 goals

Timu inayonishawishi kuzungumzia ni Manchester United. Kwa mashabiki wa soka mlioko humu naomba kujitambulisha kwenu.
Kwa haraka haraka utaona kwamba jamaa wa darajani wamepoteza form kwa siku za karibuni na ili kugain wanahitaji kupoteza mechi mbili ama tatu.

Kwa kuzingatia usemi huo hapo juu na-conclude kwamba Chelsea itabamizwa 4 O'clock kule Moscow.

Naomba kutoa hoja!
Mkuu ngonalugali karibu sana hapa, stress free zone!
Mkuu Gembe timu baada timu kubaki 8, nilipredict Man na Chelsi kukutana final... na ndio hii 21st May.... nakuunga mkono ushindi wa bao 2 kwa Man. Reason? They will have very good 11 players in the pitch plus 1 excelent 'player' (SAF) on the technical bench. The bluuz are only 11!
 
Back
Top Bottom