ufukwe hajaimalizia humu, anasema tukamalizia kwenye kitabu nmesikitika maana nmemmiss Tiba ganzaWakuu hapo nyuma mpaka leo nilikuwa nawasiliana kwa karibu na mtunzi. Kasema niwatoe hofu kuwa tutaendelea kupata riwaya hii tamu kuanzia ijumaa ya wiki ijayo pale atakapokuwa ameweka mambo yale sawa. Kiufupi mwandishi kawapenda wasomaji wote wa riwaya zake na kama zawadi amenipa riwaya zake mbili niwatumie msome. Moja inaitwa TAI KWENYE MZOGA na nyingine inaitwa MIFUPA 206 msiwr na wasi wasi kabisa. Pia endeleeni kuwasiliana na mtunzi kwa ajiri ya nakala zenu za liwaya ya UFUKWE WA MADAGASCAR, MIFUPA 206 na TAI KWENYE MZOGA
leta ya mifupa 206Wakuu hapo nyuma mpaka leo nilikuwa nawasiliana kwa karibu na mtunzi. Kasema niwatoe hofu kuwa tutaendelea kupata riwaya hii tamu kuanzia ijumaa ya wiki ijayo pale atakapokuwa ameweka mambo yale sawa. Kiufupi mwandishi kawapenda wasomaji wote wa riwaya zake na kama zawadi amenipa riwaya zake mbili niwatumie msome. Moja inaitwa TAI KWENYE MZOGA na nyingine inaitwa MIFUPA 206 msiwr na wasi wasi kabisa. Pia endeleeni kuwasiliana na mtunzi kwa ajiri ya nakala zenu za liwaya ya UFUKWE WA MADAGASCAR, MIFUPA 206 na TAI KWENYE MZOGA
Tunasubiri mkuuu
Mond ww mbona adimu hvooMpenzi...!
Mond ww mbona adimu hvoo
Pole tatizo nn hasaNaumwa T Nakyumiss basi tu ndo ivo nakujaga kusoma hadithi tu zen narudii
Pole tatizo nn hasa
Pole sanaMafua na Kichwa
Shem roho mbaya haijengi na kizuri kula na nduguyo!uwe unanistua bhana c wajua ndo mambo zetu hizi!Asante kwa taarifa mkuu
Jamani nisamehe bure mimi nawe umezidi kuwa adimu mpaka nakusahauShem roho mbaya haijengi na kizuri kula na nduguyo!uwe unanistua bhana c wajua ndo mambo zetu hizi!
Bila shaka ijumaa ni leo mkuu,Wakuu hapo nyuma mpaka leo nilikuwa nawasiliana kwa karibu na mtunzi. Kasema niwatoe hofu kuwa tutaendelea kupata riwaya hii tamu kuanzia ijumaa ya wiki ijayo pale atakapokuwa ameweka mambo yale sawa. Kiufupi mwandishi kawapenda wasomaji wote wa riwaya zake na kama zawadi amenipa riwaya zake mbili niwatumie msome. Moja inaitwa TAI KWENYE MZOGA na nyingine inaitwa MIFUPA 206 msiwr na wasi wasi kabisa. Pia endeleeni kuwasiliana na mtunzi kwa ajiri ya nakala zenu za liwaya ya UFUKWE WA MADAGASCAR, MIFUPA 206 na TAI KWENYE MZOGA
Usipende vya bure dada Kitabu kinauzwa 12000 nunua...ila uyu mtunzi wako sio kabisa
hizi story za tibba ganza zote zimeishia njiani humu
Nielekeze nikachukue ni wapiUsipende vya bure dada Kitabu kinauzwa 12000 nunua...
Nielekeze nikachukue ni wapi
nmechekaUsipende vya bure dada Kitabu kinauzwa 12000 nunua...