Riwaya za Kiswahili ambazo hazitakuja kuandikwa tena

Wakuu umofia kwenu,

Kwanza kabisa nampongeza Yeriko Nyerere kwa kujaribu kwake kusukuma gurudumu ili la uhandishi wa riwaya pendwa ya Kijasusi safi sana mkuu.

Kwa sasa vichwa ivi ni vichache mno kutokana na ukweli kwamba morali ya usomaji wa vitabu umeshuka kabisa watu wako busy facebook, whatsap, twitter n.k na hata huko vyuoni wanafunzi hurazimika kusoma riwaya pale tu anapopewa mjarabu (asignment) wa kikundi au binafsi au karibu na majaribio.

Lakini ni ukweli usiopingika kuwa wengi wetu tumesoma riwaya labda tu wale tu waliochaguliwa kwenda shule za serikondari za ufundi baada ya kumaliza darasa la saba hata hivyo shule za msingi hata nyumbani waliwahi kusoma baadhi ya Riwaya.

Leo tujikumbushe baadhi ya Riwaya za Kiswahili zilizovuma sana Tanzania.

1.Siku ya Watenzi wote (1968) Shaaban Robert
2.Nyota ya Rehema (1978) M.S Mohamed
3.Dunia Mti Mkavu (1980) Said A.Mohamed
4.Rosa Mistika (1971) E.Kezilahabi
5.Alipanda Upepo Akavuna Tufani (1969) John N.Somba
6.Titi la Mkwe (1972) Alex Banzi
7.Kasri ya Mwinyi Fuad (1979) Shafi Adam Shafi
8.Kichwa Maji (1974)E.Kezilahabi
9.Kiu (1972)M.S.Mohamed
10.Tata za Asumini (1990)Said Ahmed Mohamed
11.Kifo cha Ugenini (1977)Olaf Msewa
12.Kaburi bila Msalaba (1971)M.Kareithi
13.Kuli (1976)Shafi Adam Shafi
14.Kwa Heri Iselamagazi (1992)B.Mapalala
15.Wimbo wa Sokomoko (1990)A.Lihamba
16.Ngome ya Mianzi (1991)M.M.Mulokozi
17.Ngoma ya Mianzi (1992)M.M.Mulokozi
18.Miradi Bubu ya Wazalendo (1992)G.Ruhumbika
19.Dunia Uwanja wa Fujo (1975)E.Kezilahabi
20.Adili na Nduguze (1952)Shabaan Robert
21.Kusadikika (1951)Shabaan Robert
22.Lila na Fila (1966)J.K.Kiimbila
23.Mbojo Simba-Mtu (1971)N.J.Kuboja
24.Mirathi ya Hatari (1977)C.Mung'ong'o
25.Nagona (1987)E.Kezilahabi
26.Mzingile (1991)E.Kezilahabi
27.Mafuta (1984)K.G.C.Mkangi
28.Mwisho wa Mapenzi (1972)Simbamwene J.
29.Kweli Unanipenda? (1978)Simbamwene J.
30.Jeraha la Moyo (1974)Kiango,S.D
31.Pete (1978)Komba,S.M
32.Kwa Sababu ya Pesa (1972)Simbamwene J.
33.Buriani (1975)F.Katalambula
34.Mtu Mwenye Miwani Meusi (1970)L.O.Omolo
35.Kifo Changu ni Fedheha (1972)S.J.Chadhoro
36.Tabu (1977)A.Komanya
37.Ufunguo wa Bandia (1979)Hmmie Rajab
38.Kikomo (1980)E.Musiba
39.Mzimu wa Watu wa Kale (1960)M.S.Abdulla
40.Kisima cha Giningi (1968)M.S.Abdulla
41.Duniani kuna Watu (1973)M.S.Abdulla
42.Siri ya Sifuri (1974)M.S.Abdulla
43.Mwana wa Yungi Hulewa (1976)M.S.Abdulla
44.Kosa la Bwana Msa (1984)M.S.Abdulla
45.Simu ya Kifo (1965)F.Katalambula
46.Muuaji ni nani? (1987)Simbamwene J.
47.Dimbwi la Damu (1984)Ben Mtobwa
48.Kijasho Chembamba (1980)Ganzel
49.Kikosi Cha Kisasi (1979)E.Musiba
50.Njama (1981)E.Musiba
51.Mpango (1982)K.M.Kassam
52.Tutarudi na roho Zetu? (1987)B.Mtobwa
53.Roho Mkononi (1984)Hammie Rajab

Unaweza ongezea zingine hapa.
Ni kweli Huwezi kuandika tena vitabu ambavyovimekwisha andikwa. labda uwe hayawani... kwa sasa vipo vipya tofauti na hivyo
 
Wakuu umofia kwenu,

Kwanza kabisa nampongeza Yeriko Nyerere kwa kujaribu kwake kusukuma gurudumu ili la uhandishi wa riwaya pendwa ya Kijasusi safi sana mkuu.

Kwa sasa vichwa ivi ni vichache mno kutokana na ukweli kwamba morali ya usomaji wa vitabu umeshuka kabisa watu wako busy facebook, whatsap, twitter n.k na hata huko vyuoni wanafunzi hurazimika kusoma riwaya pale tu anapopewa mjarabu (asignment) wa kikundi au binafsi au karibu na majaribio.

Lakini ni ukweli usiopingika kuwa wengi wetu tumesoma riwaya labda tu wale tu waliochaguliwa kwenda shule za serikondari za ufundi baada ya kumaliza darasa la saba hata hivyo shule za msingi hata nyumbani waliwahi kusoma baadhi ya Riwaya.

Leo tujikumbushe baadhi ya Riwaya za Kiswahili zilizovuma sana Tanzania.

1.Siku ya Watenzi wote (1968) Shaaban Robert
2.Nyota ya Rehema (1978) M.S Mohamed
3.Dunia Mti Mkavu (1980) Said A.Mohamed
4.Rosa Mistika (1971) E.Kezilahabi
5.Alipanda Upepo Akavuna Tufani (1969) John N.Somba
6.Titi la Mkwe (1972) Alex Banzi
7.Kasri ya Mwinyi Fuad (1979) Shafi Adam Shafi
8.Kichwa Maji (1974)E.Kezilahabi
9.Kiu (1972)M.S.Mohamed
10.Tata za Asumini (1990)Said Ahmed Mohamed
11.Kifo cha Ugenini (1977)Olaf Msewa
12.Kaburi bila Msalaba (1971)M.Kareithi
13.Kuli (1976)Shafi Adam Shafi
14.Kwa Heri Iselamagazi (1992)B.Mapalala
15.Wimbo wa Sokomoko (1990)A.Lihamba
16.Ngome ya Mianzi (1991)M.M.Mulokozi
17.Ngoma ya Mianzi (1992)M.M.Mulokozi
18.Miradi Bubu ya Wazalendo (1992)G.Ruhumbika
19.Dunia Uwanja wa Fujo (1975)E.Kezilahabi
20.Adili na Nduguze (1952)Shabaan Robert
21.Kusadikika (1951)Shabaan Robert
22.Lila na Fila (1966)J.K.Kiimbila
23.Mbojo Simba-Mtu (1971)N.J.Kuboja
24.Mirathi ya Hatari (1977)C.Mung'ong'o
25.Nagona (1987)E.Kezilahabi
26.Mzingile (1991)E.Kezilahabi
27.Mafuta (1984)K.G.C.Mkangi
28.Mwisho wa Mapenzi (1972)Simbamwene J.
29.Kweli Unanipenda? (1978)Simbamwene J.
30.Jeraha la Moyo (1974)Kiango,S.D
31.Pete (1978)Komba,S.M
32.Kwa Sababu ya Pesa (1972)Simbamwene J.
33.Buriani (1975)F.Katalambula
34.Mtu Mwenye Miwani Meusi (1970)L.O.Omolo
35.Kifo Changu ni Fedheha (1972)S.J.Chadhoro
36.Tabu (1977)A.Komanya
37.Ufunguo wa Bandia (1979)Hmmie Rajab
38.Kikomo (1980)E.Musiba
39.Mzimu wa Watu wa Kale (1960)M.S.Abdulla
40.Kisima cha Giningi (1968)M.S.Abdulla
41.Duniani kuna Watu (1973)M.S.Abdulla
42.Siri ya Sifuri (1974)M.S.Abdulla
43.Mwana wa Yungi Hulewa (1976)M.S.Abdulla
44.Kosa la Bwana Msa (1984)M.S.Abdulla
45.Simu ya Kifo (1965)F.Katalambula
46.Muuaji ni nani? (1987)Simbamwene J.
47.Dimbwi la Damu (1984)Ben Mtobwa
48.Kijasho Chembamba (1980)Ganzel
49.Kikosi Cha Kisasi (1979)E.Musiba
50.Njama (1981)E.Musiba
51.Mpango (1982)K.M.Kassam
52.Tutarudi na roho Zetu? (1987)B.Mtobwa
53.Roho Mkononi (1984)Hammie Rajab

Unaweza ongezea zingine hapa.
Putula la max
Dare es Salaam usiku
Ua la faraja
 
Wakuu umofia kwenu,

Kwanza kabisa nampongeza Yeriko Nyerere kwa kujaribu kwake kusukuma gurudumu ili la uhandishi wa riwaya pendwa ya Kijasusi safi sana mkuu.

Kwa sasa vichwa ivi ni vichache mno kutokana na ukweli kwamba morali ya usomaji wa vitabu umeshuka kabisa watu wako busy facebook, whatsap, twitter n.k na hata huko vyuoni wanafunzi hurazimika kusoma riwaya pale tu anapopewa mjarabu (asignment) wa kikundi au binafsi au karibu na majaribio.

Lakini ni ukweli usiopingika kuwa wengi wetu tumesoma riwaya labda tu wale tu waliochaguliwa kwenda shule za serikondari za ufundi baada ya kumaliza darasa la saba hata hivyo shule za msingi hata nyumbani waliwahi kusoma baadhi ya Riwaya.

Leo tujikumbushe baadhi ya Riwaya za Kiswahili zilizovuma sana Tanzania.

1.Siku ya Watenzi wote (1968) Shaaban Robert
2.Nyota ya Rehema (1978) M.S Mohamed
3.Dunia Mti Mkavu (1980) Said A.Mohamed
4.Rosa Mistika (1971) E.Kezilahabi
5.Alipanda Upepo Akavuna Tufani (1969) John N.Somba
6.Titi la Mkwe (1972) Alex Banzi
7.Kasri ya Mwinyi Fuad (1979) Shafi Adam Shafi
8.Kichwa Maji (1974)E.Kezilahabi
9.Kiu (1972)M.S.Mohamed
10.Tata za Asumini (1990)Said Ahmed Mohamed
11.Kifo cha Ugenini (1977)Olaf Msewa
12.Kaburi bila Msalaba (1971)M.Kareithi
13.Kuli (1976)Shafi Adam Shafi
14.Kwa Heri Iselamagazi (1992)B.Mapalala
15.Wimbo wa Sokomoko (1990)A.Lihamba
16.Ngome ya Mianzi (1991)M.M.Mulokozi
17.Ngoma ya Mianzi (1992)M.M.Mulokozi
18.Miradi Bubu ya Wazalendo (1992)G.Ruhumbika
19.Dunia Uwanja wa Fujo (1975)E.Kezilahabi
20.Adili na Nduguze (1952)Shabaan Robert
21.Kusadikika (1951)Shabaan Robert
22.Lila na Fila (1966)J.K.Kiimbila
23.Mbojo Simba-Mtu (1971)N.J.Kuboja
24.Mirathi ya Hatari (1977)C.Mung'ong'o
25.Nagona (1987)E.Kezilahabi
26.Mzingile (1991)E.Kezilahabi
27.Mafuta (1984)K.G.C.Mkangi
28.Mwisho wa Mapenzi (1972)Simbamwene J.
29.Kweli Unanipenda? (1978)Simbamwene J.
30.Jeraha la Moyo (1974)Kiango,S.D
31.Pete (1978)Komba,S.M
32.Kwa Sababu ya Pesa (1972)Simbamwene J.
33.Buriani (1975)F.Katalambula
34.Mtu Mwenye Miwani Meusi (1970)L.O.Omolo
35.Kifo Changu ni Fedheha (1972)S.J.Chadhoro
36.Tabu (1977)A.Komanya
37.Ufunguo wa Bandia (1979)Hmmie Rajab
38.Kikomo (1980)E.Musiba
39.Mzimu wa Watu wa Kale (1960)M.S.Abdulla
40.Kisima cha Giningi (1968)M.S.Abdulla
41.Duniani kuna Watu (1973)M.S.Abdulla
42.Siri ya Sifuri (1974)M.S.Abdulla
43.Mwana wa Yungi Hulewa (1976)M.S.Abdulla
44.Kosa la Bwana Msa (1984)M.S.Abdulla
45.Simu ya Kifo (1965)F.Katalambula
46.Muuaji ni nani? (1987)Simbamwene J.
47.Dimbwi la Damu (1984)Ben Mtobwa
48.Kijasho Chembamba (1980)Ganzel
49.Kikosi Cha Kisasi (1979)E.Musiba
50.Njama (1981)E.Musiba
51.Mpango (1982)K.M.Kassam
52.Tutarudi na roho Zetu? (1987)B.Mtobwa
53.Roho Mkononi (1984)Hammie Rajab

Unaweza ongezea zingine hapa.

Vitabu vya B .Mtobwa na E.Msiba nikisoma kama naangalia movie ,
 
...Ukweli riwaya riwaya hasa zilikuwa zile za miaka ya 1980 na kurudi nyuma.
Hizi zizotungwa miaka ya 80 kuja mbele nyingi zilizokuwa na tafsiri ya mfumo wa riwaya za kina James Hadley Chase, Ian Fleming, Nick Carter na wengineo wa aina hiyo zilikuwa ni za kusoma pale ukitaka kupoteza muda tu!

Soma 'Roza Mistika'
Soma 'Dunia uwanja wa Fujo'
Soma 'Simu ya Kifo'
Soma 'Mzimu wa watu wa Kale'
Soma 'Kuli'
Soma 'Siri ya Sifuri' na kadhalika ndipo utanielewa nasemanini...halafu soma hizi dotcom zenu kama
'Raisi anataka mke wangu' uone tofauti...!
 
Back
Top Bottom