Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,264
- 17,622
Vipi kuhusu Eric James Shigongo? Mbona anaandika sana hadithi, je yeye siyo gwiji kuzidi akina Hammie Rajab, Ben Mtobwa na Eddie Ganzel? Kuna watu wanadai kuwa anatafsiri riwaya za watu wengine je ni riwaya zipi?nkwenye ushahidi kuwa anakopi amwage hapa la sivyo JF imtambue kama magwiji wengine wa riwaya za Kiswahili Kama akina Agoro Anduru au John Rutaisingwa au Elvis Musiba