Kituku
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 238
- 24
wanandugu,naomba kuuliza, mbona Rizwani hakuwepo kwenye kikao cha jana cha UVCCM wakati wanatoa tamko? yeye hausiki au amekacha ili kumstahi muheshimiwa, maana walichofanya vijana kama kuikashifu serikali na viongozi wake mafisadi, mbona kijana hakuonekana??