Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,552
- 9,528
Haya mambo ya kunyanyasana kifkra mkuu kama kitabu kipo tuelekeze kinapatikana wapi
Jamani mnanishauri niianze kuisoma au ni Maumivu tu niipotezee
Somaaaaaaa na wewe ufike mwisho uwe na Arosto kama sisiSoma ni nzur sana hii kitu jamaa anajua kuandika hutojutia
Halafu wewe!!Oyoooooooo mwambaa kakinukisha huku
Endelea mwamba tupo pa1MAJASUSI
Nakuona nakuona JASUSIHalafu wewe!!
Bora usisome mkuu utaumwa bureMbona sijaona sehemu ya kwanza imeanzia ya pili