riwaya Enzi hizo

Nomile

Member
Dec 5, 2012
99
122
Wajameni Mimi nilikua mwasilika wa hadithi za Willy Gamba. vitabu vyote nilivipitia vyote isipokua kile kilichopigwa marufuku cha Hujuma. Leo niwakumbushe kidogo wahusika KIKOMO mwadui shinyanga Majambazi yalikua chini ya pweke ambaye alikua chini ya Elungata, KIKOSI CHA KISASI kinshasa zaire wahusika ni Pierre Simonard wa garage du paple, Jean vergence wa GAD,Muteba kalonzo wa Baninga garage, Papadimtrou. willy gamba alishirikiana na Akina Kapten petit Osei/ozu,mike kofi,na robert. KUFA NA KUPONA ni pale kenya majambazi akina benny makunda na genge lake,willy alishirikiana na sammy rashid na robin mwangi na willy alijulikana kama Joe Masanja mwandish wa habari kutoka mwanza Tanzania na bosi alikua Dr Dickson Njoroge nakumbuka alikua anaishi Westland. NJAMA ni hapa bongo Akina Ray sikazwe akishirikiana na Tonny wanaiba siraha za wapigania uhuru kusini mwa afrika.Willy alishirikiana na Sherrif,Veronica amadu na eddy nakumbuka veronica aliuwawa na Patlao shuta. jamani nakumbuka enzi hizo miaka ya mwisho mwa 1980 nilikalibia kudata mwenye kopi ajitokeze
 
Back
Top Bottom