Riwaya: Hekaheka za Komando Zedi Wimba na Jasusi Honda huko Somalia

Aisee nimeanza kuisoma ndani ya siku 5 hizi... Uandishi mzuri wenye utafiti wa hali ya juu... Katika wahusika wote uhusika wa Kenge ni kiboko
 
Watu mmeifatilia sana jaman,imeshakua biashara nzito saivi,naona inaongea pesa tu hakuna cha bure hapa.

Ngoja tusubir tunaopenda slope.
 
Haji alijaribu kugunaguna kama ishara ya kuwasiliana na Honda ila Honda akachezesha bega lake kwa tabu na kufanya vile Haji alijua Honda hataki wawasiliane kwa njia yoyote katikati ya chumba cha mateso.


Haji alitulia huku akiwaza namna ya kujinasua katikati ya mateso na kumwokoa Honda ambae alikuwa hoi na ngozi yake ilikuwa inazidi kuharibika.

Kama wangechelewa zaidi basi angeweza kupoteza maisha..
.

Alilia kikomando, alilia bila kutoa machozi na sauti, alilia tumboni kama kobe.

Wakati wao wakiwa chumba cha giza; Zedi yeye alikuwa anahangaika kujua alipo Haji ambae mawasiliano yalikuwa yamepotea tangu jua la saa nne.

Alijaribu kufuatilia njia zote bila kupata hata habari ya kuonekana gari lake.

Wakati alipokaribia kukata tamaa alipata habari kupitia simu maalumu, habari ilitoka makao makuu iliompasha habari za kutekwa kwa Haji na kupelekwa sehemu isiofahamika.
.
Mwili ulizizima; jasho likamtoka; akili ikamzunguka kwa kasi.

****

-----DAR ES LAAM----

Remi alibaki akimtizama Naibu kamishina Kagoshima.

.
Aliwaza kuhusu utu wake na aliwaza kuhusu mtoto wake na aliwaza kuhusu mumuwe.

Akaamua jambo kwa kuliweka kuwa mpango 'a' na akajipanga katika mpango 'ba' ambao aliamini atafanikiwa licha ya kujua inaweza kuwa na madhara upande wake.

"Sawa nimekubali" Alijibu Remi huku akimtizama usoni.

Kagoshima alitabasamu na kumwonesha dole gumba la kulia,kisha akaaga na kuondoka.

Hazikupita dakika arobaini; Remi alifuatwa kwenye selo aliokuwamo na kutolewa hadi kaunta kisha akapewa vitu vyake vyote hadi bastola yake na kuruhusiwa kuondoka.

Alikaribishwa na Dunia, akapumua na kumuomba Mungu amsamehe kwa kosa la kukubali kutumika kimwili ili aokoe mwanae ambae hakujua kinapangwa nini juu yake.


*4: UKWELI*

Sajenti Kobelo baada ya kupewa barua ya kusimamishwa kazi, aliiweka kushoto mwa gari lake bila kusoma kisha akaelekea kwa Habiba ambae alikuwa anafanya kazi katika mtandao wa simu nchini.

Huko alienda na simu akiochukua mfukoni mwa J Malao.

Na baada ya kuifikisha waliingia kuichunguza mawasiliano yake na hapo bado tena namba ya Seki Zayd I ilionekana na ndio iliotuma ujumbe kwa njia ya mtandao kwenda kwa mhariri wa gazeti la Chaupeku.

Namba ya Seki nayo ikachunguzwa na kuona ilipokea ujumbe ule kutoka kwenye namba ya simu ya mtu ambae alisajiliwa kwa jina la Nadia na simu ile ilionekana kuwa ipo kimara.

Kobelo hakutaka kuacha kuifuatilia, akapita kituo cha mafuta na kujaza mafuta kisha akaelekea kimara.

Kwa foleni za hapa na pale hatimae alifika Kimara kisha akampigia simu Habiba.

Akaelekezwa nyumba ambayo simu ile ipo. Ilikuwa ni nyumba ya kawaida tu na ilikuwa na wapangaji kadhaa.

Akaongoza kwenye chumba ambacho alihisi kutakuwa kunapatikana namba ile.

Akagonga na kuingia ndani na kukutana na sura ya binti mrembo akiwa amekaa kwenye sofa moja lililokuwa mule ndani.

Binti yule baada ya kumuona alistuka na kutulia.


Kwanini astuke au ananifahamu? Aljiuliza Kobelo.

Binti alikuwa amejifunga kanga tu na alionekan kutoka kuoga muda huo.

Zilipita dakika kadhaa bila yeyote kuzungumza.

Kobelo alikuwa na sababu zake kufanya vile.

Kwa mtu ambae hakufahamu ukiingia kwake atakukaribisha kisha hatokawia kukutaka utambulisho.

Ndivyo alivyotaka iwe ila haikuwa ndani ya chumba kile.

Ukimya ulitawala na yule binti alikuwa anatizama kwa tahadhari ya hali ya juu.

Kobelo akajiweka kwa hadhari.

Tahadhari yake alikuwa sahihi.

Kwa wepesi wa hali ya juu, yule binti akavua kanga yake na kuirusha kumwendea Kobelo pale alipokuwa amesimama.

Kobelo hakuzubaa nae akahepa na kudondokea kwingine ila alikuwa amechelewa, alijikuta akitandikwa teke zito tumboni na kujihisi anataka kutapika na kabla hajakaa sawa akatandikwa tena ngumi nzito ya taya na kujisikia kama amevunjwa hivi,kizungunzungu kikakamvaa ila hakutaka azembee katika pambano lile na mtoto wa kike kama yule.

Akaruka kidogo na kuegemea ukuta kisha akatulia na kuacha wenge lipite ili akili imkae sawa.

Akatulia.

Ndipo aliona binti akiwa amevaa bikini peke yake na kuacha mwili wote bila kujali.

Chuchu zilisimama na tumbo lilikuwa safi bila michirizi, kitovu kiliita na hipsi hazikudanganya uzuri wa kiumbe kile cha kike.

Ila kwa mapigo yale ni dhahiri hakuwa mwanamke wa kawaida na ndipo Kobelo alipomtazama machoni na kugundua binti yule ndie walipambana nyumbani kwa Sajini Vengu.

Kobelo akatisha kidogo kisha akawa kama anataka kukimbilia mlangoni, binti aliona hawezi kuachwa akataka kupiga hatua, lakini Kobelo alikanyaga ukuta na kujipindua kiubavu na kumpa pigo mujarabu kwenye mbavu na kumsukuma hadi chini ambako alienda kujibwaga kama zigo la nyanya na sokoni.

Binti akajaribu kuinuka akashindwa,akajaribu tena akashindwa.

Mara damu zikamtoka mdomoni ,binti alitoa machozi kama mtoto huku kushindwa kuamini ndo anapotea kirahisi vile.

Heri fadhaa kuliko fedheha; Binti akajitutumua na kusimama kisha akafanya tukio ambalo Kobelo hakujua limefanyikaje na alichokuja kushuhudia ni kuona binti akitua chini huku akiwa hana uhai.

Ajabu hii!!

Kobelo alishuhudia ufundi wa hali ya juu wa kujitoa uhai.

Haraka haraka akaanza kupekua pale ndani, na kwa chini ya sofa alilokuwa amekalia yule binti kulikuwa kuna vipande vya bunduki ya kudungulia masafa marefu aina ya Lapua Magnum.

"Hii ndo ilifanya tukio kule nyumbani kwa Remi" Alijisemea Kobelo.


Akapiga picha silaha ile kisha akaelekea chumbani, huko alikutana na simu ikiita na jina alikuwa ameandikwa Zayd; Kobelo aliona ile ni turufu kwake, akaipokea.

"Njoo nyumbani" kisha simu ikakatwa..


Nyumbani kwa Zayd anakufahamu.

Kobelo akachukua simu yake na kuzitafuta namba za mtu aliekuwa amehifadhi jina kwa "Chief" alipiga.

"Hili suala linaelekea ukingoni Chief"

"Umegundua lolote hadi sasa?" Aliuliza Chief.

"Nipe msaada wa vijana makini wafike hapa kimara baruti kuna mambo waweke sawa kisha nitakuambia nilichokiona hadi sasa" Alisema Kobelo.

Kobelo alikuwa anaongea na mkuu wa kikosi cha operesheni maalumu Kamishina Zenge wa Zenge.

Kamishina Zenge wa Zenge alikuwa amemwambia Remi ya kuwa anasafiri kwenda marekani, kwanini hadi sasa bado yupo Tanzania? Hilo hakuna aliejua kabisa zaidi yake na kijana wake Kobelo.

Kobelo alitoka na kuelekea nyumbani kwa Zaydi na ambako alikuwa amedhibitiwa siku kadhaa nyuma na mtu ambae aliamini ni mlinzi wa pale.

Mara hii alijipanga vyema wakati wa kuingia pale.

Alidandia ukutani na kutazama kwa makini ndani ya ua wa nyumba ya Seki kisha kwa wepesi akatua chini na kusimama haraka na kujitupa upande mwingine..


Alitulia kama dakika moja hivi kisha akasimama na kuliendea dirisha moja na kwa wepesi wa kutisha akalifungua na kujitoma ndani kwa sarakasi matata na kabla hajatulia akabebeshwa konde zito lililompepesua hadi ukutani, nae kwa ujuzi wake akajigeuza na kusimama.

Alikutana na bwana kitambi akiwa anamwendea kwa kasi huku akiwa ameshika kisu.

***

Kwa sh.500/= unaisoma yote hadi mwisho. Lipia sasa 0758573660. Kisha ni whatsapp hapa 0658564341.

Bei hiyo ni sawa na bure!! Sitegemei kuona tena mtu akilalamika.

Na hapa ndo mwisho, haitaruka tena popote pale.
 
Haji alijaribu kugunaguna kama ishara ya kuwasiliana na Honda ila Honda akachezesha bega lake kwa tabu na kufanya vile Haji alijua Honda hataki wawasiliane kwa njia yoyote katikati ya chumba cha mateso.


Haji alitulia huku akiwaza namna ya kujinasua katikati ya mateso na kumwokoa Honda ambae alikuwa hoi na ngozi yake ilikuwa inazidi kuharibika.

Kama wangechelewa zaidi basi angeweza kupoteza maisha..
.

Alilia kikomando, alilia bila kutoa machozi na sauti, alilia tumboni kama kobe.

Wakati wao wakiwa chumba cha giza; Zedi yeye alikuwa anahangaika kujua alipo Haji ambae mawasiliano yalikuwa yamepotea tangu jua la saa nne.

Alijaribu kufuatilia njia zote bila kupata hata habari ya kuonekana gari lake.

Wakati alipokaribia kukata tamaa alipata habari kupitia simu maalumu, habari ilitoka makao makuu iliompasha habari za kutekwa kwa Haji na kupelekwa sehemu isiofahamika.
.
Mwili ulizizima; jasho likamtoka; akili ikamzunguka kwa kasi.

****

-----DAR ES LAAM----

Remi alibaki akimtizama Naibu kamishina Kagoshima.

.
Aliwaza kuhusu utu wake na aliwaza kuhusu mtoto wake na aliwaza kuhusu mumuwe.

Akaamua jambo kwa kuliweka kuwa mpango 'a' na akajipanga katika mpango 'ba' ambao aliamini atafanikiwa licha ya kujua inaweza kuwa na madhara upande wake.

"Sawa nimekubali" Alijibu Remi huku akimtizama usoni.

Kagoshima alitabasamu na kumwonesha dole gumba la kulia,kisha akaaga na kuondoka.

Hazikupita dakika arobaini; Remi alifuatwa kwenye selo aliokuwamo na kutolewa hadi kaunta kisha akapewa vitu vyake vyote hadi bastola yake na kuruhusiwa kuondoka.

Alikaribishwa na Dunia, akapumua na kumuomba Mungu amsamehe kwa kosa la kukubali kutumika kimwili ili aokoe mwanae ambae hakujua kinapangwa nini juu yake.


*4: UKWELI*

Sajenti Kobelo baada ya kupewa barua ya kusimamishwa kazi, aliiweka kushoto mwa gari lake bila kusoma kisha akaelekea kwa Habiba ambae alikuwa anafanya kazi katika mtandao wa simu nchini.

Huko alienda na simu akiochukua mfukoni mwa J Malao.

Na baada ya kuifikisha waliingia kuichunguza mawasiliano yake na hapo bado tena namba ya Seki Zayd I ilionekana na ndio iliotuma ujumbe kwa njia ya mtandao kwenda kwa mhariri wa gazeti la Chaupeku.

Namba ya Seki nayo ikachunguzwa na kuona ilipokea ujumbe ule kutoka kwenye namba ya simu ya mtu ambae alisajiliwa kwa jina la Nadia na simu ile ilionekana kuwa ipo kimara.

Kobelo hakutaka kuacha kuifuatilia, akapita kituo cha mafuta na kujaza mafuta kisha akaelekea kimara.

Kwa foleni za hapa na pale hatimae alifika Kimara kisha akampigia simu Habiba.

Akaelekezwa nyumba ambayo simu ile ipo. Ilikuwa ni nyumba ya kawaida tu na ilikuwa na wapangaji kadhaa.

Akaongoza kwenye chumba ambacho alihisi kutakuwa kunapatikana namba ile.

Akagonga na kuingia ndani na kukutana na sura ya binti mrembo akiwa amekaa kwenye sofa moja lililokuwa mule ndani.

Binti yule baada ya kumuona alistuka na kutulia.


Kwanini astuke au ananifahamu? Aljiuliza Kobelo.

Binti alikuwa amejifunga kanga tu na alionekan kutoka kuoga muda huo.

Zilipita dakika kadhaa bila yeyote kuzungumza.

Kobelo alikuwa na sababu zake kufanya vile.

Kwa mtu ambae hakufahamu ukiingia kwake atakukaribisha kisha hatokawia kukutaka utambulisho.

Ndivyo alivyotaka iwe ila haikuwa ndani ya chumba kile.

Ukimya ulitawala na yule binti alikuwa anatizama kwa tahadhari ya hali ya juu.

Kobelo akajiweka kwa hadhari.

Tahadhari yake alikuwa sahihi.

Kwa wepesi wa hali ya juu, yule binti akavua kanga yake na kuirusha kumwendea Kobelo pale alipokuwa amesimama.

Kobelo hakuzubaa nae akahepa na kudondokea kwingine ila alikuwa amechelewa, alijikuta akitandikwa teke zito tumboni na kujihisi anataka kutapika na kabla hajakaa sawa akatandikwa tena ngumi nzito ya taya na kujisikia kama amevunjwa hivi,kizungunzungu kikakamvaa ila hakutaka azembee katika pambano lile na mtoto wa kike kama yule.

Akaruka kidogo na kuegemea ukuta kisha akatulia na kuacha wenge lipite ili akili imkae sawa.

Akatulia.

Ndipo aliona binti akiwa amevaa bikini peke yake na kuacha mwili wote bila kujali.

Chuchu zilisimama na tumbo lilikuwa safi bila michirizi, kitovu kiliita na hipsi hazikudanganya uzuri wa kiumbe kile cha kike.

Ila kwa mapigo yale ni dhahiri hakuwa mwanamke wa kawaida na ndipo Kobelo alipomtazama machoni na kugundua binti yule ndie walipambana nyumbani kwa Sajini Vengu.

Kobelo akatisha kidogo kisha akawa kama anataka kukimbilia mlangoni, binti aliona hawezi kuachwa akataka kupiga hatua, lakini Kobelo alikanyaga ukuta na kujipindua kiubavu na kumpa pigo mujarabu kwenye mbavu na kumsukuma hadi chini ambako alienda kujibwaga kama zigo la nyanya na sokoni.

Binti akajaribu kuinuka akashindwa,akajaribu tena akashindwa.

Mara damu zikamtoka mdomoni ,binti alitoa machozi kama mtoto huku kushindwa kuamini ndo anapotea kirahisi vile.

Heri fadhaa kuliko fedheha; Binti akajitutumua na kusimama kisha akafanya tukio ambalo Kobelo hakujua limefanyikaje na alichokuja kushuhudia ni kuona binti akitua chini huku akiwa hana uhai.

Ajabu hii!!

Kobelo alishuhudia ufundi wa hali ya juu wa kujitoa uhai.

Haraka haraka akaanza kupekua pale ndani, na kwa chini ya sofa alilokuwa amekalia yule binti kulikuwa kuna vipande vya bunduki ya kudungulia masafa marefu aina ya Lapua Magnum.

"Hii ndo ilifanya tukio kule nyumbani kwa Remi" Alijisemea Kobelo.


Akapiga picha silaha ile kisha akaelekea chumbani, huko alikutana na simu ikiita na jina alikuwa ameandikwa Zayd; Kobelo aliona ile ni turufu kwake, akaipokea.

"Njoo nyumbani" kisha simu ikakatwa..


Nyumbani kwa Zayd anakufahamu.

Kobelo akachukua simu yake na kuzitafuta namba za mtu aliekuwa amehifadhi jina kwa "Chief" alipiga.

"Hili suala linaelekea ukingoni Chief"

"Umegundua lolote hadi sasa?" Aliuliza Chief.

"Nipe msaada wa vijana makini wafike hapa kimara baruti kuna mambo waweke sawa kisha nitakuambia nilichokiona hadi sasa" Alisema Kobelo.

Kobelo alikuwa anaongea na mkuu wa kikosi cha operesheni maalumu Kamishina Zenge wa Zenge.

Kamishina Zenge wa Zenge alikuwa amemwambia Remi ya kuwa anasafiri kwenda marekani, kwanini hadi sasa bado yupo Tanzania? Hilo hakuna aliejua kabisa zaidi yake na kijana wake Kobelo.

Kobelo alitoka na kuelekea nyumbani kwa Zaydi na ambako alikuwa amedhibitiwa siku kadhaa nyuma na mtu ambae aliamini ni mlinzi wa pale.

Mara hii alijipanga vyema wakati wa kuingia pale.

Alidandia ukutani na kutazama kwa makini ndani ya ua wa nyumba ya Seki kisha kwa wepesi akatua chini na kusimama haraka na kujitupa upande mwingine..


Alitulia kama dakika moja hivi kisha akasimama na kuliendea dirisha moja na kwa wepesi wa kutisha akalifungua na kujitoma ndani kwa sarakasi matata na kabla hajatulia akabebeshwa konde zito lililompepesua hadi ukutani, nae kwa ujuzi wake akajigeuza na kusimama.

Alikutana na bwana kitambi akiwa anamwendea kwa kasi huku akiwa ameshika kisu.

***

Kwa sh.500/= unaisoma yote hadi mwisho. Lipia sasa 0758573660. Kisha ni whatsapp hapa 0658564341.

Bei hiyo ni sawa na bure!! Sitegemei kuona tena mtu akilalamika.

Na hapa ndo mwisho, haitaruka tena popote pale.
Hahahahaha hahahahaha chief zenge wa zenge kudo nimecheka sana... (Mia Tano) Kuna watu watakwambia hawana
 
Haji alijaribu kugunaguna kama ishara ya kuwasiliana na Honda ila Honda akachezesha bega lake kwa tabu na kufanya vile Haji alijua Honda hataki wawasiliane kwa njia yoyote katikati ya chumba cha mateso.


Haji alitulia huku akiwaza namna ya kujinasua katikati ya mateso na kumwokoa Honda ambae alikuwa hoi na ngozi yake ilikuwa inazidi kuharibika.

Kama wangechelewa zaidi basi angeweza kupoteza maisha..
.

Alilia kikomando, alilia bila kutoa machozi na sauti, alilia tumboni kama kobe.

Wakati wao wakiwa chumba cha giza; Zedi yeye alikuwa anahangaika kujua alipo Haji ambae mawasiliano yalikuwa yamepotea tangu jua la saa nne.

Alijaribu kufuatilia njia zote bila kupata hata habari ya kuonekana gari lake.

Wakati alipokaribia kukata tamaa alipata habari kupitia simu maalumu, habari ilitoka makao makuu iliompasha habari za kutekwa kwa Haji na kupelekwa sehemu isiofahamika.
.
Mwili ulizizima; jasho likamtoka; akili ikamzunguka kwa kasi.

****

-----DAR ES LAAM----

Remi alibaki akimtizama Naibu kamishina Kagoshima.

.
Aliwaza kuhusu utu wake na aliwaza kuhusu mtoto wake na aliwaza kuhusu mumuwe.

Akaamua jambo kwa kuliweka kuwa mpango 'a' na akajipanga katika mpango 'ba' ambao aliamini atafanikiwa licha ya kujua inaweza kuwa na madhara upande wake.

"Sawa nimekubali" Alijibu Remi huku akimtizama usoni.

Kagoshima alitabasamu na kumwonesha dole gumba la kulia,kisha akaaga na kuondoka.

Hazikupita dakika arobaini; Remi alifuatwa kwenye selo aliokuwamo na kutolewa hadi kaunta kisha akapewa vitu vyake vyote hadi bastola yake na kuruhusiwa kuondoka.

Alikaribishwa na Dunia, akapumua na kumuomba Mungu amsamehe kwa kosa la kukubali kutumika kimwili ili aokoe mwanae ambae hakujua kinapangwa nini juu yake.


*4: UKWELI*

Sajenti Kobelo baada ya kupewa barua ya kusimamishwa kazi, aliiweka kushoto mwa gari lake bila kusoma kisha akaelekea kwa Habiba ambae alikuwa anafanya kazi katika mtandao wa simu nchini.

Huko alienda na simu akiochukua mfukoni mwa J Malao.

Na baada ya kuifikisha waliingia kuichunguza mawasiliano yake na hapo bado tena namba ya Seki Zayd I ilionekana na ndio iliotuma ujumbe kwa njia ya mtandao kwenda kwa mhariri wa gazeti la Chaupeku.

Namba ya Seki nayo ikachunguzwa na kuona ilipokea ujumbe ule kutoka kwenye namba ya simu ya mtu ambae alisajiliwa kwa jina la Nadia na simu ile ilionekana kuwa ipo kimara.

Kobelo hakutaka kuacha kuifuatilia, akapita kituo cha mafuta na kujaza mafuta kisha akaelekea kimara.

Kwa foleni za hapa na pale hatimae alifika Kimara kisha akampigia simu Habiba.

Akaelekezwa nyumba ambayo simu ile ipo. Ilikuwa ni nyumba ya kawaida tu na ilikuwa na wapangaji kadhaa.

Akaongoza kwenye chumba ambacho alihisi kutakuwa kunapatikana namba ile.

Akagonga na kuingia ndani na kukutana na sura ya binti mrembo akiwa amekaa kwenye sofa moja lililokuwa mule ndani.

Binti yule baada ya kumuona alistuka na kutulia.


Kwanini astuke au ananifahamu? Aljiuliza Kobelo.

Binti alikuwa amejifunga kanga tu na alionekan kutoka kuoga muda huo.

Zilipita dakika kadhaa bila yeyote kuzungumza.

Kobelo alikuwa na sababu zake kufanya vile.

Kwa mtu ambae hakufahamu ukiingia kwake atakukaribisha kisha hatokawia kukutaka utambulisho.

Ndivyo alivyotaka iwe ila haikuwa ndani ya chumba kile.

Ukimya ulitawala na yule binti alikuwa anatizama kwa tahadhari ya hali ya juu.

Kobelo akajiweka kwa hadhari.

Tahadhari yake alikuwa sahihi.

Kwa wepesi wa hali ya juu, yule binti akavua kanga yake na kuirusha kumwendea Kobelo pale alipokuwa amesimama.

Kobelo hakuzubaa nae akahepa na kudondokea kwingine ila alikuwa amechelewa, alijikuta akitandikwa teke zito tumboni na kujihisi anataka kutapika na kabla hajakaa sawa akatandikwa tena ngumi nzito ya taya na kujisikia kama amevunjwa hivi,kizungunzungu kikakamvaa ila hakutaka azembee katika pambano lile na mtoto wa kike kama yule.

Akaruka kidogo na kuegemea ukuta kisha akatulia na kuacha wenge lipite ili akili imkae sawa.

Akatulia.

Ndipo aliona binti akiwa amevaa bikini peke yake na kuacha mwili wote bila kujali.

Chuchu zilisimama na tumbo lilikuwa safi bila michirizi, kitovu kiliita na hipsi hazikudanganya uzuri wa kiumbe kile cha kike.

Ila kwa mapigo yale ni dhahiri hakuwa mwanamke wa kawaida na ndipo Kobelo alipomtazama machoni na kugundua binti yule ndie walipambana nyumbani kwa Sajini Vengu.

Kobelo akatisha kidogo kisha akawa kama anataka kukimbilia mlangoni, binti aliona hawezi kuachwa akataka kupiga hatua, lakini Kobelo alikanyaga ukuta na kujipindua kiubavu na kumpa pigo mujarabu kwenye mbavu na kumsukuma hadi chini ambako alienda kujibwaga kama zigo la nyanya na sokoni.

Binti akajaribu kuinuka akashindwa,akajaribu tena akashindwa.

Mara damu zikamtoka mdomoni ,binti alitoa machozi kama mtoto huku kushindwa kuamini ndo anapotea kirahisi vile.

Heri fadhaa kuliko fedheha; Binti akajitutumua na kusimama kisha akafanya tukio ambalo Kobelo hakujua limefanyikaje na alichokuja kushuhudia ni kuona binti akitua chini huku akiwa hana uhai.

Ajabu hii!!

Kobelo alishuhudia ufundi wa hali ya juu wa kujitoa uhai.

Haraka haraka akaanza kupekua pale ndani, na kwa chini ya sofa alilokuwa amekalia yule binti kulikuwa kuna vipande vya bunduki ya kudungulia masafa marefu aina ya Lapua Magnum.

"Hii ndo ilifanya tukio kule nyumbani kwa Remi" Alijisemea Kobelo.


Akapiga picha silaha ile kisha akaelekea chumbani, huko alikutana na simu ikiita na jina alikuwa ameandikwa Zayd; Kobelo aliona ile ni turufu kwake, akaipokea.

"Njoo nyumbani" kisha simu ikakatwa..


Nyumbani kwa Zayd anakufahamu.

Kobelo akachukua simu yake na kuzitafuta namba za mtu aliekuwa amehifadhi jina kwa "Chief" alipiga.

"Hili suala linaelekea ukingoni Chief"

"Umegundua lolote hadi sasa?" Aliuliza Chief.

"Nipe msaada wa vijana makini wafike hapa kimara baruti kuna mambo waweke sawa kisha nitakuambia nilichokiona hadi sasa" Alisema Kobelo.

Kobelo alikuwa anaongea na mkuu wa kikosi cha operesheni maalumu Kamishina Zenge wa Zenge.

Kamishina Zenge wa Zenge alikuwa amemwambia Remi ya kuwa anasafiri kwenda marekani, kwanini hadi sasa bado yupo Tanzania? Hilo hakuna aliejua kabisa zaidi yake na kijana wake Kobelo.

Kobelo alitoka na kuelekea nyumbani kwa Zaydi na ambako alikuwa amedhibitiwa siku kadhaa nyuma na mtu ambae aliamini ni mlinzi wa pale.

Mara hii alijipanga vyema wakati wa kuingia pale.

Alidandia ukutani na kutazama kwa makini ndani ya ua wa nyumba ya Seki kisha kwa wepesi akatua chini na kusimama haraka na kujitupa upande mwingine..


Alitulia kama dakika moja hivi kisha akasimama na kuliendea dirisha moja na kwa wepesi wa kutisha akalifungua na kujitoma ndani kwa sarakasi matata na kabla hajatulia akabebeshwa konde zito lililompepesua hadi ukutani, nae kwa ujuzi wake akajigeuza na kusimama.

Alikutana na bwana kitambi akiwa anamwendea kwa kasi huku akiwa ameshika kisu.

***

Kwa sh.500/= unaisoma yote hadi mwisho. Lipia sasa 0758573660. Kisha ni whatsapp hapa 0658564341.

Bei hiyo ni sawa na bure!! Sitegemei kuona tena mtu akilalamika.

Na hapa ndo mwisho, haitaruka tena popote pale.
naomba namba yako ya halopesa
 

Similar Discussions

15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom