Riwaya: Upepo wa usiku-1

FANANI MTENZI

Senior Member
Jul 4, 2017
106
95
UPEPO USIKU.jpg
UPEPO WA USIKU-1
BONIFACE BIRAGE

Upepo upima mti nguvu na kuuona uhodari wake katika kujishikilia udongoni kwa kuimrisha mizizi iliyojikita.Ndiyo falsafa ya maisha na mikumbo yake hujikita katika kumbeba binadamu.”
Haya Laredo aliyakumbuka kama usiku na mchana unapofuatana au kama pande mbili za kioo.Alikumkbuka falsafa hii nakujiuliza katika maisha yake kuna kitu gani cha muhimu,mambo yalikuwa mengi nakujihifadhi kwenye kumbukumbu zake.Ndiyo ugumu upo na umesimama kama upinde!Lakini haukuwa kikwazo kwake.
Alijiangalia vizuri usiku huo akaridhika na uzuri alionao!Kisha alijirashia marashi ni baada ya kuoga.Akakifuata kiitanda ambapo mumewe alikuwa ameshalala.Alitamani sana kukitumia kitanda kile lakini ubaridi ulishapanda nakupazika.Hakuwa na thamani tena ya kuwepo pale.Na kama akienda kusingekuwa na bendera ya penzi lake ikisimama nakupepea mlingoti mzima.Ilikuwa imeshushwa kabisa nakubaki ukiwa.Akatoka pale nakwenda sebuleni pengine huko angepata lepe la usingizi.Alipofika aliwasha runinga nakuanaglia vipindi viwili vitatu lakini usingizi haukuja kabisa!Kifupi akili haikuwa imetulia na wala hakupata kitulizo cha suluhu ya mambo yake.
Kukumbatia mito ya kwenye makochi ndo faraja yake.Ndo iliyompa ahueni japo kidogo.Alitamani joto la mumewe kwa usiku ule.Halikupatika zaidi ya kufunguliwa kiyoyozi wakati wa baridi kali.Akainuka huku upande wa khanga ukijishika vizuri mwilini.Alitoka nje nakuelekea moja kwa moja hadi mlangoni akaufungua mlango nakutoka nje.Baridi ya nje ilimkumbatia mwili nakubusu ngozi yake!Akachichimkwa!
Giza lilishaikumba nchin nakuipa tuzo ya kuwa usiku.Akaanza kupiga hatua akielekea eneo alilotaka.Ni hatua kama saba hadi anapotaka.Alikuwa na wasiwasi kidogo hasa akikutwa kama alivyo isingekuwa vizuri nakumpa maswali.
Akaufikia mlango wa chumba ambacho alitegemea kufika.Hakubisha kama ilivyotegemewa.Kwa jirani hubishwa.Akashika kitasa na kukizungusha,mlango kikalia kacha!Akausukuma mlango naokasukumika.Alikutana na giza bila shaka aliyekuwemo mtu ndani nakuzima taa.Ilikuwa ni desturi yake kuja pale muda kama ule.Alijua nyumba ile hata kama kuna giza.Akaelekea moja kwa moja hadi kilipo kitanda.Aliyepanga pale ni mpangaji mwenzake.Kapanga chumba kimoja.Ni kijana tu mselamsela hivi.
Laredo alifikia kitanda na hapo wakakutana.Alimkuta ndo kama anapitiwa na usingizi.Akamgusa kifua chake kilichowazi nakumfanya azinduke kwa ghafla sana!Akampokea Laredo.Kwa ghafla miili yao ikapanda joto!Mzunguko wa damu na mapigo ya moyo yakaongezeka nakusababisha uchangamfu uliota kama wasiwasi hasa wakizingitia kwamba wanaiba mkutano huo.
Wakapelekeshana kitandani nakuanza kupapasana huku wakibusiana kwa nguvu kana kwamba walishindana!Walizungushana pale kwa dakika zile za kuiba kwa wingi wa hawaa na msukumo wa tamaa ukichangamana na kuridhiana katika tukio lile!
Purushani zile zilichukua dakika kama kumi zikawa zimepoa huku kila mmoja akihema kwa kasi!Hawakuzungumza kwanza walitulia kimya kwa muda lakini fikra hazikupanda kwanza zilijivuta polepole kama mafuta ya navyopanda kwenye kandili!Dakika zikakatika wakiwa bado bado kimya.Kisha Laredo akainuka nakuchukua upande wa khanga akajifunika nakutumia kingo za khanga kujifuta jasho.
“Unatak kwenda?”aliuliza Masua.
“Naenda ndiyo.”
‘Nafiri ungengoja kwanza.”
“Mzunguko wa pili nadhani ufanyike asubuhi mume wangu akiwa ameenda kazini.”
“Lakini Laredo mbona unanibania?”Masua alilalamika.
“Siyo nakubania hata kama tunaiba lakini siokuvuka mipaka.Yule ni mume wangu kumbuka.”
“Kiberiti kisicho na njiti hakina thamani tena.Kwanini unamng’ang’ania?Wewe unaona ni jinsi gani tunavyopendana mimi na wewe.Tunafurahia mahaba yetu kuliko watu wengi.Hata…”Masua akatishwa na Laredo.
“Naelewa unachotaka kusema.Hata mimi mwenyewe sijawahi kufurahia hivi kwa muda mrefu sana.Unanifikisha ninapotaka.Kuna wakati nakuwa na wakati mgumu,Nafikiria kitu.”akakoma nakuinama chini huku akionesha kutokuwa kawaida.Hatia ilimla.
Akafunga khanga vizuri akiwa tayari amesha vaa.
Masua alimgusa mabega kwa ukarimu na hali ya kujali.
“Unafikiria nini?”
“Kumwacha mume wangu iliniwe na wewe.Nakupunda wewe na nina mpenda mume wangu pia.”
“Kwa hivyo unaamua nini?Wewe bado mbichi unahitaji mapenzi ya dhati na mimi nitakupa.Muache ubaki na mimi?”
Laredo akatabasamu kivivu.
“Unadhani ni rahisi sana kuamua hivyo?”
“Ndiyo.Nichague mimi nikuchague wewe.Yaani tumechaguana.”alisisitiza Masua.Jasho lilikuwa likikaukia mwilini kufuatia baridi iliyoambatana na upepo wa usiku!
“Nakupenda Masua wangu.Nataka niwe na waume wawili!”lilikuwa jambo jipya!
 
UPEPO WA USIKU-2
BONIFACE BIRAGE
“Eti unasemaje wewe?”
“Nitatoa uamuzi hivi karibuni.”kabla hajahitimisha alshtuka kusikia hatua za mtu huko nje!Nywele ziliwasimama!Wakaogopa sana!Mtu Yule aliubisha mlango kwa nguvu nakuwa kama anataka kuuvunja!Wakataharuki kwa mpigo!
Mlango ukafunguliwa na vile walijisahau kuufunga ikawa picha tamu pindi aliyeingia awaone.Akaingia katika giza lile nakukutana nao!Lakini hawakuwa wamewasha taa.Laredo akajilza chini kumkwepa aliyeingia asimtambue!Akaingia chini ya mvungu!
Aliyeingia ni mumewe!Bario!
“Masua!Masua!”Bario aliita kwenye ukungu wa giza.
“Vipi Bario?”
“Sio vizuri.Nilikuwa nauliza hivi ulimuona mke wangu akitoka?”
“Sijamwona kwani vipi?”aliuliza kana kwamba hajui kitu.Kule mvunguni Laredoa alihisi moyo kutaka kumpasuka!Hatia ilimla kwa haraka!Alimuonea huruma mume wake.Ni nini anafanya?Kulala mvunguni kama mwizi?Kweli ni mwizi!Anauza penzi la mumewe kimagendo!Tena kwa mpangaji mwenzake!
“Nimemkuta hayupo.”alijibu Bario.
“Kwani hamkuwa mmelala wote?”swali hilo lilimkera sana Bario hata akamkazia macho Masua kana kwamba kuna jambo zito nyuma ya pazia!
Masua alijua amemchukiza Bario wakati ukweli anaujua kwamba mkewe yupo chini ya uvungu wake.Muda mfupi uliopita alikuwa naye hapo wakizini pamoja katika ibada ya usaliti!Kwa hivyo kumuuliza vile ni kama anamdhihaki.Lakini akajitia purazai kwakuwa hilo ndo njia pekee kumteka bakunja wake asiambulie lolote la ukweli!
Vilevile kwa upande wa Bario kumuonesha hasira Masua kungethibitisha udhaifu katika ndoa yake na Laredo.Alipogundua hilo alituliza hasira zake na kuweka sura ya wasiwasi kwamba walikuwa wote na mke wake!
“Nilitangulia kulala lakini niliposhtuka sikubahatika kumuona.”
Huko mvunguni Laredo alilaani maneno ya mumewe,”Acha uongo tangu lini ukajua kama nimelala.Tangu lini ukanitamani nikitie joto kitanda chako?”alijisemea kimoyomoyo kwa hasira nakuuma meno.Alilaani kimoyomoyo nakuhisi kama mawazo ya moyoni yangesikika!
“Dah!Umemuangalia chooni?”
“Nimecheki kote huko lakini sijamwona.”
“Basi wewe rudi ndani umsubiri.Mtu mzima Yule hakuna chochote kibaya katakachomtokea.”alijaribu kutuliza Masua akiwa na imani kwamba ameleweka.Bario alikubali kishingo upande.Akatoka na kwenda zake. Alikuwa mwingi wa mawazo.Kwa yanayotokea.Hakuweza kuyaelewa vizuri hasa kutoweka kwa mkewe.Alirudi ndani nakusubiri pale ukumbini.Ni mkewe wa miaka mitano.Kwa mwaka wa kwanza wa ndoa yao walikuwa vizuri ila wapili ulipofuata kukawa na migogoro ya hapa na pale hali iliyosababisha wao kutoshiriki kitanda kimoja kama mke na mume.Mkewe alilala sebuleni na yeye chumbani.Huo ndo ukawa utaratibu wa ndoa yao.Tatizo hakuna aliyeomba msaada kutoka kwa watu wa nje kujaribu kuondoa tofauti zao.Walionekana nje vizuri kama wanandoa waliona maaendeleo tena wakipendana.Walipendana nje tu.Muda wa kupumzika ulitibuliwa na upepo mbaya wa usiku!Hawakulala kaitanda kimoja wala kutumia shuka,godoro moja!Huo ndio utaratibu wao mpya!
Alingoja sana pale ukumbini.Kimya kilipopita alishtukia mlango ukifunguliwa kwa uangalifu!Mkewe akaingia kwa kunyata!Hali hiyo ikampatiliza Bario.Akawasha taa pap!Mkewe aliganda pale mlangoni kama amemwagiwa maji baridi!Alikauka mwili mzima!Macho makali ya Bario yalimvunja ini na moyo!
“Umetoka wapi?”ndo swali la kwanza!Laredo alivuta pumzi ndefu na kuzishusha!Nimekamatika leo!
Bahati mbaya khanga ikampwaya nakuanguka akabaki uchi!Bario alikuwa anamuhesabia matukio hayo!Ni muda mrefu tangu aone uchi wa mkewe!Hata alipouona leo alishtuka na mwili kumsisimka!
“Ni…ni…ni…”akawa anamumunya maneno tu!Bario akainukia nakuanza kupiga hatua kumfuata mkewe!Laredo alingoja kama kondoo aliyetayari kuchinjwa!Alitulia huku akitetemeka.Kila hatua aliyoiga mumewe ilizidi kumchanganya!Mumewe alimfikia nakumtazama kwa kumsawiri mwili wake!Hisia kali zilizo katika macho ya mumewe zilimfanya akumbuke mwanzoni mwa siku za mahaba kati yake na mwanaume huyu!Mume mtamu jamani alimkumbuka alivyokuwa enzi hizo.Haya ndiyo macho yaliyomchanganya mwili na roho!Leo kapewa tena macho hayo.Alijua leo mumewe angedai haki yake kwa jinsi alivyomtizama.Lakini tofauti na alivyotazamia alishtukia mumewe akiinama nakunyanyua khanga kisha akamfunika.Ilikuwa picha iliyomchanganya sana!
Japo alikwisha tosheka alipokuwa kwa Masua lakini alitaka kumpima mumewe.Hata kama angekuwa tayari angemkubalia shingo upande tu!Bario akageuka nakuelekea chumbani kwake.hakumsemesha tena!Tukio hilo likamshangaza sana. Laredo.Ilibidi ajiulize mara mbilimbili kulikoni na mume wake?
Jibu halikupatikana kabisa!Akatumbua macho!Akiwa mwingi wa mawazo aliamua kwenda msalani wa ndani alikatiza korido nakuingia akakuta pako wazi.Cha kumshangaza kulikuwa na sauti ya miguno yakimahaba!Sauti ya mumewe!Akajikuta akitaka kujua kilichomsibu nakuingia!Mlango ulikuwa wzi akaufungua!Mungu wangu!Alimkuta mumewe akijichua!Nguvu zilimwsihia na hasira kumpanda mpaka juu!
“Bario!Unafanya nini?Kwani mimi sipo mpaka ufanye hivi!”Kile kitendo kilimuumiza sana nakumfedhehesha!Upepo wa usiku ukazidi kupuliza kwa kasi nakutetemesha miti!
 

Attachments

  • UPEPO USIKU.jpg
    UPEPO USIKU.jpg
    51.5 KB · Views: 183
UPEPO WA USIKU-4
BONIFACE BIRAGE

Alipokamilisha kuoga alirudi akielekea chumbani nakubadili kwa kujitanda khanga tu bila kuvalia chochote ndani.Alielekea sebuleni ambapo mumewe alikuwa anangoja chai.Alienda akamtengea chai kisha akaketi naye kumdadisi anavyokula kwa apetaiti.Alijua hadi vipimo vya sukari kumwekea kwenye chai.
“Vipi mipango ya leo mume wangu unajua nimechukua likizo nando naanza leo.Ungependa nikuandalie nini?”ilikuwa ni mazoea yake kumpa hamasa mumewe yakurudi nyumbani maapema.
“Chochote baby.”
“Jamani habi niambie ungependelea nini?”alimdekeadekea mumewe.Hiyo ndo nyuso ya mwanamke aliyoitumia kumnasia mumewe.Alikuwa na nyuso tofauti za kumdaka bakunja.Na kila nyuso ilikuwa na tafsiri husika.Wala usingejua matendo yake ya usiku wenye upepo.Kweli upepo hubeba mambo mengi nakuyapeleka inapotaka kwa manufaa yake wenyewe.
“Haya basi,niandalie ndizi mchemsho.Nadhani itafaa kwa mlo wa jioni.”alikamilisha ombi la mkewe.Kumridhisha.Sasa walibadilika na kuwa mtazamo tofauti ya usiku yalikuwa usiku na kuzama na siri za usiku wa kiza.
Alimaliza chai,ni kwamba aliona amechelewa yeye hutoka saa kumi na mbili kamili kuwahi kazini ndo utaratibu wake.Siku imeanza anatakiwa kuipokea kwa wepesi na haraka.
“Umeshiba?”Laredo alimswali mume wake.
“Nimeshiba.”
Kuhakikisha kama kweli mumewe ameshiba alimbinyabinya tumbo lake kulipima hivyo ndo humkagua.Hayo ndo maisha yao yalivyo.Tukio la jana likabaki kama historia!Kana kwamba hakuna kilichojiri.
Mumewe aliinuka nakutaka kutoka,”Ngoja mme wangu?”alimzuia.Akaenda akamshika mikono nakuanza kupiga sala kabla mumewe hajaondoka.Sala yenyewe iliendeshwa na Laredo mwenyewe.Kisha Bario aliondoka zake.Alimwangalia anavyoondoka akarudi hadi kwenye kochi nakujitupa.
“Mmmh!Mapenzi haya yana mambo yake.”aljisemea nusu kusikitika nusu kufurahi.Wala usingejua ni yeye katoka kumuombea mumewe muda huu.Alikuwa na tabia za ajabu.Kumdhulumu kimapenzi lilikuwa jambo la kawaida kwake na wala hakuona taabu yeyote.Na sasa anamuombea heri mume huyuhuyu aliyemsaliti usiku uliopita.
***
Bario alipita njia za mkato kufika anapofanyia kazi kwenye duka lake la dawa maeneo ya hapa Arusha mjini kaloleni ndanindani.Huwahi asubuhi akiwa na maana yake.Duka lake lilikuwa sambamba na baa kadhaa zilizofunguliwa eneo hilo.Pia kulikuwa na gesti za kumwaga.Hapa palisifika kwa biashara iliyodumu kwa miaka mingi sana.Biashara ambayo hakuna nchi au taifa lisiloifanya.Biashara ya ukahaba.Aliijua ndani nje maana makahaba hao walikuwa wateja wake wakuu.Hasa wakihitaji bidhaa kama kondomu na vidonge vya uzazi wa mpango!
Na vilevile pia alifanya nao biashara hiyo ya nipe nikupe.Kuwahi asubuhi ndo starehe yake kuwaona machangudoa hao wakiwa ndo wanamalizia shift za usiku.Ungewaona walevi,wamechoka sana.Na anaowapata asubuhi ni wale ambao hawakuingiza biashara usiku au unapata kipata hakikuridhisha.Hao ndo huwapata asubuhi wakiwadaka wapita njia nakujinadi kwao.Aliweza kuwatambua wanawake Malaya kwa urahisi sana kila asubuhi.Wako aliwaona wakibebwa kwenye pikipiki ungewaona na viguo vifupi au wamejisetiri kwa mitandio.Akacheka kila alipowaona alishalala na wengi nakuwajua ndani nje ladha zao.
Aliingia dukani nakufungua.Kisha hata kabla hajalifungua lote alijiwa na moja ya popo wa usiku.Alipomtizama alimtambua ni Amina.Bila shaka upepo wa usiku ulishampiga.
“Niambie DK Bario za asubuhi?’
“Salama vipi hujaenda nyumbani?”
“Hamna dokta,nilikuwa na ngoja nikupe huduma unajua na deni lako.Nilichukua dawa za uzazi wa mpango nasijalipa.Kijiwe kilikuwa kibaya.Wacha tumalizane kiaina au vipi?”
Bario akatabasamu.Amina aliurudishia mlango akazama ndani.Walitekeleza shughuli yao palepale dukani.Hayo ndo maisha yake.Bario hakuyapenda maisha yakina dada hawa.Upepo uliowapiga haukuridhisha kabisha.Maisha yalijaa kila aina ya uchafu.Walipokamilisha Amina alivaa nguo zake.
“Halafu dokta,sina nauli naomba unikopeshe.Nikishindwa kulipa tutamalizana hivihvi au vipi?”alisema Amina mwenye wingi wa ushaufu huku akijipindapinda kama anogea maji yenye joto la kuridhisha.
“Poa.”alijibiwa purazai huku dokta Bario akitengeneza shati lake.
Bario alivaa suruale yake kisha akatoa mfukoni elfu moja na kumpa Amina.
“Asante mpenzi.Tutaonana jioni basi.”amina alichanua kwa tabasamu la shukrani kutoka moyoni.Ilikuwa pesa nzuri ambayo ingemfikisha nyumbani mwake.
“Poa.”
Amina akatoka zake.Bario akafungua duka.Mteja wa kwanza akaja.Alikuwa ni msichana hivi.Mweupe aliyetumia sana mkorogo.Bila shaka ni mafuta kama carolight.
“Karibu sana.”
“Asante.”binti alionesha kama kukichunguza chumba kile kana kwamba kuna kitu anataka.Bario alimwacha aagize anachotaka.
“Nahitaji marashi ya maiti!Pamoja na damu lita mbili!Tena damu ya binadamu.!”alisema Yule msichana nakumkata maini Bario!Akatumbua macho kwa mshangao asijue ni kitu gani huyu binti anasema!Alihitaji vitu ambavyo havikueleweka,”Halfu na chupa moja ya maji ya maiti.Yaani maji yaliyooshewa maiti.”tena alizungumza akiwa makini!Bila kupepesa macho!Bario alitumbua macho kwa mshangao na mwili wote kusisimka!
Kisha alifanya kama kufunua nguo yake akimwonesha kitu Bario.Alifungua hadi usawa wakifua.Titi la upande wa kushoto lilikuwa limeoza nakutoa harufu kali!Bario hakustahamili alitua chini kama mzoga !
 

Attachments

  • UPEPO USIKU.jpg
    UPEPO USIKU.jpg
    51.5 KB · Views: 142
UPEPO WA USIKU-5
BONIFACE BIRAGE

Laredo alienda mjini kutembea hasa kwa kipindi hiki cha likizo.Alikatiza kwenye viunga vingi vya mji huku akiwa na kesi kubwa ya kujibu baina ya wanaume wawili wanaompelekesha mpaka sasa!Ni mume wake?Au ni Masua.Wote walimuweka kati kwenye mtanange ambao kwa upande wake haukuwa na njia ya kutokea.Angefanya nini?
Alipita mpaka casino nakupata vinywaji pamoja na makadabrasha mengine kuchangamka kwa siku kama ile.Alitumia muda mwingi kunywa ilikupoteza hofu na kiwewe cha mumewe kumkwepa kimapenzi.Alifikiria tena mzunguko wote wa ndoa yake.Ni kweli kwamba amezama kwa Masua nakutoka ni muhali mkubwa sana.
Alishajipa mawazo ya kuondoka katika mkusanyiko huo wa ndoa.Lakini haikuwa busara kuvunja ndoa.Ingekuwa vipi?Kila akikumbuka matukio ya mumewe alijipata akiugua moyo.Mpango wake ulimtuma kuwa na wanaume wawili.Liwalo liwe lakini lazima awe na wawili.Kuivunja dhamira hiyo ni vigumu.Ndiyo mapenzi ya mumewe yamepungua lakini sio hatma ya yeye kuwa bila mtu.Na kama angefanikiwa kuwachukua wote wawili angetekeleza kitu tunaita Polyandry yaani mwanamke mmoja wanaume zaidi ya wawili.
Angeandika historia ya tukio hilo na hakuna wakumuhukumu kuhusu hilo.Alirudi nyumbani akiwa amelewa sana bila kuzungumza akaingia bafuni nakuoga kisha akaenda kulala.Alishtushwa na ujio wa Masua.Bila hata haya Masua alinza purukushani za kukabiliana na Laredo,”Mwenzangu vipi kwani?”
“Nimetoroka kazini bibie yaani na usongo na wewe ile mbaya.”wakati huo alishaweka busu la mdomoni ambalo lilipwaya kutokana na kupishana kauli.
“Yaani umetoroka kazini juu yangu mwanaume hasidi wewe.”alijibu Laredo kwa maringo ya kike kuona anakubalika hadi mtu anatoroka kazini kuja kupumzika naye.
“Sasa nifanyeje Laredo mimi mwenyewe hoi juu yako.”kauli yake ilijaa hawaa.
“Jamani sasa mume wangu akija si itakuwa taabu?”
Masua alicheka.Maana alijua mume wa huyu awezi kurudi mchana hata iweje.Nyakati zake huwa ni usiku tu.Alitabasamu na kwa mtindo ule wa kutabasamu ulionesha kwamba amegundua uongo wake.Laredo bila kufikiria mara mbili alimvuta Masua kitandani.Akachojoa nguo za Masua nakuziweka kando!Laredo alitoa khanga ikawa huko!Mwili wake ukachemka kwa joto la ghafla!Dakika chache walikuwa wanafanya mapenzi kwenye kitanda cha mume wake!Msuguano mzito ulibebwa na tama zisizo na kikomo!Hawakutambua lolote kadri muda ulivyosonga!
Walikuwa mbali katika zoezi hilo!Huku wakiburuzana kwa kasi ya ajabu!Uwizi wa mapenzi!Wakati wakiwa wamezama kabisa walishtushwa na hodi iliyokuwa inabishwa!Jasho likiwa linawatoka wakajipata wakikurupuka kutoka kitandani!
“Atakuwa nani?”aliuliza Laredo wakati huo wakiwa na wasiwasi na mashaka!Mioyo yao ilienda mbio kwamba wapo mbioni kugundulika.Akili ya Laredo iliwaza mambo mengine!Mahesabu yake ni kumiliki wanaume wote wawili kwa wakati mmoja.Hilo ndo wazo lake usiku na mchana.Akiwa bado damu inachemka na wenge la kutoka kufanya mapenzi na Masua alijipata miguu ikitetemeka.
“Nikwambie kitu ingia chini ya mvungu.”
“Lakini?”alitaka kubisha kwa wasiwasi.
“Fanya hivyo Masua sina jinsi.”alitetemeka mpaka kichwa kwa hofu na mashaka!
Masua alitii amri nakuingia chini ya mvungu mara moja!Akasahau kumwambia avae nguo.Masua aliingia chini ya mvungu akiwa uchi wa mnyama!Pigo kwake tena kubwa!
Laredo alichukua upande wa khanga.Hofu yakuhisiwa janaba alijiadhari kwa kukaaa mbali na huyo atakayekutana naye.Alienda moja kwa moja hadi sebuleni.Tayari mgongaji alikuwa ameshaingia ndani.Tena alikuwa kwenye kochi akiwa amemweka mtu huku akimpepea!
Aliwatambua watu wale kwa haraka sana!
“Jamani shemeji imekuwaje?”aliuliza Laredo.
“Nilipitia dukani kwake namkuta kaanguka chini!”Watu wawili walikuwa wameingia ndani mwake.Huyu ni Bario pamoja na mdogo wake,Hamza.
“Shem ningoje kidogo naenda msalani.’hata hakusubiri jibu,Laredo alikimbilia bafuni kurekebisha mwili wake!”alioga fastafasta nakubadili mavazi kusudi janaba isisikike.Masua alikuwa bado chini ya mvungu!
Akarudi hadi ukumbini nakuanza shughuli ya mume wake kumhudumia arudi sawa.
Alimkagua,”Mume wangu?Mume wangu?Umepatwa na nini babaa?”
aliona mumewe akiwa kimya.Hali yake ilikuwa mbaya kiasi.Haongei wala hasemi lolote lile la kuridhisha.
“Mmmh?Shem naona aende hospitali.”Hamza alitoa ushauri huo.Hakukuwa na pingamizi zaidi ya kumbeba nakumpeleka hospitali.Walitoka hadi nje.Laredo alimwita dreva tax aliyehifadhi namba zake za simu.Muda mfupi mbele walikuwa mbioni kuelekea hospitali.Huku nyuma Masua alichomoka uvunguni akarudi chumbani kwake.Nyumba ile walikuwepo wapangaji wawili tu yaani Laredo na mumewe halafu Masua wapili.Vyumba vingine vilikuwa bado havija pata wapangaji.
***
Jioni Laredo alikuwa amerudi kutoka hospitalini akimwacha Masua amelazwa baada ya kupatwa na mshtuko.Angetakiwa kuwa mapumzikoni kwa muda kidogo ilikujipa nafasi ya kupata matibabu na hali yake ingerejea vizuri.Haikujulikana mshtuko ulisababishwa na nini?Japo alitoka akiwa sawa.Laredo asingesema mengine ya familia yake maana ni siri.Japo alijua vyema mumewe hajui karata anazozicheza.Angeupelekesha mchezo wak siri.Dhana ya kwamba mshtuko wa mumewe umeletwa na vituko vyake ilikufa kibudu!Ilibidi Hamza amrudishe jioni hiyo.Hamza alirudi kwa kutumia gari lake la kazini.Akiwa amemfikisha getini kwake yapata saa saba usiku gari likasimama.
“Asante shem wangu.”
“Haina taabu shem.”alijibu Hamza.

“Tuombe Mungu my husband is strong.Najua kesho atakuwa salama.Mpaka amepatwa na mshtuko labda ni jambo kazini.”alisema Laredo.

“Nyumbani hakuna habari ambayo ingepelekea awe na mshtuko huo.”shemeji mtu aliongeza.

“Ndiyo.”alijibu kwa uchovu ni kama lepe la usingizi lilikuwa mbioni kumkabili.

Ukimya ukapita wa muda.Ukimya huu ulikuwa wa shari.Kibaridi cha usiku kikifuka moshi!Ghafla Hamza alimvuta Laredo nakuanza kumbusu!Laredo akaitikia!Busu la shemeji yake lilimvumbua nakuukimbiza usingizi huku neva za mwili zikipitisha ukakamavu uliondoa uchovu ulioandamana kwenye mishipa ya fahamu.

Hakuwa na pingamizi!Alirudisha busu kwa shemeji mtu!
 

Attachments

  • UPEPO USIKU.jpg
    UPEPO USIKU.jpg
    51.5 KB · Views: 132
Utamu njoo. Utamu kolea. Thanks

Sent from my HTC Desire 820G PLUS dual sim using JamiiForums mobile app
 
UPEPO WA USIKU-4
BONIFACE BIRAGE

Alipokamilisha kuoga alirudi akielekea chumbani nakubadili kwa kujitanda khanga tu bila kuvalia chochote ndani.Alielekea sebuleni ambapo mumewe alikuwa anangoja chai.Alienda akamtengea chai kisha akaketi naye kumdadisi anavyokula kwa apetaiti.Alijua hadi vipimo vya sukari kumwekea kwenye chai.
“Vipi mipango ya leo mume wangu unajua nimechukua likizo nando naanza leo.Ungependa nikuandalie nini?”ilikuwa ni mazoea yake kumpa hamasa mumewe yakurudi nyumbani maapema.
“Chochote baby.”
“Jamani habi niambie ungependelea nini?”alimdekeadekea mumewe.Hiyo ndo nyuso ya mwanamke aliyoitumia kumnasia mumewe.Alikuwa na nyuso tofauti za kumdaka bakunja.Na kila nyuso ilikuwa na tafsiri husika.Wala usingejua matendo yake ya usiku wenye upepo.Kweli upepo hubeba mambo mengi nakuyapeleka inapotaka kwa manufaa yake wenyewe.
“Haya basi,niandalie ndizi mchemsho.Nadhani itafaa kwa mlo wa jioni.”alikamilisha ombi la mkewe.Kumridhisha.Sasa walibadilika na kuwa mtazamo tofauti ya usiku yalikuwa usiku na kuzama na siri za usiku wa kiza.
Alimaliza chai,ni kwamba aliona amechelewa yeye hutoka saa kumi na mbili kamili kuwahi kazini ndo utaratibu wake.Siku imeanza anatakiwa kuipokea kwa wepesi na haraka.
“Umeshiba?”Laredo alimswali mume wake.
“Nimeshiba.”
Kuhakikisha kama kweli mumewe ameshiba alimbinyabinya tumbo lake kulipima hivyo ndo humkagua.Hayo ndo maisha yao yalivyo.Tukio la jana likabaki kama historia!Kana kwamba hakuna kilichojiri.
Mumewe aliinuka nakutaka kutoka,”Ngoja mme wangu?”alimzuia.Akaenda akamshika mikono nakuanza kupiga sala kabla mumewe hajaondoka.Sala yenyewe iliendeshwa na Laredo mwenyewe.Kisha Bario aliondoka zake.Alimwangalia anavyoondoka akarudi hadi kwenye kochi nakujitupa.
“Mmmh!Mapenzi haya yana mambo yake.”aljisemea nusu kusikitika nusu kufurahi.Wala usingejua ni yeye katoka kumuombea mumewe muda huu.Alikuwa na tabia za ajabu.Kumdhulumu kimapenzi lilikuwa jambo la kawaida kwake na wala hakuona taabu yeyote.Na sasa anamuombea heri mume huyuhuyu aliyemsaliti usiku uliopita.
***
Bario alipita njia za mkato kufika anapofanyia kazi kwenye duka lake la dawa maeneo ya hapa Arusha mjini kaloleni ndanindani.Huwahi asubuhi akiwa na maana yake.Duka lake lilikuwa sambamba na baa kadhaa zilizofunguliwa eneo hilo.Pia kulikuwa na gesti za kumwaga.Hapa palisifika kwa biashara iliyodumu kwa miaka mingi sana.Biashara ambayo hakuna nchi au taifa lisiloifanya.Biashara ya ukahaba.Aliijua ndani nje maana makahaba hao walikuwa wateja wake wakuu.Hasa wakihitaji bidhaa kama kondomu na vidonge vya uzazi wa mpango!
Na vilevile pia alifanya nao biashara hiyo ya nipe nikupe.Kuwahi asubuhi ndo starehe yake kuwaona machangudoa hao wakiwa ndo wanamalizia shift za usiku.Ungewaona walevi,wamechoka sana.Na anaowapata asubuhi ni wale ambao hawakuingiza biashara usiku au unapata kipata hakikuridhisha.Hao ndo huwapata asubuhi wakiwadaka wapita njia nakujinadi kwao.Aliweza kuwatambua wanawake Malaya kwa urahisi sana kila asubuhi.Wako aliwaona wakibebwa kwenye pikipiki ungewaona na viguo vifupi au wamejisetiri kwa mitandio.Akacheka kila alipowaona alishalala na wengi nakuwajua ndani nje ladha zao.
Aliingia dukani nakufungua.Kisha hata kabla hajalifungua lote alijiwa na moja ya popo wa usiku.Alipomtizama alimtambua ni Amina.Bila shaka upepo wa usiku ulishampiga.
“Niambie DK Bario za asubuhi?’
“Salama vipi hujaenda nyumbani?”
“Hamna dokta,nilikuwa na ngoja nikupe huduma unajua na deni lako.Nilichukua dawa za uzazi wa mpango nasijalipa.Kijiwe kilikuwa kibaya.Wacha tumalizane kiaina au vipi?”
Bario akatabasamu.Amina aliurudishia mlango akazama ndani.Walitekeleza shughuli yao palepale dukani.Hayo ndo maisha yake.Bario hakuyapenda maisha yakina dada hawa.Upepo uliowapiga haukuridhisha kabisha.Maisha yalijaa kila aina ya uchafu.Walipokamilisha Amina alivaa nguo zake.
“Halafu dokta,sina nauli naomba unikopeshe.Nikishindwa kulipa tutamalizana hivihvi au vipi?”alisema Amina mwenye wingi wa ushaufu huku akijipindapinda kama anogea maji yenye joto la kuridhisha.
“Poa.”alijibiwa purazai huku dokta Bario akitengeneza shati lake.
Bario alivaa suruale yake kisha akatoa mfukoni elfu moja na kumpa Amina.
“Asante mpenzi.Tutaonana jioni basi.”amina alichanua kwa tabasamu la shukrani kutoka moyoni.Ilikuwa pesa nzuri ambayo ingemfikisha nyumbani mwake.
“Poa.”
Amina akatoka zake.Bario akafungua duka.Mteja wa kwanza akaja.Alikuwa ni msichana hivi.Mweupe aliyetumia sana mkorogo.Bila shaka ni mafuta kama carolight.
“Karibu sana.”
“Asante.”binti alionesha kama kukichunguza chumba kile kana kwamba kuna kitu anataka.Bario alimwacha aagize anachotaka.
“Nahitaji marashi ya maiti!Pamoja na damu lita mbili!Tena damu ya binadamu.!”alisema Yule msichana nakumkata maini Bario!Akatumbua macho kwa mshangao asijue ni kitu gani huyu binti anasema!Alihitaji vitu ambavyo havikueleweka,”Halfu na chupa moja ya maji ya maiti.Yaani maji yaliyooshewa maiti.”tena alizungumza akiwa makini!Bila kupepesa macho!Bario alitumbua macho kwa mshangao na mwili wote kusisimka!
Kisha alifanya kama kufunua nguo yake akimwonesha kitu Bario.Alifungua hadi usawa wakifua.Titi la upande wa kushoto lilikuwa limeoza nakutoa harufu kali!Bario hakustahamili alitua chini kama mzoga !


UPEPO WA USIKU-5
BONIFACE BIRAGE

Laredo alienda mjini kutembea hasa kwa kipindi hiki cha likizo.Alikatiza kwenye viunga vingi vya mji huku akiwa na kesi kubwa ya kujibu baina ya wanaume wawili wanaompelekesha mpaka sasa!Ni mume wake?Au ni Masua.Wote walimuweka kati kwenye mtanange ambao kwa upande wake haukuwa na njia ya kutokea.Angefanya nini?
Alipita mpaka casino nakupata vinywaji pamoja na makadabrasha mengine kuchangamka kwa siku kama ile.Alitumia muda mwingi kunywa ilikupoteza hofu na kiwewe cha mumewe kumkwepa kimapenzi.Alifikiria tena mzunguko wote wa ndoa yake.Ni kweli kwamba amezama kwa Masua nakutoka ni muhali mkubwa sana.
Alishajipa mawazo ya kuondoka katika mkusanyiko huo wa ndoa.Lakini haikuwa busara kuvunja ndoa.Ingekuwa vipi?Kila akikumbuka matukio ya mumewe alijipata akiugua moyo.Mpango wake ulimtuma kuwa na wanaume wawili.Liwalo liwe lakini lazima awe na wawili.Kuivunja dhamira hiyo ni vigumu.Ndiyo mapenzi ya mumewe yamepungua lakini sio hatma ya yeye kuwa bila mtu.Na kama angefanikiwa kuwachukua wote wawili angetekeleza kitu tunaita Polyandry yaani mwanamke mmoja wanaume zaidi ya wawili.
Angeandika historia ya tukio hilo na hakuna wakumuhukumu kuhusu hilo.Alirudi nyumbani akiwa amelewa sana bila kuzungumza akaingia bafuni nakuoga kisha akaenda kulala.Alishtushwa na ujio wa Masua.Bila hata haya Masua alinza purukushani za kukabiliana na Laredo,”Mwenzangu vipi kwani?”
“Nimetoroka kazini bibie yaani na usongo na wewe ile mbaya.”wakati huo alishaweka busu la mdomoni ambalo lilipwaya kutokana na kupishana kauli.
“Yaani umetoroka kazini juu yangu mwanaume hasidi wewe.”alijibu Laredo kwa maringo ya kike kuona anakubalika hadi mtu anatoroka kazini kuja kupumzika naye.
“Sasa nifanyeje Laredo mimi mwenyewe hoi juu yako.”kauli yake ilijaa hawaa.
“Jamani sasa mume wangu akija si itakuwa taabu?”
Masua alicheka.Maana alijua mume wa huyu awezi kurudi mchana hata iweje.Nyakati zake huwa ni usiku tu.Alitabasamu na kwa mtindo ule wa kutabasamu ulionesha kwamba amegundua uongo wake.Laredo bila kufikiria mara mbili alimvuta Masua kitandani.Akachojoa nguo za Masua nakuziweka kando!Laredo alitoa khanga ikawa huko!Mwili wake ukachemka kwa joto la ghafla!Dakika chache walikuwa wanafanya mapenzi kwenye kitanda cha mume wake!Msuguano mzito ulibebwa na tama zisizo na kikomo!Hawakutambua lolote kadri muda ulivyosonga!
Walikuwa mbali katika zoezi hilo!Huku wakiburuzana kwa kasi ya ajabu!Uwizi wa mapenzi!Wakati wakiwa wamezama kabisa walishtushwa na hodi iliyokuwa inabishwa!Jasho likiwa linawatoka wakajipata wakikurupuka kutoka kitandani!
“Atakuwa nani?”aliuliza Laredo wakati huo wakiwa na wasiwasi na mashaka!Mioyo yao ilienda mbio kwamba wapo mbioni kugundulika.Akili ya Laredo iliwaza mambo mengine!Mahesabu yake ni kumiliki wanaume wote wawili kwa wakati mmoja.Hilo ndo wazo lake usiku na mchana.Akiwa bado damu inachemka na wenge la kutoka kufanya mapenzi na Masua alijipata miguu ikitetemeka.
“Nikwambie kitu ingia chini ya mvungu.”
“Lakini?”alitaka kubisha kwa wasiwasi.
“Fanya hivyo Masua sina jinsi.”alitetemeka mpaka kichwa kwa hofu na mashaka!
Masua alitii amri nakuingia chini ya mvungu mara moja!Akasahau kumwambia avae nguo.Masua aliingia chini ya mvungu akiwa uchi wa mnyama!Pigo kwake tena kubwa!
Laredo alichukua upande wa khanga.Hofu yakuhisiwa janaba alijiadhari kwa kukaaa mbali na huyo atakayekutana naye.Alienda moja kwa moja hadi sebuleni.Tayari mgongaji alikuwa ameshaingia ndani.Tena alikuwa kwenye kochi akiwa amemweka mtu huku akimpepea!
Aliwatambua watu wale kwa haraka sana!
“Jamani shemeji imekuwaje?”aliuliza Laredo.
“Nilipitia dukani kwake namkuta kaanguka chini!”Watu wawili walikuwa wameingia ndani mwake.Huyu ni Bario pamoja na mdogo wake,Hamza.
“Shem ningoje kidogo naenda msalani.’hata hakusubiri jibu,Laredo alikimbilia bafuni kurekebisha mwili wake!”alioga fastafasta nakubadili mavazi kusudi janaba isisikike.Masua alikuwa bado chini ya mvungu!
Akarudi hadi ukumbini nakuanza shughuli ya mume wake kumhudumia arudi sawa.
Alimkagua,”Mume wangu?Mume wangu?Umepatwa na nini babaa?”
aliona mumewe akiwa kimya.Hali yake ilikuwa mbaya kiasi.Haongei wala hasemi lolote lile la kuridhisha.
“Mmmh?Shem naona aende hospitali.”Hamza alitoa ushauri huo.Hakukuwa na pingamizi zaidi ya kumbeba nakumpeleka hospitali.Walitoka hadi nje.Laredo alimwita dreva tax aliyehifadhi namba zake za simu.Muda mfupi mbele walikuwa mbioni kuelekea hospitali.Huku nyuma Masua alichomoka uvunguni akarudi chumbani kwake.Nyumba ile walikuwepo wapangaji wawili tu yaani Laredo na mumewe halafu Masua wapili.Vyumba vingine vilikuwa bado havija pata wapangaji.
***
Jioni Laredo alikuwa amerudi kutoka hospitalini akimwacha Masua amelazwa baada ya kupatwa na mshtuko.Angetakiwa kuwa mapumzikoni kwa muda kidogo ilikujipa nafasi ya kupata matibabu na hali yake ingerejea vizuri.Haikujulikana mshtuko ulisababishwa na nini?Japo alitoka akiwa sawa.Laredo asingesema mengine ya familia yake maana ni siri.Japo alijua vyema mumewe hajui karata anazozicheza.Angeupelekesha mchezo wak siri.Dhana ya kwamba mshtuko wa mumewe umeletwa na vituko vyake ilikufa kibudu!Ilibidi Hamza amrudishe jioni hiyo.Hamza alirudi kwa kutumia gari lake la kazini.Akiwa amemfikisha getini kwake yapata saa saba usiku gari likasimama.
“Asante shem wangu.”
“Haina taabu shem.”alijibu Hamza.

“Tuombe Mungu my husband is strong.Najua kesho atakuwa salama.Mpaka amepatwa na mshtuko labda ni jambo kazini.”alisema Laredo.

“Nyumbani hakuna habari ambayo ingepelekea awe na mshtuko huo.”shemeji mtu aliongeza.

“Ndiyo.”alijibu kwa uchovu ni kama lepe la usingizi lilikuwa mbioni kumkabili.

Ukimya ukapita wa muda.Ukimya huu ulikuwa wa shari.Kibaridi cha usiku kikifuka moshi!Ghafla Hamza alimvuta Laredo nakuanza kumbusu!Laredo akaitikia!Busu la shemeji yake lilimvumbua nakuukimbiza usingizi huku neva za mwili zikipitisha ukakamavu uliondoa uchovu ulioandamana kwenye mishipa ya fahamu.

Hakuwa na pingamizi!Alirudisha busu kwa shemeji mtu!
SURE NAMM NDO NAZITAFUTA LKN SIJAZUPATA ....
 
UPEPO WA USIKU-6
BONIFACE BIRAGE

Laredo alimsukuma shemeji yake kando,”Please Hamza siyo kwa sasa.”alijibu kwa sauti iliyopanda kidogo.Akili ni kama zilimrudi kwa ghafla bila kutegemea.
“Laredo lini?’’Hamza alilalamika kutoka uvungu wa moyo huku kumbimbi za ubataani zikimsimama wima!

Akaendeleza hotuba yake,”Lini utakuwa tayari mipango iliyopo kwa sasa ni mimi kukuoa.”
“Lakini mimi ni mke wa mtu kumbuka.”Laredo alijitetea.Madai ya Hamza yalikuja katika giza la usiku huo.Milio ya upepo wa usiku ililalama kwenye miti iliyoshindanishwa na upepo huo.Joto la kwenye gari lilikuwa la kuridhisha lakini upepo uliotoka nje ulikuja kwa mawimbi mazito.
“Nina wazo.Tumzimishe kaka ilitubaki wote.”lilikuwa wazo zito kuliko yote.Laredo akatumbua macho!Kuua!Huyu anajielewa kweli?Utaua wangapi ili waweze kujinafasi bila utitiri wa kero.Mawazo kama haya huwa hatari sana kwa mustakabali wa maisha.Sio Laredo tu hata kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ubeba uzumbukuku kama huu.Kwa bei gani?Na kama hatatumia busara za utu bila shaka tutaanza kusimuliana mengine yenye kusikitisha.

“Hivi unajua unachokisema wewe?”

“Kwani ni ishu kubwa.Mbona simple tu.”alijibu purazai.Laredo alihisi roho kumwenda mbio.Huku ni kununua kesi kwa bei rahisi na kujakingia kwenye msokoto wa fitina.Kuna mnyororo mrefu sana ikitokea kama mauti ingezaliwa kwa namna yeyote.

“Siyo vizuri kumuua mtu.”alihamaki kisha akaendelea,”Ni bora tule gizani kuliko kumuua mtu.Nitakuwa na uhakika gani kama na mimi siku moja hautanimalizia?”

“Nakupenda ujue siwezi kufanya uhuni kama huo kwako.”alijitetea Hamza.

Hamza alimpapasa nywele Laredo.Midomo yake yenye unyevu ilitamanisha kwenye faragha ile ambayo ingempa nafasi ya kutenda lolote lenye kutimiza lengo lake kuu.

“Kutaka kuondoa uhai wa mtu ni nuksi ujue.Huwezi tu kukurupuka eti tuondoa uhai wa mume wangu ili wewe ubaki na mimi.Fikiria kwa kina Hamza?”alisisitiza Laredo.

Hamza akatabasamu kwa unafiki,”Kwani wewe ulikuwa na wazo gani?”

Akafikiri kwa muda kisha akasema,”Nina wazo la kuondoa utata.Huu.”
“Wazo gani?”Hamza akasawili kwa hamu.
“Sikufichi shem hamna mwanamke mzinzi kama mimi.”alitamka maneno hayo Laredo huku akijinyooshea kidole. Kisha akaendeleza mantiki yake mpya.

“Na msaliti mume wangu kila leo.Huwa sipendi lakini hutokea.Tena hutokea mara kibao hadi huwa najiuliza nina shida gani?Jibu sipati picha?Yaani kuna madudu nayatenda kiasi kama kuta zingekuwa zinasema basi ningeumbuka mara elfu.”alijieleza Laredo.Kwa kweli mazungumzo kati ya mtu na shemeji yake yalikuwa mazito sana.Ulikuwa utamaduni uliovuka mipaka.Sio siri kwamba Laredo alikuwa na mazoea makubwa na shemeji yake.Mazoea yakuwa na mazungo ya aina yeyote bila kuwa na soni.Ukaribu huu uliweza kuwafanya wawe huru kiasi nakutekeleza uchafu wowote ule!
Hamza alitizama chini kuonesha kuchanganyikiwa kwa habari ile.Alivuta pumzi ndefu nakuzishusha.Akaupiga usukuni kwa viganja vya mikono.Kweli yaleo kali nyingine onja tu.Shemeji alimfungulia pazia la siri zake.Hilo pekee lilithibitisha hata yeye hayupo salama kwenye lindi la uhuni unaofanyika na Laredo.
“Najua mimi na wewe bado hatujafikia hatua yakufanya mapenzi kwa sababu kuna heshma niliyo nayo kwako.Sipendi kuvuka mipaka hiyo hata kwa sasa.Nilazima tujipange.Hamza”
“Naelewa vizuri ila kuna mipaka niliyojiwekea na siwezi kwenda kinyume na mipaka hiyo.”alisema Larede akimtizama bwana mkubwa machoni bila kupepesa macho.Alimaanisha alichosema!
Wote walitulia kwa muda wakitafakari kwenye gari.Upepo wa usiku ulizidi kupuliza!Wakisahau kulea watakua tayari kuzika vizuri!
“Shem mimi sitoki na wewe tu nina wanaume watatu mpaka sasa.Wazo langu nikuolewa na wote.Wote nawapenda.Wewe umekuwa mtu wa kwanza kukwambia hili.”
“Wanaume watatu?”Hamza akawa kama amemwagiwa maji baridi.
“Ndiyo kwani kunalolote jipya?Mbona nyie wanaume mnaoa wana wake zaidi ya mmoja.”Laredo alifunguka kile kilichokuwa kichwani mwake.
Hamza alihisi joto likipanda ghfla.Akatizama mbele kana kwamba kuna kitu kaona kumbe ni mawazo tu,’’Ombi lako ni zito!Sijawahi ona jambo kama ili kwenye tamaduni zetu za kiafrika!”aliongeza Hamza.
“Ni poliyandry sioni kitu chochote chaajabu.Japo ni kitu ambacho kinatokea sehemu chache duniani lakini kipo kwenye historia za dunia.Kuwa na wanaume watatu namaanisha wote mtakuwa mnajua kwamba mnanimiliki mimi natunaishi nyumba moja nakula sahani moja.”alizungumza kirahisi sana kiasi alimshtua mwenzake.Ukiwa unafikiri ya Hamza yakutaka kumuua kakake ili amrithi mkewe basi utastaajabu ya Laredo kuolewa na wanaume watatu.Jambo hilo lipo kwenye ubongo wake na limemtafuna kama kansa!
“Mi nawapenda wote.”alirudia Laredo kisha akaendelea,”Yaani nime fall inlove na wanaume watatu kwa wakati mmoja.Nina uwezo wa kuwamiliki nyie wote!”

Pindi nafsi ikiridhi kuashiki na kugugubia basi nia huja na hawaa nakupaishwa kunako matendo kwa dhati ya asili.

“Unadhani sisi wote watatu kama unavyosema tutaridhia?”

“Hili jambo sio geni niliposomea taaluma yangu uko ng’ambo jambo hili lilikuwepo.Nililipenda.Nikalitamani kuja kulikaminisha.Nyie wote watatu mtakuwa na mke mmoja.Mbona mwanaume akidai jambo hili wenye mnamkubalia lakini mwanamke mnaanza sijui uhuni!Kwani nikiwa na nyie watatu kwa mpigo kinapungua kitu gani?”unge dhani kichwa kimemruka.Lakini alikuwa hatanii hata kidogo.Alimaanisha kila kauli.

“Kwanza mwanamke anakuwa na ulinzi kuwa na waume watatu.Anakuwa na ulinzi kijamii,kiuchumi na kimawazo pia.Wala sitaitwa mchepuko bali nitakuwa mke wenu halali.”

“Serikali haitambui hilo.”alisema Hamza.

“Serikali ya nani?Hili ni langu na nyie watatu tu.Ndoa iatakuwa kwa sisi watatu kwa sababu tumestaabika na ulimwengu wa kisasa.Ulimwengu wa mzungu!”

Hamza akameza mate!
Hamza alitulia kwa muda kisha akasema,”Ngoja kaka akitoka hospitali utatuita wote.”
Laredo alishuka kwenye gari nakwenda zake ndani kwake.Aliyemfungulia geti alikuwa ni Masua.Alimpokea kwa mabusu wakaenda ndani,’Leo utalala wapi bibie?”
“Leo na lala na wewe chumbani kwangu nataka unitengeneze usiku huu.”
Wakenda ndani muda mfupi mbele walikuwa kitandani wakishughulikiana kwa kasi ya ajabu.Ulikuwa usiku usio na vipingamizi vyovyote.Usiku wao wawili wapendanao.Wakapeana mahaba ya dhati kwa usiku huo hasa mume wake akiwa hayupo!Laredo alizidi kujipa moyo kwamba atamshinda mume wake.Wazo la kuua halikuwa kichwani mwake.
Kulipokucha tu waliamka maapema nakujiandaa kwa siku.Laredo alimwandaa Masua kwaajili ya kwenda kazini huku akiwaza zake.
“Baby leo jioni nitakuwa na kikao pamoja na mume wangu please usikose.”alimtaarifu.Masua alielewa nakuitika kwa kichwa.Alimtengea chai,Masua alistaftahi haraka nakuingia kilingeni kutafuta riziki ya siku.
Laredo alijitizama kwenye kioo wakati akiwa mwenyewe,”Kwa uzuri huu lazima niishi nao wote hapa.”alijiambia wakati huo.Aliandaa chakula cha mgonjwa nakuelekea hospitali.Ingeekuwa siku ndefu sana kwa wakati ule.Alifika hospitali nakukuta maendeleo ya mgonjwa sio mabaya.Afya yake ilitengemaa.Walishangaa mshtuko uliompiga mumewe ukipotea ghafla.Japo walimsaili asema aliona nini lakini haikuwa rahisi kwa Bario kusema alichoona kilibaki siri yake.
Nitukio lake mwenyewe siri ya moyoni!
***
Jioni hiyo aliandaa chakula kwaajili ya mwaliko maalum.Bario alikuwepo kwenye hafla hiyo pamoja na Masua.Akaongezeka na Hamza.Walikula huku kila mtu akijiona yeye ndo yeye kwa Laredo na kwamba hawa wanaume wawili hawana chao tena.Kumkamata kwa namna hiyo kuliandaa ujasiri baina ya wanaume hao!Wote walimwona mume wa Laredo kama fala hivi hawakujua mambo yake!
Laredo alikatisha kwanza menyu nzima kisha akasema,”Nina jambo nataka kusema.”Wanaume wote walimwangalia kwa makini!Hamza ndo alikosa amani kwani alijua wangeuana wanaume wale!Alikunywa kinywaji chake nakuvuta pumzi ndefu huku kiroho kikitaka kumwenda mbio.
Wakamwangalia kasoro Hamza aliyetupa macho kwenye meza.
“Mume wangu nakupenda sana.”alianza.Bario alionesha hali yakutabasamu akijisikia vizuri kwamba mkewe anampenda.
“Nimeishi na wewe muda wote huu kwa penzi la dhati!”sentensi zake zilikuwa kinyume na tafsiri iliyojulikana.
“Kuishi kwangu na wewe kumejenga mazoea mengi sana.Kiasi hata leo nikiambiwa nikae mbali na wewe sitaweza.Ukweli.”
Bario alijikohoza sifa zikimwendea kwa wingi.Bomu lilipigwa na leo lingetibuka kwa kipande cha mti chenye ukakasi.Goma kuzaa na utoe mimba,utaililia kwa matao usiipate.
“Ni kwmba kwa muda mrefu nimekuwa nikisaliti ndoa yetu.”sasa alikohoa si tu kwa kupaliwa na kinywaji bali kwa mshtuko.Piga hesabu mkeo anakwambia hivyo kwani anafikiria nini?
 

Attachments

  • UPEPO USIKU.jpg
    UPEPO USIKU.jpg
    51.5 KB · Views: 190
UPEPO WA USIKU-7
BONIFACE BIRAGE

“Nimetoka nje ya ndoa si mara moja.”kwa kumfichia mumewe kwamba hawana ushirikiano mzuri wa kifaragha hakumsema mbele za watu.Ni jambo lao labda watu wahisi tu nasio kuwa na ushahidi kutoka kwake.Ingebaki siri yake daima!Mengine yabaki siri za sisimizi.
“Nimekuwa nikishiriki kimapenzi ya siri na Masua!”Pigo kali kama ngumi ya za wanamsumbwi!Kwa kweli hungelikabili kama una moyo wa nyama.Lilikuwa pigo la uhakika.Ni kama alimdunga sindano hasa akiwa sio mtu aliyependa kutobolewa na kifaa hicho.Hali ilianza kubadilika.Hiz karata anazocheza alitakiwa kuzipanga kwa umakini kuliko jambo lolote lile.
Bario alitizama chini kwa hasira halafu akauleta uso kwa Masua!Masua aliangalia pembeni kwa aibu!Chakula kikawa kizito kuchota nakutafuna pia!Ilikuwa mtu kati kawekwa!Yaani umenibamba viutamu!Dj Afro angekwambia bumper to bumper…Heri ushikwe kwa namna nyingine lakini si kwa uwazi kiasi hiki huku ni kumvua mtu nguo mbele ya kadamnasi
“Mke wangu kwani unasema nini?”ilibidi amuulize maana bado hakuwa ameshika maelezo ya bibi huyu.
“Ni kweli nimekuwa na uhusiano wa kimapenzi na Masua kwa muda mrefu sasa.”alisema nakumwangalia mumewe kumpima kama bado ana shari zozote.Halafu mtu mwenyewe yupo mezani mwake.Anakula hapohapo?Jamaa alichanganyikiwa kwa sekunde kadhaa.
“Kwani mmefanya nini na nini?”hata hakupanga kuuliza swali kama hilo japo ilikuja tu akajikuta kauliza bila kutegemea.
“Yote ambayo umekuwa huyafanyi!”ilikuwa aibu ya mwaka.Bario alikwepesha macho nakutizama chini.Dah!Wanawake wanajua kuzicheza kete zao.Hili lilikuwa jipya nakumpiga kunako maeneo husika ya shutuma.Yaani alimtandika kwa neno zito hata wote waliokuwa mezani walijikuta wakishikwa na mshtuko uliowakaba kooni.
“Hata juzi nilipotoweka usiku nilikuwa kwake.”Laredo aliendelea kupasua mwamba bila ajizi yeyote ile.
Alitamani kujua nyendo za mkewe lakini hakuwa na wazo kama zingefikia hatua hii.Ilikuwa kali ya mwaka!Pengine hakutwakiwa kujua lolote si chochote.Hii ilikuwa kali ya mwaka!
“Unaweza kunilaumu lakini bado.Safari ni ndefu.Tumekuwa tukifanya mapenzi mara nyingi na yeye.”kwa jinsi alivyoropoka uchafu wake hata usingeamini!Halikuwa jambo la kuzungumzwa mbele ya wanaume hawa.Ni aibu ya mwaka!Pengine hata angemwita mume wake chemba walizungumze jambo hilo labda uwezekano wa suluhu ungefanyika kimyakimya.Aliumwaga mpunga katikati ya kuku wengi tena wakienyeji!Kusema habari kama hii ilihitaji ujasiri wa msemaji na hadhira anayoihutubia.Kwa kawaida hakuna ambaye angevumilia jambo hili nasiajabu zingelika ngumi hapahapo!Lakini Laredo alishawajua waume zake na namna ya kuwadhibiti.Alijua leo kapiga hatua kubwa sana kusema kitu hicho nasio kwamba kingekubaliwa.Alijaribu kete hiyo!
Bario hakuvumilia aliamka nakwenda chumbani.Laredo kidogo alie,akajikaza.Alijua anavunja ndoa japo kichwani alikuwa namahesabu kwamba ni muhimu akilipua jipu palepale kuliko kuja kugundulika baadaye.Akainuka nakumfuata mume wake hadi chumbani.Alimkuta amekaa kitandani kainamisha kichwa chini.Mwingi wa mawazo.Bora aseme jambo kuliko ukimya wa namna ile wa ghafla.Mshtuko upo ila sio kwa kiwango kile.
Alienda nakuketi ubavuni mwake.Ukimya ukapita kati yao!Ukimya uliobeba mengi na siri za utata.
“Nini kilifanyika hapa nilipokuwa hospitali.”alianza Bario akipandisha ujasiri wa mbwa wa kiume asiye na meno!
“Nililala na Masua.”kwanini afiche bora aseme ukweli.Kiwango alichofikia ilibidi aongee tu.Ukimywa wa kula gizani ulishaisha muda.Usaliti wake ulikuwa umepevuka kwa sasa.
“Wapi?”
“Kwenye hiki kitanda.”akaonesha kwa kidole.
Bario akameza mate ambapo sasa mdomo ulianza kuwa mchungu!Ukawa umekauka!Nguvu ni kama zilimwishia!Aliona kama kizunguzungu kilitaka kuja kikapotea!Alihisi mkojo umembana lakini hakuwa na haja ya kwenda chooni!Ndoa zina mambo wakati mwingine siyo zote bali baadhi tu!
“Kwanini ulifanya hivi?”
Laredo alitegemea kuulizwa vile.Akajikohoza kukusanya ujasiri.Hakuwa na sababu kwamba ni jambo gani alitakiwa kulisema ilikumuweka mumewe kwa wazo alilotaka!Wazo la kuwa na mabwana watatu!
“Hata nikwambie hutanielewa,kifupi nilikusaliti na stahili kuachwa.’’ Ni kama alijipa talaka.Alijuafika Bario asingempa talaka bali angemwacha atimbwe na ulimwengu.Ilikuwa kama dhihaka usoni mwa Bario.Tena dharau zenye chembe ya wizi wa makinikia.
“Not well at all.”alisema kwa huzuni.
“Na sio Masua tu.Nina uhusiano na Hamza pia.Nawapenda wote nipo tayari kuishi na nyie wote.Kilichobaki ni ndoa nikiwaongeza Masua na Hamza.Tutaishi mkijua kwamba mimi ni mke wenu.Mambo ya wivu hayatakuwepo.Tutakuwa na raha tukifanya mambo kwa pamoja.Ni wazo zuri mume wangu.Kuliko niendelee kuwasaliti bora wote mnioe tuishi wote hapa.Watu wa nje hawatajua kwamba nyie ni wanaume wangu wote.Watajua kwamba wewe ndo mume hao wengine ni ndugu tu.”
Bario alitumbua macho,’’Hivi unajua unachosema?”
“Nakijua.”alisisitiza binti huyu kwa ustaadi wa hali ya juu.Kama ni kilevi basi alikuwa amevuta au kunywa kile chenyewe.Lakini hakuwa amevuta wala kulewa.Ilikuwa akili tu kama mtu yeyote.Kilicho kichwani mwake nikuingiza utamaduni alioubeba kutoka maeneo ya huko ng’ambo.Vile aliona hajapigwa kofi wala kufokewa alijua fika ana hoja ya kujibu.Ni vile aliukuta moyo wa Bario ni nyama.
“Ni sehemu chache sana wanazo fanya mambo haya.”alisema Bario akimwambia mkewe.Kitu hiki kilisharipotiwa nchi za ng’ambo.Kwa mujibu wa Bario alishasoma utamaduni huo ambao ni wa watu wan je.Hakuwa wakitanzania.Huku usingekubaliwa kabisa.Ni kwamba mwanamke huyu aolewe na hawa watu watatu waishi pamoja wakishiriki mambo yote.

“Hii siyo open relationship yaani nikuruhusu uende na yeyote unayejisikia kwenda naye ilhali tupo pamoja.Hii ni serious ujue?”alisema Bario akikuna kichwa.Papi za midomo yake ilikauka kaukau.
“Sisi tutakuwa sehemu moja ya hiyo.Polyandry sio mbaya bali ni uhakika kwa mwanamke kuwa na waume watatu.Sina haja nakuwa na open relationship?Kuwa nayo open realationship ni hainipi uhakika mimi.Kwanza nitakuwa muhuni zaidi.Bora tufanye polyandry mwanamke mmoja anakuwa na mabwana wa halali zaidi ya mmoja.Mimi nimewachagua nyie watatu.Bario,Masua na Hamza.”alijitetea mwanamke Yule.
“Laredo umechanganyikiwa kwa kweli?How can you manage three husbands?”
“I can kwa sababu siku zote nimekuwa nikiweza.Haina haja yakuleta bifu.Tumalize kiistaarabu jambo hili.Mbona nyie wanaume mnaoa wanawake wawili hadi watano kwani mwanamke hana ujasiri huo.”

Kichwa kikacheza kwa mshangao kwa upande wa Bario.Mapya.Huu utamaduni wa ng’ambo una mashaka yake.

“Tatizo waafrika tunambana sana mwanamke hatumpi fursa ya kuridhika kwa kile anachotaka.Binadamu aliumbwa kufurahia maisha.Nikitoka na mwanamke mwanaume mwingine mnasema mimi mzinzi sasa nadai ishu ndogo tu niolewe na nyie watatu.Msiwe na wivu wowote!”
Bario aliinuka nakuja hadi ukumbini.Hamza alitaka kukimbia,”Usikimbie Hamza.We baki.Najua kinachoendelea hadi sasa.Nahitaji ushauri wenu.”
Hamza alirudi nakuketi.Alivuta pumzi ndefu nakuwaza aseme nini kwakuwa alishajua Laredo amemwleza mumewe jambo hilo,”Laredo mimi nakupenda kwa dhati nipo tayari kushare na wenzangu.”
“Hata mimi nashauri jambo hilo.”akaitikia Masua kwa haraka.Hawa walishapangwa tangu kitambo wala hakuna aliye na pingamizi.Ashukuru Mungu hawa walimwelewa lakini wangekuwa wengine ngumi zingelika kwa hatari ya kifo!
“Bario unaona wenzako wanaakili.Utakuwa muunganiko mzuri usio na vikwazo.Hamtakuwa na hofu ya kushare mke kwamba yupo na nani?Tutaishi nyumba moja kwa upendo wa ajabu na tutakuwa na familia moja iliyo na nguvu.”
“Unadhani jamii itatuonaje?”Bario akajikuta akiuliza.Kuambiwa hao wanaakili alihisi kutukanwa.
“Jamii haitajua hii ni siri yetu sisi tu.”
Bario alitulia kwanza akafikiri huku akijiambia haya ni majaribu au ndoto ya kutisha!Kuliko kupinga sana bora kieleweke mara ileile,”Sawa.”aliunga mkono huku akijiambia anataka kuona safari hiyo itaishia wapi.Japo alimpenda mkewe lakini kuna wakati alichoka nakusubiri aone mwishio wake ni nini?Pia alijiuliza ni kweli anampenda mkewe?Au mwanamke huyu ameshachuja.Jambo hilo lilikuwa gumu na hata kubali yake hakuijua imetoka wapi?Wengine wangesema kapuliziwa!
“Kwaanzia leo jueni nyie ni waume zangu na mimi ni mke wenu.”alijikaza nakuwatamkia.Wanaum wote wakatizamana kisha kwa shingo upande wakapeana mikono.Hata hakujua ilikuwaje ikawa rahisi kwa wanaume hao kukubali jambo hilo.Msafara wa ndoa baina ya mwanamke mmoja na wanume watatu ukaanza.

“Tukitaka kuwa na watoto?’’Bario akauliza.

“Hilo nachagua mimi nizae na nani?Lakini kaeni mkijua wote mtahitajika kuwa responsible kwa watoto wetu.Hakuna huyu ni wafulani.Wote ni baba kwa watoto wote sawa!’’maelezo ya Laredo yaliwashtua sana.Yalikuwa mapya kwa muafrika!
“Leo na lala na mume wangu mkubwa nyie hamtaruhusiwa kunigusa hadi tutakapofunga ndoa za kisheria.Hakuna wakutoa ushahidi kwamba nimeolewa nataka wote mnimiliki kisiri.Au sio wapenzi wangu?”
Bario alikuwa namahesabu yake.Alitaka kuona mbio za Laredo zinishia wapi?

USIKOSE TOLEO LIJALO STORY NDO KWANZA INAANZA!
 

Attachments

  • UPEPO USIKU.jpg
    UPEPO USIKU.jpg
    51.5 KB · Views: 134
UPEPO WA USIKU-8
BONIFACE BIRAGE
Karibu kila mmoja wapo alikuwa na mshangao kwa muunganiko huo kwamba ungekuwa wa namna gani japo katiba hiyo iilijulikana na Laredo mwenyewe .Usiku huo alimpa mumewe penzi zito hasa kwa kumaliza miaka mingi hawajawahi kukutana kimwili.Alifurahia sana kurudisha penzi la mume wake kwenye himaya yake.Sasa hakuna kidudu mtu wakundhibiti wala kumwambia lolote.Tayari kesha mteka bakunja.Ameshawachunuka wote hakuna wakufuruka.Moyoni alijikuta akiwaka upendo wa wanaume wote watatu.Sasa alikuwa na uhakika wa maisha yake.Pesa itakuwa ya kutosha kutoka kwa wanaume wote maana kila mmoja atajitahidi kumshinda mwenzake katika utoaji wa matumizi.Lakini japo hakuhitaji pesa zao kwa sana ila chochote kidogo watakachotoa ukijumlisha kitakuwa kitu kikubwa.Vilevile angekuwa na uhakika wa kuwa na ulinzi wa kutosha.Pia angejua watoto wake wasingepata taabu maaana kila mwanaume angechangia bila ubaguzi.
Japo la muhimu kwa yote angekuwa na uhakika wa kuridhishwa kimapenzi,maana alijua wanaume hawa wangeanza ushindani kwa utendaji wa mapenzi yao.Hata kama mmoja asipomridhisha bila shaka angeenda kwa mwingine kumalizia mziki.Kwa siku za kwanza hakuwa na ratiba muhimu kati ya wanaume wale.Aliwachukua purazai.Alikuwa awewaweka kiganjani mwake.Aliizungusha sayari yake bila hiyana.
****
Siku ya leo alikuwa amebaki nyumbani pamoja na Masua,Bario alienda zake Dar kufuata mzigo wa dawa kwaajili ya duka lake la dawa baridi.Hamza alikuwa kwenye mizunguko yake mjini.Kama ilivyo desturi mmoja akiwepo nyumbani na wengine hawapo basi huwa naye faragha.Walianza purukushani zao pale sebuleni nakuchukuana kuchukuchu hadi chumbani.Wakafanya mapenzi bila hiyana.Laredo alicheza rapu kwenye maiki ya Masua kwa muda mrefu nakumuivisha vilivyo.Ikawa mwizi kaona tamu.Masua alikuwa na hali mbaya akihangaika kwa mapigo ya Laredo huku wakizama kabisa.
“Unanipenda Laredo?”aliuliza kwa mshawasha.
“N...N?”aliishia na nnn zake bila kusema kitu.Muda kidogo alivunja mwamba na mafuriko yakalipua!Laredo alishangilia kwa dozi alizompa mwanaume huyo ambapo wakati huo alikuwa hajiwezi akitoka jasho!Ungesema nyumba hiyo ni danguro kwa jinsi wanaume hao walivyochezeshwa mahaba na kasumba za Laredo.Karata zake alizipanga vilivyo kuwakabili wanagenzi hawa.Yeye akiwa kama kocha mkuu wa timu ile.Laredo ndo mwenye sauti ya familia kwa wakati ule.
“Vipi baby?”aliuliza kwa maringo.
“Ehhh!...Utaniua mwenzako…’’alisema Masua akihema mfululizo.Jasho la kiutu uzima lilimtoka,Laredo alimsogelea nakuanza kuvuta harufu ile ya jasho aliipenda lakini ilikuwa siri yake,akajikuta akiilambalamba michirizi ya jasho la bwana huyu.
“Bao kavu hili bado la kisimani.Leo nataka tufurahie mapenzi.”alisema Laredo akiziminyaminya chuchu za Masua ambapo alizidi kumpandisha stimu za mahaba.Lakini alijua dakika chache gari lingeamka.
“Ngoja nipumzike dah!”
Laredo akachek kiushaufu,alijua amemweza mwanaume huyo.Alipenda kuwadhibiti kimahaba na sio wao kumdhibiti.Kwa upande wa Hamza hakuwa amelala naye zaidi ya mabusu tu ya hapa na pale.
“Nimefanya mpango tutafunga ndoa ya kisheria kwa DC wa jiji hili ni kiasi cha kutia sahihi na mimi nakuwa mkeo wa halali.”alisema Laredo.
“Lini?”aliuliza Masua kwa mshtuko.Halafu akaongeza,”Itawezekana vipi?Tiyari Bario ni mumeo wa ndoa?”
“Nilitaka tufanye mapenzi kwanza ndo twende.Hakutakuwa na sherehe kabisa siunajua hali ilivyo.Sheria naivunja kwakuwa nani atamwambia DC?Kumweleza hapo ndo shaka.Nyie wote tumekubaliana nitakuwa mke wenu kihalali na nitafunga ndoa na nyie kisheria.Ina maana tukienda huko tutajisajili kama wachumba.Mimi sina mume na wewe huna mke.Hivyo machoni pao tutakuwa watu wapya tunaoingia katika ndoa bila yeyote kujua huko kwa DC.”
Masua alitingisha kichwa kukubali wazo hilo.Alifikiria huyu mwanamke ana mawazo ya kihuni sana.Jambo kama lile ni zito lakini Laredo alichukulia kama karatasi.Kwa mujibu wa sheria ilitakiwa Laredo ajisajili kama mke wa Baraio.Lakini yeye alitaka afunge nao ndoa za siri kwenye taasisi zenye mamlaka ya kusajili ndoa kwa kusajili ndoa tau kwa mpigo.Wazo lake lilikuja kwakuwa hakutaka kufnuga ndoa zote siku moja maana angeumbuka nakuzua gumzo.Labda akitekeleza jambo hili kwa siri na hawa waume zake bila yeyote kujua siri hiyo basi asingezusha maneno mengi mbele ya kadamnasi.
Bila ajizi walienda wakaoga nakuvaa kisha wakaelekea kwa DC.Laredo hakusema kama ameshaolewa.DC aliandaa stakabadhi zote za sheria nakuwafungisha ndoa kisha walisaini mkataba huo wa maisha.Sasa Laredo alikuwa mke halali wa Masua.Kumbe alishaandaa taratibu kabla ya wao kufika hapo.Kilichotokea ni kwenda tu kuhalalisha jambo hilo mbele za sheria.Ukifuatilia kisheria sana na maadili ya dini ndoa hiyo ilikuwa batili.Aliyebakia ni Hamza ndo bado hajafunga naye ndoa.Pia huyo alipanga kuandaa mpanga hivi karibuni.Walirudi nyumbani wakiwa na furaha huku jina la mke wangu na mume wangu likitawala kwenye ulimi.
***
Furaha yao Hamza aliiona nakuuliza kulikoni,walikuwa mezani.
“Leo naona tabasamu kulikoni?”
Laredo alitizamana na Masua wakatabasamu.Kisha wakapeana mabusu.Halafu wakacheka kila walipotizamana,”Sasa hivi mimi ni mke wa Masua halali.”
Kicheko kikaongezeka.Hamza aliinuka nakuwapa pongezi.Alimkumbatia Masua kwa bashasha.Kicheko kikafaladi nyumba nzima.Kisha Hamza alimpongeza pia Laredo kwa kumkumbatia naye.Ilimradi raha baina ya familia.Bado mziki wa ndoa kati ya mwanamke mmoja na wanaume watatu uliendelea.Sasa uliiva na kuwa juu.Kiwango cha kutamanisha na kufurahisha.Ilikuwa raha bin tik!Muunganiko huu ni vile haujapokelewa kwa umma.Kama ni magazeti ya udaki ungeukula ukurasa wa mbele.Lilikuwa jambo la kushangaza kwa mwanamke mmoja kuolewa na waume watatu ndani ya nyumba moja.Walipikia chungu kimoja,wakal sahani moja nakutumia meza moja!Wote watatu walikuwa na ufahamu fika wa jambo hilo!
Akampa na pongezi labusu kabisa.Hamza alienda jikoni akaleta shampeni kabisa kwaajili ya burudani hiyo.Waliifungua kwa mbwembwe za kupiga glassi maalum kwa ndoa mpya kati ya Masua na Laredo!Walikunywa kwa bashasha kwa sherehe ya muunganiko mpya.
“Natamani mume wangu Bario angekuwepo tusherehekee pamoja.”alisema Laredo huku akiwa ameikamata glasi kwenye kiuno.
“Kweli kabisa mke wangu,ila hatuna jinsi.”aliitikia Masua.
“Kweli baby kaka angekuwepo furaha ingezidi mara dufu.”aliichangia Hamza.
“Cha muhimu tupo pamoja.Familia yenye upendo na amani.Ushikamano wa mwamba.”
Wakaendelea kunywa na kula kwa furaha.
Giza lilitawaliwa na vicheko vya nyumba hiyo.Raha rahaa kwa Laredo kwa kufanikiwa kuwa na wanaume watatu kwa mpigo.Hamza alitoka nje kupunga upepo wakati Laredo na Masua wakienda chumbani.Alibaki pale nje kwa muda mrefu akiwaza huku akili yake ikiwa mbali.Mawazo dhidi ya ndoa hiyo.
“Nampenda sana Laredo na nipo tayari kwa lolote.”alijisemea.Dakika zilikatika akiangalia anga nakupendezeshwa na thurea ya nyota.

USIKOSE KISA HIKI CHA AINA YAKE HAIJAWAHI TOKEA TANZANIA NZIMA MJULISHE NA MWENZAKO WASOMAJI WAWE WENGI SHARE,LIKE,COMMENT,MWITE MWENZAKO!
 

Attachments

  • UPEPO USIKU.jpg
    UPEPO USIKU.jpg
    51.5 KB · Views: 182

Similar Discussions

Back
Top Bottom