Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,476
- 215,319
Wengi tunajadili sana uteuzi wa Polepole kuwa mbunge, ambaye anafahamika zaidi kutokana na nafasi yake ndani ya CCM, lakini kuna mwingine aliyeteuliwa kuwa mbunge sambamba na Polepole anaitwa Riziki Lulinda .
Taarifa zinaonesha kwamba Mama huyu aliwahi kuwa Mbunge wa CUF kabla ya kuhamia CCM, sasa swali langu ni hili, huyu Mama ni nani hasa mpaka ateuliwe yeye huku wafia chama waliopiga push up majukwaani sambamba na Mwenyekiti wao watelekezwe ?
Ana umuhimu gani huyu mtu kiasi cha kuchukua nafasi katika hizo chache zisizozidi 10?
Mwenye majibu atusaidie.