Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
Hii ndiyo nyumba ya bilioni???? Du?
Kazi ya madalali hiyo.....wamempiga
Hii ndiyo nyumba ya bilioni???? Du?
WASTED :llama:
Personal issues ila ridhwan nafikiri sio kula kula kulala kwa baba kama unavyofikiri wewe.. ni msomi aliyemaliza UDSM! ni TZ its a free country sio china kwamba wakuite na kukuuliza pesa umepata wapi..?! PS si kiongozi wa serikali PIA Nafikiri hiyo ina kutoa nje kabisa ya kuhoji kila anachomiliki yeye binafsi
WASTED :llama:
Personal issues ila ridhwan nafikiri sio kula kula kulala kwa baba kama unavyofikiri wewe.. ni msomi aliyemaliza UDSM! ni TZ its a free country sio china kwamba wakuite na kukuuliza pesa umepata wapi..?! PS si kiongozi wa serikali PIA Nafikiri hiyo ina kutoa nje kabisa ya kuhoji kila anachomiliki yeye binafsi
Hii thread sijui inatusaidia nini? Yani mtoto wa rais wa Tz hatakiwi awe na sh bilion moja wala hatakiwi awe na uwezo wa kukopa benki hiko kiasi. Hivi tumefanya utafiti na kubaini ni watanzania wangapi leo hii wanaweza kuwa na sh bilion 1? Au ni Chenge tu na RiziOne? Wakati mwingine tujadili yanayoleta tija kwa taifa, haya mambo ya kuhisi na kuhukumu yanadhoofisha utashi wa JF.
Inasemekana Riz1 alinunua nyumba ya thamani ya Tsh bilioni moja (1,000,000,000/=) maeneo ya masaki,
Swali: Ana mradi gani wa kupata hela hizi zote? au ndo maana familia nzima inapambana kurudi Ikulu?. Mwenye huakika atujulishe.
Dogo wa tujisenti huyo. Halafu cha kushangaza ni kwamba, atakuja kuwa presidaa wenu mtake msitake, chaguo la baba huyo!!! Nasubiri siku hiyo. Sijui nitakuwa nimesha retire utumishi wangu, maana nitapiga kampeni ya chinjachinja nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda na shuka kwa shuka.
Mulamuzi, hii sasa inageuka chuki binafsi!, kwani kijana ni public servant, huyu ni advocate!, mbola hiyo bilioni moja ni fees ya kesi moja tuu!. Hebu kaangalie ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, kwenye ripoti ya BOT uone mwanasheria Mkono amelipwa kiasi gani kwenye kesi moja tuu ya Valambia!.Inasemekana Riz1 alinunua nyumba ya thamani ya Tsh bilioni moja (1,000,000,000/=) maeneo ya masaki,
Swali: Ana mradi gani wa kupata hela hizi zote? au ndo maana familia nzima inapambana kurudi Ikulu?. Mwenye huakika atujulishe
Mulamuzi, hii sasa inageuka chuki binafsi!, kwani kijana ni public servant, huyu ni advocate!, mbola hiyo bilioni moja ni fees ya kesi moja tuu!. Hebu kaangalie ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, kwenye ripoti ya BOT uone mwanasheria Mkono amelipwa kiasi gani kwenye kesi moja tuu ya Valambia!.
IMMA ni moja ya reputable law firms hapa mjini, nimeona young lowyers waliojiunga nayo juzi tuu, leo wameshavuta ma-vogue na ma Hammer barabarani, itakuwa hiyo bilioni?!.
Naona sasa hili jina has became an obsession to some, mwacheni jamani kijana na nyota yake, mtaifanya JF yote tuishie kuonekana tumuonea wivu, just givi him a break, let him alone!.
Mulamuzi, hii sasa inageuka chuki binafsi!, kwani kijana ni public servant, huyu ni advocate!, mbola hiyo bilioni moja ni fees ya kesi moja tuu!. Hebu kaangalie ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, kwenye ripoti ya BOT uone mwanasheria Mkono amelipwa kiasi gani kwenye kesi moja tuu ya Valambia!.
IMMA ni moja ya reputable law firms hapa mjini, nimeona young lowyers waliojiunga nayo juzi tuu, leo wameshavuta ma-vogue na ma Hammer barabarani, itakuwa hiyo bilioni?!.
Naona sasa hili jina has became an obsession to some, mwacheni jamani kijana na nyota yake, mtaifanya JF yote tuishie kuonekana tumuonea wivu, just givi him a break, let him alone!.
Mulamuzi, hii sasa inageuka chuki binafsi!, kwani kijana ni public servant, huyu ni advocate!, mbola hiyo bilioni moja ni fees ya kesi moja tuu!. Hebu kaangalie ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, kwenye ripoti ya BOT uone mwanasheria Mkono amelipwa kiasi gani kwenye kesi moja tuu ya Valambia!.
IMMA ni moja ya reputable law firms hapa mjini, nimeona young lowyers waliojiunga nayo juzi tuu, leo wameshavuta ma-vogue na ma Hammer barabarani, itakuwa hiyo bilioni?!.
Naona sasa hili jina has became an obsession to some, mwacheni jamani kijana na nyota yake, mtaifanya JF yote tuishie kuonekana tumuonea wivu, just givi him a break, let him alone!.
Inasemekana Riz1 alinunua nyumba ya thamani ya Tsh bilioni moja (1,000,000,000/=) maeneo ya masaki,
Swali: Ana mradi gani wa kupata hela hizi zote? au ndo maana familia nzima inapambana kurudi Ikulu?. Mwenye huakika atujulishe.
haaaa Mungu saidia watoto wako wabadilike isitokee hiii!!:A S 13:Dogo wa tujisenti huyo. Halafu cha kushangaza ni kwamba, atakuja kuwa presidaa wenu mtake msitake, chaguo la baba huyo!!! Nasubiri siku hiyo. Sijui nitakuwa nimesha retire utumishi wangu, maana nitapiga kampeni ya chinjachinja nyumba kwa nyumba, kitanda kwa kitanda na shuka kwa shuka.
ccm ndo tunasema huo ni wivu sasa mbona bilion 1 kwa nyumba (PRESIDENTIAL BUILDING) kawaida saana sioni tatizo kwa hili bwana!
Mr. Zero, sasa huniamii tena! facts are sturbon things, wajemeni, issue isiwe kumiliki nyumba ya bilioni 1 bali mtu kuwa na bilioni moja kaipataje?, ndio maana Chenge akasema Dola milioni moja ni vijisenti tuu, issue kazipataje, kwa vile hajachukuliwa hatua zozote za kisheria maana yake ni halali.Ama kweli Pasco!! Nilikuwa nakuamini.......................!!!!!