credit source: Riz"One" mtoto wa Mzee wa Kaya - wavuti
I hope Riz"One" huwa anapitapita hapa... ukiona mtoto wa rais tena kiongozi wa umoja wa vijana wenye nguvu, mjumbe wa mkutano wa chama tawala, kada na kamanda wa vijana tena mwanasheria, zaidi pia ni mdau wa klabu kubwa zaidi tanzania anachorwa hivi ujue ana matatizo makubwa na kama ana akili timamu basi akae pembeni na kushika moja
A GOOD LIFE IS A PRODUCT OF A HUMBLE BEGINNING, AND ITS DEFINITELY KWAMBA THEY BOY HAS LOST IT
Huyu siku hizi jina lake ni Uday Saddam Hussein al-Tikriti wa Bongo. Utafikiri ni copy ya yule mtoto wa Sadam kabisaaaaa
Huyu siku hizi jina lake ni Uday Saddam Hussein al-Tikriti wa Bongo. Utafikiri ni copy ya yule mtoto wa Sadam kabisaaaaa
Huyu kijana vipi kila mahali akiingia anachafua hali ya hewa nakumbuka alilalamikiwa sana kwenye uchaguzi wa Yanga kabla ya uchaguzi aliivuruga UVCCM sijui Baba yake akiodoka madarakani atajisikiaje ????
Wa Tanzania watu wa ajaabu sana,nina hakika wengi wanaondika hapa hawamjui huyu kijana kwa karibu ila wananukuu magazeti ya ajabu ajabu,sasa sikilizeni, mimi nimekuwa naye karibu sana katika matukio fulani fulani and this is my observation on him:Muungwana na malezi mema ana adabu kwa wakubwa zake na wadogo pia, hamwogopi mtu kwa jina au pesa zake.ana mwoogopa mungu,ni baba wa familia yake,amesoma hakubweteka na vyeo vya babake kwa maana sio kula kulala,kuwa mtoto wa Rais haina maana asijihusishe na maswala ya kijamii.
wivu unawasumbua acheni ufala
wa tanzania watu wa ajaabu sana,nina hakika wengi wanaondika hapa hawamjui huyu kijana kwa karibu ila wananukuu magazeti ya ajabu ajabu,sasa sikilizeni, mimi nimekuwa naye karibu sana katika matukio fulani fulani and this is my observation on him:muungwana na malezi mema ana adabu kwa wakubwa zake na wadogo pia, hamwogopi mtu kwa jina au pesa zake.ana mwoogopa mungu,ni baba wa familia yake,amesoma hakubweteka na vyeo vya babake kwa maana sio kula kulala,kuwa mtoto wa rais haina maana asijihusishe na maswala ya kijamii.
Wivu unawasumbua acheni ufala
Wa Tanzania watu wa ajaabu sana,nina hakika wengi wanaondika hapa hawamjui huyu kijana kwa karibu ila wananukuu magazeti ya ajabu ajabu,sasa sikilizeni, mimi nimekuwa naye karibu sana katika matukio fulani fulani and this is my observation on him:Muungwana na malezi mema ana adabu kwa wakubwa zake na wadogo pia, hamwogopi mtu kwa jina au pesa zake.ana mwoogopa mungu,ni baba wa familia yake,amesoma hakubweteka na vyeo vya babake kwa maana sio kula kulala,kuwa mtoto wa Rais haina maana asijihusishe na maswala ya kijamii.
wivu unawasumbua acheni ufala