Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,339
- 51,884
- Thread starter
- #101
Amina
Looh!sio poa!hahahaa!Wakuu samahanini Kwa kushindwa kutimiza ahadi,
Ratiba yangu ilibadilika kidogo, nikashindwa kuandika Jana na leo.
Nafikiri tutaendelea Jumamosi.
Naombeni tuwe wavumilivu.
Ahsanteni
unatabia mbaya siku hiziArmani na iwe kwako
Umenikata stimu simulizi tamu sana ujue!Kwa nini mkuu
Ngoja niitafute Tsh 15000/= ili ninunue kitabu
Nalog off